Dr Hussein Ali Mwinyi Profile Banner
Dr Hussein Ali Mwinyi Profile
Dr Hussein Ali Mwinyi

@DrHmwinyi

Followers
200,071
Following
7
Media
176
Statuses
495

A Proud husband and a Father | President of The Revolutionary Government of Zanzibar

Zanzibar
Joined July 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Kwa masikitiko makubwa tarehe 17th March 2021, saa 12 jioni tumempoteza Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli ambaye amefariki kwa maradhi ya moyo katika hospitali ya Mzena jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu. Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.
433
727
6K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Nawatakia jummah njema, In Shaa Allah Mwenyezi Mungu apokee sala pamoja na dua zetu 🙏🏼
491
361
5K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Nawatakia Wazanzibari wote na Watanzania kwa ujumla heri ya sikukuu ya Pasaka. Tuendelee kudumisha na kuthamini amani ya nchi yetu.
183
301
4K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
1 year
Heri ya Siku ya Kuzaliwa Mzee Ali Hassan Mwinyi, Mwenyezi Mungu ambariki afya njema, furaha tele na maisha marefu. Ameen
Tweet media one
183
204
3K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Tawasifu ya Rais wa pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Ali Hassan Mwinyi, iitwayo 'Mzee Rukhsa: Safari ya Maisha Yangu' itazinduliwa tarehe 8 Mei 2021. Kitabu hiki kimebeba simulizi za maisha yake binafsi na safari yake ya uongozi #MzeeRukhsa #TawasifuZaUONGOZI
Tweet media one
143
329
3K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Natarajia kushiriki katika Kikao cha Kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM jijini Dodoma leo.
236
111
3K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Dunia itambue kwamba tupo tayari kwa ujenzi wa Bandari ya kisasa ya Mangapwani itakayokuwa na Bandari ya Uvuvi, Chelezo, Majengo ya utawala, eneo la viwanda, eneo la mji wa Mkaazi, eneo la Maghala pamoja na mpango wa kuiboresha Bandari ya Malindi.
171
207
2K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Zanzibar International Marathon 2021
Tweet media one
72
158
2K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
2 years
Dear Dr. Salim. Happy 80th Birthday. Dr. Salim Ahmed Salim’s life tells a story of a distinguished son of Zanzibar,A man who served his country, and the entire continent with distinction.
Tweet media one
Tweet media two
67
215
2K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Leo Mchana panapo majaliwa tutakuwa na hafla ya kumuapisha Mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.
127
47
2K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Nimemkaribisha Mamadou Sakho mchezaji wa timu ya Taifa Ufaransa na Mlinzi wa timu ya Crystal Palace ya Uingereza. Nimefurahi uwepo wako na tupo tayari kushirikiana nawe kuanzisha kituo cha michezo cha watoto, tuwape vijana wetu nafasi.
80
131
2K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
1 year
Nawatakia Krismasi njema iliyojaa upendo, furaha na amani. Mwenyezi Mungu atujaalie tuingie mwaka mpya wa 2023 tukiwa na afya na nguvu za kuijenga nchi yetu. Merry Christmas and Happy New Year
87
80
2K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Natarajia kuhudhuria Maadhimisho ya Kumbukizi ya Hayati Rais Benjamin William Mkapa kesho tarehe 14. Julai. 2021 jijini Dar es Salaam.
66
85
2K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
On behalf of Zanzibaris all over the world, I commend Abdulrazak Gurnah’s win of the Nobel Prize Award in Literature. We fondly recognise your writings that are centred on discourses related to colonialism. Such landmarks, bring honour not only to us but to all humankind.
Tweet media one
83
227
1K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Udhalilishaji na Madawa ya kulevya ni tatizo kubwa katika nchi yetu, sote tunawajibu wa kuwafichua wadhalilishaji. Natoa maagizo  kwa Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini yoyote atakae kamatwa kwa kosa la madawa ya kulevya au udhalilishaji nasisitiza asipewe dhamana. Ziara:Donge Chechewe.
