SHAIRIKA KIBISHI Profile Banner
SHAIRIKA KIBISHI Profile
SHAIRIKA KIBISHI

@NikkiZohan

Followers
71,618
Following
180
Media
1,121
Statuses
28,503

Emcee/Rapper/Beat Maker/Actor and Host Contact:+255654600065/+255747828275

Tanzania
Joined August 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Leo ni kumbukumbu ya siku yangu ya kuzaliwa ambayo hata @chapo255 haijui zaidi ya kuniandika habari za kipumbavu na kuaminisha UMMA ujinga,sijamsamehe mpaka atakaponiambia alipotoa taarifa alizoandika juu yangu....Kama anadhani kuniblock ndio solution mwambieni Dunia Mtaa.
Tweet media one
200
48
1K
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Kipindi cha Salama Na cha @EceJay akimaliza kuhoji watu walewale kinaisha anakuja na kingine cha kuhoji watu walewale kinaisha tena !
111
64
1K
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Jamaa yenu lazima ATAOMBA interview ila mimi SIJAOMBA niliitwa hahahahha😅😅
Tweet media one
84
28
933
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Mtoto wa kiume anafanya mambo ya kike mitandaoni halafu anapata comments,views na likes nyingi toka kwa wanawake na yeye anaendelea tu. #KomboaMtotoWaKiume
35
72
807
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Nimecheka sana jana jamaa ananidiss kwa mistari yangu iliyo kwenye SIHUSIKI NAO.....Kaandike tena ile FUTA utachekwa MAWENGE 😎
82
16
757
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Msilazimishe nimtambue mtu,sijapost interviews zao ila wao wanapost zangu. Mdwanzi kayataka halafu anaenda kujiongelesha aonewe HURUMA na UMMA,nenda studio we si msanii?
Tweet media one
72
26
741
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Interviews za kujidhalilisha mambo yenu ya ndani wanawapa ila shows za kuwalipa muendeshe maisha yenu wanawatosa na bado mkifika redioni mnafunguka utadhani baada ya hapo watawalipa kumbe kujichoresha tu.
58
85
742
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
3 years
Kijamaa kinaona kimeoa mwanamke mzuri kuliko wote Duniani 😎Kumbe hata Jasiri angekuwepo angemuonesha NJIA....Panaitwaje pale Sinza?
79
28
728
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Huyo ADAM MCHOMVU mwenyewe anayekuongopea alishawahi kununua SAUTI YA JOGOO akawa nayo kwenye gari mpaka imechubuka na hapigi REDIONI,nilimuuliza akasema hajui tatizo....That's when I stopped fucking with them...Eti leo wewe ndio unatimiza ndoto zako kupitia waliojaribu kutuua.
76
59
708
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Media za Bongo bwana,eti Roma katoa ngoma halafu kakimbia....Kwa lipi la ajabu aliloimba kwenye huo wimbo alioutoa kabla hajaondoka?Mbona hamna cha kustaajabisha at least hata nyimbo za zamani au angekimbia ilipotoka ZIMBABWE...Acheni kukuza mambo kwenye MKOMBOZI nini cha hatari?
37
38
710
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Ngoja nimtafutie KASUKU wenu maneno ya kuongea leo.
Tweet media one
50
41
713
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Kwa jina la HIP HOP......Amen 🙏🙏🙏
Tweet media one
22
82
701
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Jamaa kafanya Freestyle ya kiboya sana aisee halafu kapost Mitandaoni huku anajitia KIPOFU hasomi comments. Pitia COMMENTS mzee ujue nafasi yako kwenye HIP HOP TZ!
Tweet media one
79
29
685
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
6 months
Tweet media one
21
68
686
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Don't ever underestimate @Wakazi he is really making EFFORTS and mostly he got something to present I appreciate that energy.
29
51
645
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Muendesha mada za UMOJA WA WASANII umefikia wapi?Unatukana watu eti kisa wanascreenshot na kunitumia mnavyochonga.....MSENGEnyaji wewe!
59
23
621
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
SIASA inataka MDOMO sasa kaka yangu @MwanaFA wewe hujajaaliwa kuzungumza sana basi itabidi ubaki upande wa wanaharakati maana wao HUTENDA sana kuliko kuzungumza! Kila la kheri kaka!
18
24
626
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Mwanamke mwenye vijihela ni Nadra sana kuolewa,maana wanaume hatupendi dharau hata kama hatuna kitu,TUTAKUTUMIA na kukutosa njiani kwa tabia zako chafu kujifanya unaweza sana kila kitu eti MISS INDEPENDENT. Angalieni hawa wanaharakati humu wale wa mama kama wana waume!
