Ansbert Ngurumo
@ngurumo
Followers
285K
Following
2K
Media
3K
Statuses
5K
CHANGEMAKER: Author. Journalist. Media Entrepreneur. Political Analyst. Social Activist. Fundraiser.
Stockholm, Sweden
Joined July 2009
Yupo wapi Rais Magufuli? Jumapili iliyopita alikuwa amepanga kusali ibada ya kwanza KKKT Azania Front. Alizuiwa dakika za mwisho. Hakwenda. Hajaonekana wala kusikika popote wiki nzima sasa. Kwa utaratibu tuliozoeshwa, iwapo na Jumapili hii hataonekana NI NEWS! Yupo wapi? Yukoje?
76
67
699
WATAALAMU WA VERIFICATION MTAIWEZA HII? NIMEIPATA MAHALI: Waliopiga kura walikuwa 7%. INEC ikashauri watangaze 62%. Mgombea akasema amepata zaidi ya 95% kwani watu wanampenda sana; kwamba watangaze anything between 95% and 100%. INEC ikaamua kutangaza 97%. The rest is history.
23
59
260
Bengt G Nilsson: Sverige orsak till Tanzanias kaos - Fokus
fokus.se
Mellan 1962 och 2013 skänkte Sverige 66 miljarder kronor till Tanzania. Förra året dumpades ytterligare 500 svenska miljoner i detta slukhål.
0
0
4
If your energy levels or digestion’s been off lately, your liver might be working overtime. Support your liver the way it supports you. Get 30% off your first order today.
1
1
36
SADC says Tanzania voting did not meet bloc's principles for democratic elections
standardmedia.co.ke
8
106
388
Uapisho wa rais wa aina hii haujapata kutokea kwa miaka 64 ya uhai wa Tanzania.
5
21
116
STAND WITH TANZANIA: DEMOCRACY ON LIFE SUPPORT - Sauti Kubwa
sautikubwa.org
TANZANIA is witnessing the fiercest protests in its 64 years of independence – an unprecedented uprising triggered by what many citizens describe as the most brazen electoral theft in the nation’s...
1
5
18
The Mint has authorized a release of this collectible $2 bill to commemorate the 250th Anniversary of the U.S. Navy, which was established on October 13, 1775. All orders will be eligible to receive a free matching half dollar commemorative coin. Limit of 3 per household.
46
120
834
1. Wengi hawakupiga kura. 2. Wachache waliojitokeza walifurumshwa na Gen Z. 3. Mawakala hawakuwepo tena. 4. Waliojiandikisha ni 37 m. 5. CCM wenyewe hawana wanachama milioni 10. 6. Je, kura 32 milioni za Samia zimetoka wapi? 7. Bila intaneti, wamesafirishaje matokeo? KITUKO!
11
37
99
Someone has to take control of the country now. The regime is falling!
7
9
51
Mimi saa hivi nasikiliza Gen Z tu. Wanachotaka wapewe. Ndiyo matakwa ya taifa. Wasichotaka kiepukwe. Taifa hili ni lao. WASIKILIZWE!
7
11
66
USHAURI: Serikali imeshapinduliwa. Msiposikiliza Gen Z mtaua wengi. Maandamano hayatakoma bila wao kusikilizwa. Kwa akili ya haraka tu, ili watulie, zipo sauti 2 wanazoweza kusikiliza kwa sasa - ya CDF aliye huru na jeshi lililoamua au @TunduALissu aliye huru. Busara itumike.
7
18
66