337
98
1K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Ndugu wananchi wa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla, Kwa masikitiko makubwa nakujulisheni leo tarehe 17 Febuari, 2021 majira ya saa 5.26 Asubuhi Makamu wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad amefariki dunia. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu mahala pema peponi. Ameen
71
123
1K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Nawataarifu rasmi wananchi ya kwamba na mwaka huu pia hapatakuwa na fursa kwa Mahujaji kwenda Kuhiji kutokana na taarifa iliyotolewa na Serikali ya Saudi Arabia hivi karibuni inayosema hali ya ugonjwa wa COVID19 bado hairidhishi, hivyo hawatoruhusu mahujaji kuingia nchini humo.
76
150
1K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Natarajia kushiriki katika Mkutano wa dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali (SADC Extraordinary Double Troika Summit) unaojumuisha Nchi wanachama wafuatao: Msumbiji (Mwenyekiti wa SADC),Malawi, Tanzania,Botswana,Afrika Kusini na Zimbabwe.Utakaofanyika Maputo, Msumbiji 27.Mei 2021
102
98
1K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Panapo majaaliwa leo tarehe 8 Mei 2021, nitahudhuria jijini Dar es Salaam uzinduzi wa tawasifu ya Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi iitwayo "Safari ya Maisha Yangu: Mzee Rukhsa"
71
82
1K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Nimezungumza na Prof Abdulrazak Gurnah, mshindi wa tuzo ya Nobel katika Fasihi. Nimetumia fursa hii kumpongeza na kumkaribisha Zanzibar. Wazanzibari tunajivunia mafanikio yake. #zanzibar
Tweet media one
105
181
1K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
2 years
Katika kuadhimisha sikukuu hii ya Noel, Nawatakieni heri, baraka na fanaka tele, ikawe siku njema kwetu sote.
Tweet media one
76
115
1K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Eid Mubarak
Tweet media one
74
87
1K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Nimesema na narudia tena kusema, Mimi sifukuzi watu hovyo, mpaka nipate ushahidi. Ila wale wezi wa mali za uma nitaendelea kuwafukuza tu sitokuwa na muhali nao.
Tweet media one
183
146
1K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Natarajia kuhudhuria Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa utakaofanyika katika ukumbi wa White House Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma kesho tarehe: 29, Juni 2021.
93
86
1K
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Nimepokea kwa huzuni kubwa taarifa za kifo cha Mzee Haji Gora Haji ambaye alikuwa Msanii mkongwe na maarufu hapa Zanzibar. Mzee Gora atakumbukwa kwa ubunifu wa mashairi na tenzi ambapo baadhi ya tungo zake ziliweza kutumiwa kufundishia skuli za Sekondari nchini.
39
70
966
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Tweet media one
74
75
932
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
2 years
Tukiwa tunauhitimisha mwaka 2021 na kuukaribisha mwaka mpya 2022, leo nitahutubia  kupitia vyombo vya Habari ifikapo saa 1.30 usiku.
74
81
922
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Tweet media one
103
61
894
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
2 years
Nikutakie heri ya kumbukumbu ya kuzaliwa Mhe. Aman Abeid Karume, Rais Mstaafu wa Zanzibar. Mwenyezi Mungu akujaalie afya njema na umri mrefu.
Tweet media one
36
79
889
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
4 years
Nungwi nimefurahi sana leo kuona uwanja na maeneo mbali mbali yakiwa na rangi zetu za kijani na njano. #yajayonineematupu #mwinyi2020 #kurakwamwinyi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
89
87
754
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
2 months
Leo ni Jumatano ya Majivu na mwanzo wa siku 40 za Kwaresima. Katika kipindi hiki cha toba na matumaini mapya kiroho, tujitafakari na kuiombea nchi yetu amani na mshikamano katika sala na mfungo. Nawatakia Wakristo wote baraka tele na mfungo mwema.
75
125
797
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Nawatakia Watanzania wote kwa ujumla maadhimisho mema ya miaka 57 ya Muungano.