46
52
602
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
11 months
Wasanii mnaowaalika ndiyo hao hao wanaongoza kuvunja maadili kwanza hizo nyimbo za kuelimisha jamii wanazo?Tunaojitolea kuelimisha hakuna anayethamini,imagine mtu kama KALAPINA ana taasisi kabisa ya upingaji wa matumizi ya madawa ya kulevya ila wanaalikwa waimba pombe!
32
99
612
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
6 months
The Hulk Hogan Of Rap(Mkurya+Mhehe+German)
Tweet media one
35
41
609
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Hivi Duniani kuna mtu ambaye hana STRESS kabisa? Maana msanii akiongea mawazo yake mbadala anaambiwa ana stress za sanaa yake....Kwa hiyo nani hana stress maishani BILL GATES au Rais Magufuli?
30
38
569
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Kwani @VodacomTanzania mpo nchi gani?Maana kama ni nchi hii hamuwezi kuuza 1.2GB kwa Tsh 2500. Naomba ushauri jamani mtandao gani wenye huruma kwa wananchi nihamie maana huu wa matajiri umenishinda.
190
36
558
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Mimi huyu nijiunge 1.3GB Kwa Tsh 2500 kila siku? 2500x30=75000 Tsh Hell No!
40
25
559
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
2 years
You see my success I'm tryna succeed,You Niggas suck cess in blunts and suck seeds!
Tweet media one
49
38
575
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Mchizi mwenye laana kibao halafu hajajishtukia 😅😅 Hivi ukimtoa mama Mzazi ambaye ndiye pepo ya Dunia(Sizungumzii yule aliyetupa mtoto kwenye shimo la choo)kuna mpumbavu mwingine anaweza kumlaani mtu?
Tweet media one
28
28
551
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Furaha yangu ni jinsi wazee wa kuhamahama vyama wanavyokatwa inatia faraja sana
13
25
554
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Tuache kupretend kuwa tuna Muungano imara,nilikuwa Zanzibar kuna jamaa kanitolea maneno ya fedheha sana kisa natoka Bara,jamaa hakuonesha upendo niliyomuonesha...."Msituletee mambo yenu ya Bara,kwanza huku mnafuata nini si mbaki kwenu?" alisikika jamaa akinichana.
68
35
545
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
"Stop making Stupid people famous" Mhe. Mkuu wa Mkoa @Paul_Makonda yuko sawa ila kwa kuwa kila kitu juu yake ni lazima kipingwe ndio maana hilo limekuwa tukio la kushadadiwa...Ni namuunga mkono SHAURI YENU...
243
29
543
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Marapper wa lift,mpaka UNJU akinukishe ndio wajichomeke kupata INTERVIEWs.
69
28
537
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
1 year
Zillah alisema "Namchimba ka" Madini, Namchimba kama DINI" That's Genius na ilikuwa FREESTYLE
Tweet media one
15
38
562
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Mtindo wa kukimbilia kwenye kamba za ulingo ni wa kiboya sana wala sio kujipanga bali WOGA tu by the way akina Tyson na Muhammad Ali walifanya hivyo wakiwa washazeeka wanakaribia kistaafu BOXING,sasa sijui MWAKINYO yuko inspired na nani kupigana ngumi za kitoto vile....!?
64
13
531
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
2 months
Mama huwezi kuamini nimefanya COLLABO na wewe @SuluhuSamia ,wimbo namba 9 hapo.
Tweet media one
29
104
569
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Mimi ni mwanaharakati wa kutetea haki za wanaume na watoto wa kiume!
24
37
528
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Most of the time,Unju amekuwa akianzisha mijadala,feuds,battles ikiwa ni mwendelezo wa kuhuisha UTAMADUNI wa Hip Hop. Sasa anatokea jamaa anasema nimedharau CULTURE,kabla ya mimi kuleta NZI wao walikuwa wapi na wanafanya nini?Mengine mshukuru nikiuchuna kabisa hampati la kuongea.
Tweet media one
29
42
531
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
3 years
Welcome To Tanzania:A corona-virus free country 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
15
21
522
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Hunijui utanijua SOON na wapuuzi wenzio endelea kujitafuta.
55
19
509
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Tweet media one
27
11
524
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Sipendi mtu/mwandishi anayeandika Jina langu tofauti na ninavyoandika. Nick Mbishi,Niki Mbishi,Nikk Mbishi, Nicky Mbishi huo wote ni upuuzi mimi ni NIKKI MBISHI. Umekuta Coca Cola halafu unaleta mbwembwe za kuandika mara KokaKola mara CokaCola acha kuharibu trademarks za watu.
