Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Natarajia kushiriki katika Mkutano wa dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali (SADC Extraordinary Double Troika Summit) unaojumuisha Nchi wanachama wafuatao: Msumbiji (Mwenyekiti wa SADC),Malawi, Tanzania,Botswana,Afrika Kusini na Zimbabwe.Utakaofanyika Maputo, Msumbiji 27.Mei 2021