47
56
769
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Kwa niaba ya Wananchi wa Zanzibar, Nawatakia Watanzania wote Heri na Mafanikio katika Maadhimisho ya Sikukuu ya Sabasaba.
45
72
761
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Leo natarajia kufanya ziara katika maeneo ya mradi wa ujenzi wa Bandari mpya ya kisasa ya Mangapwani. #mangapwanimpya
57
65
745
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Tweet media one
105
86
735
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
4 years
Nimekuwa nikizungumzia uchumi wa bluu katika hotuba zangu nyingi kwa maana ya utalii, uvuvi, mafuta, gesi na viwanda vinavyotumia malighafi za bahari, lakini haina maana tutasahau kilimo bado kilimo kitapewa kipaumbele. #kurakwamwinyi #mwinyi2020 #yajayonineematupu
Tweet media one
Tweet media two
92
80
729
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Tweet media one
34
58
717
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Baada ya kufanya ziara katika maeneo ya Kichwele na Salem Mkoa wa Kaskazini Unguja, nimeamua kubadili matumizi ya mashamba ya mpira kuyafanya kuwa maeneo ya viwanda kufuatia mashamba hayo kutotumika ipasavyo na kuleta tija kwa Taifa.
69
69
675
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Leo nimefanya ziara ya kushtukiza katika bandari ya malindi Unguja ili kujua nini hasa sababu kubwa ya kucheleweshwa mizigo pamoja na meli kukaa muda mrefu bandarini. Kama nilivyosema awali kwenye kampeni zangu asiefanya kazi atawajibishwa. #kaziimeanza
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
223
49
669
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Leo nimemwapisha Mhandisi Zena Ahmed Said kuwa Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi. Hapo awali alikuwa Abdulhamid Yahya Mzee ambaye amemaliza utumishi wake Serikalini na kustaafu.
Tweet media one
Tweet media two
68
46
651
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
10 months
Nampongeza Mhashamu Baba Askofu Mkuu Mwandamizi Protase Rugambwa kwa kuteuliwa na Baba Mtakatifu Fransisko kuwa Kardinali wa Tatu wa Tanzania. Naungana na Watanzania kukutakia heri kwa majukumu yako mapya katika Kanisa Katoliki nchini. Mwenyezi Mungu aendelee kukusimamia.
Tweet media one
21
73
640
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Tweet media one
31
60
587
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Wafanyabishara wanatumia Covid-19 kuwa ni kisingizio cha kupandisha bei. Hili limethibitika kwa wao kuongeza bei kwa kiwango kikubwa kuliko ambavyo ingestahili, na kwa bidhaa ambazo hazijaathirika moja kwa moja, bei zimepandishwa vilevile. 1/2
92
50
577
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Leo ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi Agosti 2021, Namuomba Mwenyezi Mungu atujaalie Afya njema, atukinge na maradhi, awape shifaa wagonjwa wote na ailinde nchi yetu na mipaka yake. Jumaa Mubarak!! #zanzibar
Tweet media one
62
50
564
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
2 years
Leo ni mwaka mmoja tangu nimeingia madarakani. Namshukuru Mwenyezi Mungu na Wananchi wote wa Zanzibar Kwa kunichagua. Tuzidi kuendeleza mashirikiano baina yetu na kuilinda tunu ya Umoja, Amani na Utulivu tulionao. Safari ya Ujenzi wa Uchumi Mpya inaendelea. #Zanzibar
Tweet media one
117
75
544
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Tweet media one
20
61
558
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Nawaombea Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi na kuwatia faraja na nguvu familia zilizopoteza wapendwa wao 2/2
40
43
542
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
4 months
Namshukuru Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema kwa kufikisha miaka 57 leo. Kwa furaha pia nawashukuru wote mlioikumbuka siku yangu ya kuzaliwa, Asanteni kwa upendo na jumbe zenu za heri, Mwenyezi Mungu awabariki nyote.