46
31
514
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Wasanii wakubwa kukaa kimya bila kupaza sauti dhidi ya ukandamiza kwa wasanii wadogo ndio kukomaa kibiashara??
Tweet media one
23
19
511
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Dunia imekuwa ya ajabu sana,yaani imefika hatua watu wapo mitandaoni kujua nani atapost kuhusu RUGE au hatopost. Sote njia yetu ni moja,tusijisahau sana. Maisha sio kupost tu.....
67
58
506
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Zamani vijana walianza kuvaa viatu halafu ndio suruali ila siku hizi ukianza viatu suruali haipiti....😑
26
38
495
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Huu mlipuko wa COVID-19 umechukuliwa seriously kwa sababu hauui watu weusi tu bali weupe tena kwa wingi and so far sijaona mtu mweusi kuteseka na CORONA zaidi ya wao walioleta hilo tatizo.
24
17
489
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
6 years
Mpe hela,simu kali,gari nzuri wazazi wake hawatahoji katoa wapi,sasa mpe mimba uone!
31
57
496
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Ila Madam wa BSS ni bonge la artist nawaza alikuwa analia nini watu wakiimba au ndio hisia kali?
Tweet media one
44
22
494
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Utamsikia Inshaa Allah tukijaaliwa mtamjua shemeji yenu sijui nini nini!Acha maneno weka muziki @ommydimpoz interviews zako za kuepuka swali la mahusiano kila siku ni SHAKA kwa kijana wa kiafrika.
49
13
480
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Support tunayopeana mimi na @Wakazi ingekuwa wasanii wote tunasupportiana hivi tungekuwa mbali sana.
22
35
472
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Nani ana tickets za UNLOCK?Nahitaji nikaangalie SHOW.
44
8
469
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Kuna wasanii hata hawajapata tabu na game,wameanza muziki kila kitu kipo kwa hiyo msiniulize mambo ya VANESSA kuacha muziki,niulizeni O TEN yuko wapi?
18
26
475
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
6 years
Wilfred Bony alipowaza kuja Tanzania akataka kupokelewa na familia ya Mwalim JK Nyerere,akaingizwa chaka akapokelewa na Steve Nyerere badala ya Madaraka au Makongoro,matokeo yake ni FEDHEHA tupu,jamaa anajiuliza huyu ndiye mtoto wa Rais kweli?
38
56
454
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Kwa sababu ya watoto wa kike watabakwa kwa kutembea umbali mrefu kwenda shule ndio mjenge mabweni ila vinginevyo mngeacha watoto wakiume wapambane na hali zao kwa kutembea umbali huo mrefu,si ndio ama? Mnawaza kwa kutumia makalio au?
22
28
471
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Kiutendaji na utekelezaji tu @makonda_paul hawamuwezi labda mapungufu mengine ya kibinadam.
62
10
458
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Nuh Mziwanda njoo na picha zako na wewe ulizopigwa....Maana wao wakitupiga sisi huwa tunaona aibu kusema na hata ukishtaki POLISI wanakushangaa na kukukejeli eti "We mwanaume hayo mambo kakaeni myamalize" Sasa wapigwe wao ndio utaona uadilifu wa vyombo vya dola.
22
35
468
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
1 year
KATIBA MPYA on sales!
Tweet media one
10
41
484
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
6 years
Oya ROSTAM achieni lile goma lenu la mabata madogodogo yanaogelea kama wanazingua Parapanda...
17
41
455
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Mwanangu #ZIZI leo media zote ni zako,nasumbuliwa sana simu za kuhojiwa kuhusu wewe. Najua uko mahali unatabasamu ukiwatafari BINADAM. Uliniita "MACHUCHE" nikaitika "NIAMBIE MBUNDA" 😀 I…
18
52
451
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Siku Dunia ikishtuka haki zote zitakuwa za watoto wa kike halafu tutaanza kuhangaika kumuinua mtoto wa kiume....Tuendelee tu maana tunaona ukienda polisi umepigwa au umejeruhiwa na mwanamke inakuwa sio kesi ila wewe mnase kibao tu uone itakavyoshupaliwa hiyo kesi.
24
57
446
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Oi sister @JideJaydee ukihitaji wa kukubebea mabegi kwenda Dom nishtue,nimeacha muziki napiga dili hizo siku hizi!
15
14
444
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Kwa hiyo @AyTanzania na @MwanaFA wamekubali kufanya show kwa hela ambayo hata mimi kajamba nani nimekataa?
66
22
432
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Nipsey Hussle R.I.P japo sikuwahi kuwa shabiki yako wala sijui hata wimbo wako mmoja.
