Joined2022 Profile Banner
Joined Profile
Joined

@Joined2022

Followers
16
Following
48
Media
35
Statuses
1K

D.o

Joined February 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Joined2022
Joined
2 months
Uliingia madarakan Soda zilikuwazinauzwa 500 saiv 800 Nyama ilikuwa inauzwa 7000 saiv 13000 Cement ilikuwa inauzwa 17500 saiv 24000 au kwakuwa nyie hamnunui kwa pesa zenu kila kitu mnapewa bure?
0
0
0
@Joined2022
Joined
2 months
Hapa ndipo viongozi wanatuona kama mazuzu wanafanya wanavyotaka.
0
0
0
@Joined2022
Joined
2 months
Mmefungia x au Tweeter halafu viongozi mnapost mnataka kuonyesha dunia kuwa nyie ni wema sana kumbe ni madictotor tu
0
0
0
@Joined2022
Joined
3 months
Yaan mtu anauchu wa madaraka anaamua kuwawwkea vizingiti wagombea wengine wasigombee halafu anasimama anasema tuepuke watu wenye uchu wa madaraka dah.
0
0
0
@Joined2022
Joined
2 years
Kwahiyo leo ni pasaka Zanzibar hawapiki ubwabwa kisa waisilamu wamefunga? Mbona wakrosto tumefunga siku 40 na hatukuwashitaki wala kuwabagua? Uisilamu ni dini iliyojificha chini ya ugaidi.
0
0
0
@Joined2022
Joined
2 years
Nawaza kwa umeme huu tunahitaji raisi mkali zaidi ya Maguguli la sivyo wafanya biashara wataendelea kututawala.
0
0
0
@Joined2022
Joined
2 years
Nawaza sijajua hawa jamaa wamelipwa ili kutusimanga?
0
0
0
@Joined2022
Joined
2 years
Nikifa bila kumiliki gari mniue
0
0
0
@Joined2022
Joined
2 years
Nataman vijana tuamke tutoke ndotoni, haiwezekan tunapakwa mafuta kwa kutumia mgongo wa chupa. Kila siku wastaafu wanateuliwa leo unasema vijana wamejaa ? Dadeki
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
2 years
Imani ya Rais Samia kwa vijana sio ya dunia hii. Ahsante Rais kwa Imani yako hii. Baraza la Mawaziri Karibu lote limejaa Vijana. Kazi kubwa kwa Vijana ni KUTOKUKUANGISHA. Naamini tutatimiza ndoto zako na za WATANZANIA!
0
0
0
@Joined2022
Joined
2 years
Maraika uliyeko zamu kuchochea moto huko kwenye jua tuonee huruwa.
0
0
0
@Joined2022
Joined
2 years
Kuna wananchi, Wala nchi na wenye nchi Tanzania yangu hii
0
0
0
@Joined2022
Joined
3 years
Secretariet ya ajira popote mlipo mpigwe na radi mfe dadeki, mnatusumbua kuja kwenye interview kumbe tayari mmeshachaguana? Pumbavuuuu sana
1
0
1
@Joined2022
Joined
3 years
Hivi wananchi hatuna haki ya kuandamana kudai umeme? Maana naona hawa jamaa wanatuzoea sana dadeki mvua inanyesha ila bado kuna mgao wa umeme? Au basi
0
0
1
@Joined2022
Joined
3 years
Waso dhambi
@HKigwangalla
Dr. Hamisi Kigwangalla
3 years
Mwambieni Mzee Warioba apumzike, maana alikuwa Waziri Mkuu wetu, na sehemu ya mamlaka ya zamani ambayo pia tuliisifia; yeye alipaswa kuwa ametumalizia hizi shida toka enzi hizo! Tatizo hakuzimaliza ndiyo maana mpaka leo bado tunahangaika na kero za masoko ya bidhaa za wakulima!
0
0
0
@Joined2022
Joined
3 years
Nikiangalia hiiratiba nataman kutoa machozi, sijui ni jin gan linalo tupitia unakata umeme kuanzia saa moja asubuhi hadi saa tano usiku dah 😰😰😰
0
0
0
@Joined2022
Joined
3 years
Tulikuwa tumesha sahau kabisa kuhusu mgao wa umeme na maji, Ninakumbuka hata kipindi cha Jpm jua liliwaka sana hadi tukafunga na kuomba ila huu mgao sikuusikia. Kwan wameanza kufungulia maji maana ndo zilikuwa zao
0
0
3
@Joined2022
Joined
3 years
Sasa hivi unablock watu wasikukosoe mpuuzi mmoja wewe
@kigogo2014
Kigogo Media
3 years
watu kutokana na watu wengi kutoka mikoa mbalimbali kuvutiwa na shughuli mbalimbali za Kiuchumi na jamii" " Kupitia tozo mbalimbali zinazokusanywa nchini tumeweza kupatiwa fedha hizo kwajili ya ujenzi wa madarasa zaidi ya 12 " " Kupitia tume ya Taifa Umwagiliaji tuna taarifa
0
0
2
@Joined2022
Joined
3 years
Swali linakuja mwanzoni nchi ilijengwa vipi? Mlituambia pesa za covid zimejenga vituo vya afya na shule na tozo zinzfanya the same. Na kwa sasa zile kodi zilizo kuwa zinajenga hiyo miradi zinakwenda wapi? Ja kodi ya majengo nayo inafanya nini?
@kigogo2014
Kigogo Media
3 years
Mzee Kimario ameelewa kwa ufasaha juu ya faida ya tozo na kodi
0
0
0
@kigogo2014
Kigogo Media
3 years
Mzee Kimario ameelewa kwa ufasaha juu ya faida ya tozo na kodi
0
9
51
@Joined2022
Joined
4 years
Pesa nikama ukimwi kila mtu anasema hana.
0
0
0