85
72
554
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Bila ya shaka ujio wa ndege hizi ni mafanikio makubwa, Sekta ya usafirishaji wa Anga, Majini na Nchi kavu ni msingi muhimu kwa maendeleo ya uchumi wa Taifa letu na mataifa yote duniani. #Karibuzanzibar #kaributanzanite #airtanzania #atcl
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
46
64
532
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Mwenyezi Mungu atujaalie Upendo, Amani, Mashirikiano na Umoja katika nchi yetu. #JumaaMubarak
Tweet media one
49
40
510
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Asante kwa kuitembelea Zanzibar Mhe. Rais wa Burundi, Gen. Evariste Ndayishimiye. Kupitia ziara hizi tutaimarisha zaidi uhusiano wetu hususani katika biashara za sekta ya Uchumi wa Buluu. #zanzibar #Burundi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
29
67
519
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
On Behalf of the People of Zanzibar , I extend my congratulatory notes to your Excellency Mr. President-Elected @HHichilema and to the People of Zambia. As you prepare to take up the new responsibilities and challenges of your highest office, We wish you all the best.
Tweet media one
32
66
503
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Innalilah wainailah rajioun, Nimepokea kwa majonzi makubwa kifo cha Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM @ccm_tanzania kutokea Zanzibar, Ndugu Semeni Khamis Vuai kilichotokea hii leo. Mola ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
85
59
491
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
2 years
Leo nitafanya mazungumzo na Wahariri Wakuu na Waandishi wa Habari saa 4 na nusu kupitia vyombo mbali mbali Ikulu, jijini Zanzibar.
53
49
486
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Uchumi wa Buluu ni dhana pana yenye kubeba maana nzima ya kutumia kila rasilimali itokanayo na bahari ikiwemo UTALII, UVUVI, KILIMO CHA MWANI, BANDARI pamoja na MAFUTA NA GESI zilizomo baharini.
Tweet media one
47
93
469
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
My congratulations to the family of Dr. Salim Ahmed Salim initiative of The AMNE SALIM COVID-19 RESEARCH FUND.
Tweet media one
19
63
465
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Natarajia kuungana na Waumini wa dini ya Kiislamu katika sala ya Eid El Hajj kisiwani Pemba na baadae kuwa mgeni rasmi katika Baraza la Eid kesho tarehe: 21. Julai 2021 Eid Ul Adha Mubarak
46
52
474
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
2 years
Tweet media one
40
40
450
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Mimi Hussein Ali Mwinyi naapa kwa jina la Mwenyezi Mungu kuwa nitakuwa mwaminifu kwa Zanzibar na kuitumikia kwa moyo wangu wote na nitalinda na kuitetea katiba ya Zanzibar na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa TZ kwa mujibu wa sheria iliyowekwa. Nakuomba Mwenyezi Mungu nisaidie
Tweet media one
50
55
444
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
4 years
Nilipata fursa ya kuona Mechi kati ya Anfield na Taifa Tangini katika kinyang’anyiro cha Yamle Yamle Cup, Asanteni sana kwa mwaliko. #YajayoNiNeemaTupu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
30
31
425
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Tweet media one
27
62
428
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Nataka muondoe wizi katika Wizara zenu; swala la rushwa, ubadhirifu na wizi, Waziri ukishindwa kushughulikia hayo maana yake hunifai. Na bahati nzuri mkataba tulio saini leo hauna muda. Ukifanya vizuri utabaki na ukifanya vibaya unaondoka.
Tweet media one
61
34
432
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Nimemwapisha Bw. Suleiman Ahmed Saleh kuwa katibu wa Rais leo tarehe 7 Novemba 2020 Ikulu Unguja.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
59
40
419
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
1 year
Tweet media one
27
48
427
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Nimeanza Ziara Mkoa wa Kusini na nitaendelea katika Mikoa yote mitano. Leo ni zamu ya Mkoa wa Kaskazini, natarajia kuonana na Wananchi, Wajasiriamali pamoja na kukagua miradi ya Serikali.