30
17
423
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Ingia booth kaongee kama nilivyofanya sio unajielezea Twitter na Instagram.....Wewe una business management skills,umefanya nini SO FAR?Mnajitia wafanya Biashara na Biashara yenyewe hatuioni...😎Na ndo nimeanza naingia tena STUDIO.
Tweet media one
51
29
430
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Sikuwahi kuwa na uhasama wala kumchukia GODZILLA(R.I.P) bali kwa kuwa nilipenda ustawi wake nilisema maneno ya kumkera ili apachukie alipo maana napafahamu,tuungane tufanye kazi pamoja,kumbuka "Kila Siku" "Kill Yaself" "Hii Ndio Time" "Naplay" n.k #PricelessFaktz
24
40
419
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Wazungu walikuja na mambo ya Women Empowerment kwa sababu wanawake ni wengi kuliko wanaume kwa hiyo familia ya kitajiri kama ROCKEFELLER iliwaza namna ya kukusanya kodi kwa wingi ikagundua tukiwapa nguvu wanawake nao watafanya kazi na watalipa kodi kuliko wanaume. Inaendelea.....
14
44
426
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Hili suala la @nikkwapili "MSOMI" nani aliliidhinisha liwe nyeti hivyo,mbona hata hoja zake ni za bei CHE tu sometimes kama NAIVE people wengine?Mbona @MwanaFA ana MASTERS Degree kabatini na kauchuna tu....Au ni vile presenters wengi ni TABU DARASA ndio maana wanaona ajabu?
61
49
417
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Kama hizo "Alcohol based handwash Sanitizers" zinaweza kuprevent COVID-19 ina maana wameshindwa kuwaambia watu directly kuwa pombe hususan POMBE KALI(Hard Liquors) ni dawa ya CORONA virus. #MuwaGangKnowWhatImean #NawazaTu
22
20
428
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
WAMEKWISHAAAAA!
19
6
417
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
6 years
Wabinua makalio wenye 1m followers Instagram,wataiweza twitter?
44
31
412
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Time yetu kama imekata hivi,una nini cha mwisho cha kuwaambia mafans wako @Nashemcee
20
12
406
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
6 years
Wasanii wakongwe wa Tanzania wengi wao hawana miaka 40 ya kuzaliwa ila wanazeeshwa ili wajione hawawezi kasi ya watoto wa '98 au 2000,sasa kama Dully Sykes mkongwe R.Kelly je?
26
42
410
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Pata Picha NIKKI MBISHI ndio mshindi BSS halafu hamjamlipa kwanza chief judge ana mabinti wazuri najimilikisha wote bila mahari! #Nyambaff
42
14
397
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
2 years
UNJU na KATIBU!
Tweet media one
17
15
413
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
7 months
Umri unakuja na mengi sana,zipo siku kaka yangu @FidQ alishawahi kunitreat kama nilivyo mtreat CHOLO BRIGHTER...Kwa umri ule usela uliitawala busara, Fid Q fits in my top 5 EMCEES of all times...Sina noma na CHOLO BRIGHTER, he's just a STAN to me like I was to FID...We Inspire!
11
59
421
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Msanii hapati endorsements,shows,huko YouTube hajawahi kufikisha viewers/subscribers wa kutosha kufanya alipwe pesa,kifupi hapati chochote throughout a year na bado atoe laki ngapi kwa mwaka?
19
22
397
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
2 years
Waambie hao wamea PEMBE....Maana tukipewa sifa hiyo wapo mpaka wanaojiita LEGENDS wananuna kisa hawajawahi kutajwa kama INSPIRATION.
Tweet media one
20
46
407
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Kuna mtu anapiga mkwara eti ataniteka 😎😎 kwenye group Lao ambalo sipo. Halafu namheshimu bora akaushe!
29
13
391
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
6 years
Wasanii na presenters You know you know kwenye interviews mkiongeleshwa kiingereza mwanzo mwisho mtaweza au mnadokoa dokoa hizo I garra I garra zenu?
39
52
391
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Kila mtu jibu jibu yaani nimechanwa jana tu wazee ngojeni mwana apate views kwanza. BADO NIPO KAZINI. #UNJU
67
26
380
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Ukitaka kujibiwa vitu havieleweki muulize @ommydimpoz DEM WAKE nani? That's what I have observed 😎
36
11
387
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Sema raia wachonganishi sana mnataka kusema kwenye "IMEISHA HIYO" ya @FidQ na #Mwanawe #Mweusi #Izzy nimechanwa tena duh!Basi kazi ninayo 2020!
