Jmbish2 Profile Banner
JOSSY🇹🇿 Profile
JOSSY🇹🇿

@Jmbish2

Followers
10K
Following
22K
Media
1K
Statuses
15K

FBO

Mbeya, Tanzania
Joined January 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
20 hours
Sisiem 👇.Kapange foleni Upige kura Bila Mabadiloko au Uoshe Vyombo vya Familia yenu Kila siku. Mimi: Kaleten na Vya Jirani vya kila siku msijali nitaosha .👇
Tweet media one
7
8
18
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
3 minutes
RT @Toto_la_kihaya: Hatuachi mtu nyuma.Kuja tunyanyuane .Strong together 🤝 . @AwaKabui22175 .@KrtScrappy .@CruiseAfrika .@AlphaLima1919 .@j….
0
6
0
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
3 minutes
RT @Sativa255: VITU VYA KUBEBA KANISANI KESHO UBUNGO. 1. SADAKA YAKO. 2. BIBLIA. 3. FILIMBI. 4.KITAMBAA. 5. CHUPA KUBWA YA MAJI YA KUN….
0
16
0
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
1 hour
RT @Noedson_tz: RT . RT Kwa janja la mbeya.
0
6
0
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
1 hour
Hii alie Andika atakuwa ni Mwanasisiem,, tena mpiga madili,,.Kutekwa.Kupotea watu.Kuuawa watu.Kusingiziana kesi.Kufungia watu kuabudu.Ndo Inchi ya Aman Matukio ya hovyo yanakuwa hvo,, Duh
Tweet media one
3
1
4
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
2 hours
RT @Toto_la_kihaya: You won’t regret following a list of loyal people. Drop your handle so we can connect. Strong together. @Toneekym.@Mwa….
0
12
0
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
2 hours
RT @Eng_Matarra: #Confirmed✅️. Kijana mwenzetu @Sirjeff_D amekamatwa @tanpol akiwa Mafinga, akasafirishwa hadi Dar, akalazwa Kilwa Road. Ja….
0
150
0
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
2 hours
RT @Sarcastic_us72: Honestly!!.Following someone on 𝕏, and having them Follow you back is the most precious thing on 𝕏. Normalize winning….
0
6
0
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
2 hours
RT @ibrahimmmoto: I have come a long way to get here, so I know your importance and I don't want to underestimate you. If you follow me, I….
0
72
0
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
3 hours
Hiv Ukifunguliwa Kesi ya Uhujumu Uchumi kwa hii Inchi. HUTOBOI😂.Ukipata Hela unatakiwa Uilipe serikali usipo lipa wewe ni mhujum Uchumi😂😂. Style ya Kupata hiyo hela Utajijua , ila wanasubir Upate wakudai🙌🙌.
0
1
7
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
3 hours
Au sio,, kama kawaida yao.
@Eng_Matarra
JAPHET MATARRA
3 hours
Naambiwa kijana @Sirjeff_D amekamatwa na Jeshi la Polisi akiwa Mafinga baada ya kutoka Kitulo, juzi usiku kalazwa kituoni Kilwa Road. Nasikia muda wowote anafikishwa KISUTU, kwa kesi ya kesi ya uhujumu uchumi.
0
1
3
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
3 hours
Kuna kaswali hapa.Eti Taifa La Mungu na Lenye Amani!!.Viongoz wanaweza kuwa mashetan kwel?.Inanifikilisha sana.
4
5
10
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
3 hours
Enock wamemuua hao viongozi wa kijiji kama inavoonekana kwa video pale. Subirin na alie record na kuisambaza hii video, Watakavo ruka nae jumla Jumla😂.
1
2
17
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
6 hours
RT @JumaAbdukarim: Tupo katika taifa ambalo vijana wengi wameamua kutanguliza tamaa ya vyeo ma mishahara na kuacha dignity Yao binafsi na t….
0
23
0
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
14 hours
Ndo tunashukuru, hata sisi tunampa heshima yake,, na ndo alietwambia, maja kapigwa pin asigombee ubunge ikawa kweli.
@Jogoo_Mtemi
𝟐𝟎𝟑𝟎-𝟏𝟕
14 hours
Unaambiwa watu wa MBEYA kupata Taarifa Mpaka SATIVA aposti ndo na wao wanapata Taarifa! 😂 . Nipo teyari Kwa VITA. 😎
Tweet media one
1
0
4
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
14 hours
Mama Jambazi, Aliye watuma Akina Nyundo , kutmba na kufra yule mbint dovya hivi alifungwa miaka mingap yeye😎.
1
2
11
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
16 hours
RT @JohnNgutiCDM: Dhamana ya Usalama wa LISSU ipo Mikononi mwa Serikali ya Samia, Serikali inayotuhumiwa KUTEKA, KUTESA, na KUUWA wakosoaji….
0
35
0
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
17 hours
#NoReformsNoElection kujen hapa tupige kura hizo✌
Tweet media one
@Skyfly_gains
Splendor Kyrios🌴
18 hours
Uchaguzi huu wa October 2025 tunaenda kwa kauli gani wanangu?.
2
0
6
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
17 hours
Nyie mnawachukia tu Bure watumishi wa Uma Hasa Manesi, watendaji, na walimu bila kusahau polc,, .Wanahitaji Onewa huruma wanaishi maisha magumu kiufupi wametekwa😂😂 muda wote wanatishiwa kufukuzwa kazi🙌🙌. wanaishi kwa maelekezo, ndo maana wanatumika sana kuiba kura,, kirahisi.
2
2
8
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
18 hours
RT @Toto_la_kihaya: Kabla giza halijaingia tunafanyajee.Tunanyanyuanaa.Follow mali safi apa😋.
0
10
0
@Jmbish2
JOSSY🇹🇿
18 hours
Kuna Sheria walisema Eti Anaye Hamasisha watu wasipige kura, kuna Azabu imewekwa. Anaejua anambie Nijiandae Kisaikolojia kuitumikia.
2
6
15