31
36
403
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
1 year
Naungana nanyi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa baraka zake kumaliza kwa amani mwaka 2022 na kuukaribisha mwaka mpya 2023. Tuendelee kudumisha amani, upendo, mshikamano na tuchape kazi kwa maendeleo ya Taifa letu Heri ya Mwaka Mpya 2023
45
43
407
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Kesho natarajia kufanya ziara ikiwa ni mwendelezo wa kuwashukuru Viongozi wote wa CCM wa ngazi tofauti utakaofanyika ukumbi wa CCM Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja.
37
40
387
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Zanzibar tumekuwa na historia ya kipekee, Picha hii ya kumbukumbu leo itufanye tuzidi kuendeleza Umoja wetu, Amani na Mashirikiano katika ujenzi wa nchi yetu. #tbt #zanzibar
Tweet media one
50
60
393
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Nawasihi, wamche Mwenyezi Mungu kwa kuchuma faida halali na wasiwaumize wanunuzi wa mwisho ambao nao pia wamekumbwa na madhara ya Covid-19. 2/2 Jumaa Mubarak!
35
24
393
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
2 years
Jumaa Mubarak!
Tweet media one
27
34
387
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Leo nimemwapisha Dk. Mwinyi Talib Haji kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Ikulu Unguja. #kaziimeanza
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
56
34
383
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
2 years
Mwaka wa Neema ya Amani na Umoja Wetu, Safari ya Ujenzi wa Uchumia Mpya Inaendelea. #zanzibar
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
56
47
381
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Katika ziara yangu nimeridhishwa sana na hali ya amani, umoja na ushirikiano baina ya wananchi wetu kisiwani Pemba. Tuendeleze tunu zetu hizi. #Zanzibar
Tweet media one
44
31
382
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Pia nimemteua Luteni Kanali Khamis Bakari Khamis kuwa Kamishna wa Vyuo vya Mafunzo
24
27
382
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Niwatakie Ijumaa njema, Mwenyezi Mungu atukubalie ibada zetu na dua zetu. #Zanzibar
Tweet media one
46
22
372
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 months
Nimezindua rasmi Jezi ya timu ya Taifa ZANZIBAR HEROES katika viwanja vya Nyamanzi Mjini Magharibi, Unguja tarehe: 26 Januari 2024. Jezi mpya za ZANZIBAR HEROES zitatumika katika mashindano ya madaraja mbalimbali ya uwakilishi ndani na nje ya nchi.
53
76
386
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Lengo tuwe kitu kimoja na tuondoe tofauti zetu katika kutekeleza ahadi nyingi ambazo tumewaahidi wananchi wakati wa kampeni. Binafsi sitoweza kusimama mbele ya watu na kuomba kura tena kama yale niliyoyaahidi sijayatekeleza. Ziara ya kuwashukuru viongozi wakuu wa CCM.
38
51
372
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Tatizo kubwa la watumishi Serikalini ni uwajibikaji, Nimesikia maji yameanza kutoka baada ya kusikia nakuja hapa Welezo. Ziara: Mkoa Mjini Magharibi, Welezo.
56
48
367
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Alhamdulilah mimi na Mke wangu Mhe. Mama Mariam Mwinyi tumewasili Unguja kutoka Pemba katika ziara ya Kufutarisha na kijumuika na wananchi wa Pemba.
25
23
367
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Nimeshiriki katika mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza UVCCM DK. Mohamed Seif Khatib alisaliwa Msikiti wa Othman Maalim kwa Mchina na kuzikwa kijiji cha Umbuji wilaya ya Kati Unguja. Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
43
28
348
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
1 year
Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya kifo cha Ndugu Benard Membe ambaye alikuwa kiongozi mwenye uwezo mkubwa, mwanadiplomasia,na mtumishi shupavu wa taifa Natoa pole kwa familia, marafiki na wote walioguswa na msiba huu Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa amani. Amin
26
48
348
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
1 year
Tweet media one
24
45
343
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Ilinde Karafuu Kwa maendeleo ya Taifa.