19
13
389
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Majimbo mengi ya upinzani hakuna maendeleo kwa wananchi maana wao kutwa wanasolve kesi polisi na mahakamani,kiukweli wananchi wanahitaji miundombinu thabiti,aibu ni kwamba mpaka maeneo yao ya kishua nayo hawejengi barabara,njia hazipitiki kirahisi wakati huu wa mvua.
190
26
378
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Bongo Fleva bwana eti "Kila kona alizopita njia zake ni nyeupe sometimes napiga pamba nazama street kwa maselaaa" Hit song hiyo wewe @Nashemcee Hii mitaa ya Tabata Dampo nikakuta hayo machata.
Tweet media one
20
21
385
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Tuko Studio tunatengeza ngoma za watu kusikiliza... @King_Zillah
Tweet media one
24
29
378
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
"Historia ya SIMBA ni kuhofia MAASAI tu na siyo MAKONDE,kwa hiyo SIMBA alitakiwa kumhofia sana Mr Ebbo(R.I.P)" -Unju
Tweet media one
Tweet media two
29
19
389
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
2 years
Mhe.Mbowe WELCOME TO GAMBOSHI!
Tweet media one
13
61
384
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Sawa msipige video yangu kwa sababu sijawaletea,pigeni hizo za Jay Z alizowaletea 😂😂😂
Tweet media one
41
54
370
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
These stupid motivational speakers have been ruining women's minds,just because they steal under GOD'S NAME,they think every broke man is as stupid as them. Yule mdwanzi aliyesema sijui mwanaume Nye Nye nye ni MSANII yeye ndiye MSANII wa kwanza na anitafute nimtoe NISHAI,shenzi!
26
24
374
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Mpira ushatushinda tuendelee na timu zetu....Tutambuane nani WASAFI nani KINGS. 😎
30
14
356
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
2 months
My brother @AyTanzania thanks for your hospitality.
Tweet media one
7
72
393
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Struggle yako ni kujipenyeza kwenye cycle ya WAPIGAJI WABINAFSI na support unayopata toka kwa WADHAIFU walionishindwa.....!Hamna Hip Hop ya hivyo mwambie na huyo JAY Z mwenye Rasta!
25
21
380
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Wasanii wote hatuna UPEO ila yeye ndiye ana UPEO anajua sana na ana CONNECTION na maboss ili awe MTU WA KATI. Eti oooh majina yenu yametajwa kwenye list ya wasanii FIESTA ila kunafigisu sana na jamaa mmoja ndiye aliyekata majina ya SISI THE TRIO(Jina kapuni)
50
20
362
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Kirefa KIPUMBAVU kilitoa Penalty kwa vyura jana kubumba matokeo. Nadhani kimeona mpira leo....
18
11
373
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
6 years
Leo hii mtu kama Ferooz anaonekana KITUKO licha ya waTanzania kucheza sana muziki wake mbaya zaidi anadharaulika na watoto wadogo kabisa ambao wakati JIRUSHE inatoka wao hata vidudu hawajaanza....Tatizo hawakuji-BRAND 😂😂😂😂
22
33
368
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
2 years
Hii kila mwenye akili anajua,SIASA tu!
25
50
373
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
6 years
Napigiwa simu za interviews nyingi sana kwa sasa sijui wanataka nini? Ni hivi sitaki interviews zenu,kwanza tunawajazia views tu YOUTUBE.....Jihojini wenyewe!
36
38
366
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
2 years
Nilitumiwa hii kumbukumbu na muongozaji wangu MAHIRI kabisa @MeckyKaloka nikakumbuka kwenye KINGDOM COME mistari ya JAY Z. Nikawaza @ProfessorJayTz kuna namna itabidi ifanywe ili heshima itunzwe DAIMA. Nisingepata huu Ugali kupitia RAP kama Sio JAY. SAFI #TRUBA kwa PROPS.
Tweet media one
12
31
362
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Kuna watu nitawachana na baadhi nitawatemea hata makohozi tukikutana #MBWA nyie mkibisha nawamention hapa.
20
7
359
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
1 year
Tweet media one
16
50
376
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Mlevi Komba,John Captain,EL CHAPOmbe.
29
9
359
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
6 years
Chiku K is back ladies,msupportini kama mlivyomsupport Zamaradi kwenye 40 ya mwanawe. Nimejitolea kumuandikia CHIKU wimbo mmoja hatari kwa FEMALE EMCEES.
8
32
355
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
5 years
Nothing Lasts Forever,kalawitiwa Amber Rutty na tumesahau! 😂😂😂
29
11
359
@NikkiZohan
SHAIRIKA KIBISHI
4 years
Juma Nature akasema tena "Ulipigwa DENDA mpaka gari ikagoma kwenda" 😁
15
16
361