Tweet media one
17
45
333
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
4 years
Endapo mtanipa ridhaa ya kuwa Rais wa Zanzibar, Ombi lenu la kumteua Mke wangu Bi. Mariam awe mlezi wa Jumuiya ya Wajane nitalipokea. (Baraza la Wawakilishi, Wete) #yajayonineematupu #mwinyi2020 #kurakwamwinyi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
36
44
332
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Muungano wetu ni Tunu ya Kipekee, Tuulinde na Tuudumishe. #Muunganowetu #Tanzania
Tweet media one
Tweet media two
54
48
328
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Leo tarehe 09 Novemba 2020 Nimemuapisha Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla kuwa Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar. #kaziimeanza
Tweet media one
45
32
320
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Niwatakie Ijumaa njema yenye baraka kwetu sote. #jumaamubaraq
Tweet media one
33
30
310
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Innalilah wainailah rajioun, Pumzika salama Jaji Haji Omari Haji.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
21
17
311
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Tweet media one
32
53
305
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
2 years
Nimepokea kwa huzuni kubwa kifo cha aliyekuwa Rais wa tatu wa Jamhuri ya Kenya Mwai Kibaki aliyekuwa madarakani mnamo mwaka 2002-2013. Rais Kibaki (90) amefariki dunia usiku wa Alhamisi ya tarehe 21 Aprili, 2022 Mwenyezi Mungu amlaze marehemu Kibaki mahala pema peponi. Amin
39
41
308
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
4 years
Tuwe na uvuvi wa aina tatu, uvuvi wa bahari kuu, uvuvi wa maji madogona uvuvi wa kufuga samaki, pamoja na majongoo na chaza. tukiyafanya mambo haya matatu vizuri na kisasa tija itapatikana. #yajayonineematupu #mwinyi2020 #kurakwamwinyi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
108
47
274
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
4 years
Nilipata fursa ya kuonana na madhehebu mbali mbali ya dini ya kikristo. Nimezisikiliza changamoto zenu na naahidi kuzifanyia kazi niingiapo madarakani. #kurakwamwinyi #mwinyi2020 #yajayonineematupu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
43
38
297
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Leo nimekutana na Viongozi wa Wizara ya Ujenzi, Mawasilino na Usafirishaji na Viongozi Shirika la Bandari la Zanzibar kupata maelezo juu ya ucheleweshwaji kushusha mizigo na utendaji usioridhisha katika Bandari ya Zanzibar. #kaziimeanza
Tweet media one
40
30
291
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Tweet media one
29
36
275
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Tweet media one
37
12
266
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
4 years
Tuna kila sababu ya kuwa na viwanda kwasababu tuna malighafi, Hii ni njia mojawapo ya kuongeza uchumi pamoja na ajira kwa vijana. #mwinyi2020 #kurakwamwinyi #yajayonineematupu
Tweet media one
24
37
257
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Kwa mujibu wa uwezo niliopewa chini ya kifungo No:66 cha katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984. Nimewateua wafuatao kuwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi: 1. Mh. Saada Mkuya Salum 2. Mh.Tabia Maulid Mwita 3. Mh. Juma Ali Khatib 4. Mh. Hemed Suleiman Abdalla 5. Mh. Anna Athanas Paul
Tweet media one
46
32
268
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
2 years
Dr. Salim is honored for his outstanding dedication, tenacity and perseverance. #DearDrSalim
12
33
261
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Mkutano wa Halmashauri Kuu utakao anza hivi punde Makao Makuu ya CCM katika maandalizi ya kuelekea Mkutano Mkuu utakaofanyika kesho tarehe 30 April 2021. @ Dodoma, Tanzania
27
27
257
@DrHmwinyi
Dr Hussein Ali Mwinyi
3 years
Viongozi wetu wa Dini ni kiungo muhimu sana katika ustawi wa Jamii na Nchi yetu. Mwenyezi Mungu azidi kuwapa afya na siha njema. Jumaa Mubarak.
Tweet media one
25
30
253