GilbertPaul095 Profile Banner
MTANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Profile
MTANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

@GilbertPaul095

Followers
9K
Following
71K
Media
871
Statuses
62K

Graphic Designer || Upcoming MC๐ŸŽค || SDA Church || Simba Sc || Liverpool Fc || UDOM alumni 2019

Joined June 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@GilbertPaul095
MTANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 months
๐Ÿšจ UPDATES ๐Ÿ”ดKuna timu zimekuja na Ofa kubwa sana kwa Shomari, lakini bado hajasaini kokote. ๐ŸฆAnachosubiri ni Mazungumzo na Simba Sc. ๐ŸŸขShomari yupo tayari kucheza Simba, na inasemekana Upande wa kijani ulitia nia pia, Baba Esther kasema NOOOO.๐Ÿ™Œ Apewe UNAHODHA au sio?๐Ÿ˜„
33
47
239
@FarajaRabi
faraja rabi
4 hours
Before you sleep donโ€™t forget to pray
1
3
15
@Skyfly_gains
Splendor Kyrios๐ŸŒด
4 hours
Kumbuka kumuomba Mungu kabla ya kulala usiku huu ๐Ÿ›
0
4
21
@meamswahili
MeaMswahili
3 hours
๐Ÿšจ๐”๐๐ƒ๐€๐“๐„ โ€œKwa Kuwa Hakuna Neno Lisilowezekana Kwa MUNGU.โ€ - Ujumbe wa Mke wa Marehemu MC Pilipili. #MeaMswahiliUPDATES
0
3
15
@ExMayorUbungo
Boniface Jacob
5 years
Jamani Mbona tumechelewa Kumpata huyu Mama @SuluhuSamia Jamani Jamani......?
177
172
3K
@iboysean
Sean ๐Ÿ”ฐ
8 hours
MC pilipili kweli?
10
3
120
@gratian_barbosa
BARBOSA
13 hours
Hivi wewe huwa unamuelewa mtu anayekwambia "achana naye mbona wanawake wapo wengi sana" ukiwa umegombana na mtu unayempenda??
12
10
146
@TaahTana
โœจ๐Ÿ…‚๐Ÿ„ฐ๐Ÿ„ป๐Ÿ„ธ๐Ÿ„ผ ๐Ÿ„บ๐Ÿ„ท๐Ÿ„ฐ๐Ÿ„ฝโœจ๐•
10 hours
Good evening friends of Yahtana Yasmin
15
23
41
@babalao__
Zee la Vyeti (PhD)
8 hours
Mc Pilipili Kafanyaje tena
6
4
91
@Lizzie36021
chuga girlโฃ๏ธ
9 hours
Weekend Kama ivi unatakiwa upoe nyumbn na familia au nimechelewa kukushauri umeshatoka๐Ÿ˜€
14
17
92
@Kingvannytz_
Swed Junior
16 hours
Which Team is this ???๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
35
14
193
@Ulimwengu01
Ulimwengu๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ท
7 hours
Haikuwa Dunia bali ni mapito tu ๐Ÿ•Š๏ธ
4
18
23
@GilbertPaul095
MTANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
7 hours
Tunapoingiza tu UDINI kwenye haya mambo madhara yake ni makubwa sanaa.
0
0
9
@GilbertPaul095
MTANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
8 hours
Mlipofikia kuanza kuweka udini mnaelekea kuharibuuu
@mj0058
MJ โ„ข
11 hours
WAKATORIKI VS WASABATO
0
0
2
@GilbertPaul095
MTANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
11 hours
Amen amen
@TweveDevota
DevotaTweve
11 hours
Mioyo imejeruhiwa, imeumizwa, imejaa hasira na kukata tamaa. Neema na rehema za Mungu pekee ndiyo dawa.
0
0
8
@GilbertPaul095
MTANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
11 hours
Hivi kumbe jioni imeshafikaa!!!!
@TweveDevota
DevotaTweve
11 hours
Jioni njema.
0
0
2
@GilbertPaul095
MTANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
11 hours
Tuko busy kulia na Mungu wetu juu ya haya, hataona tumeibuka mtandaoni kuanza kuongea hayaโ€ฆ Mungu wetu ni wa utaratibu Na utaratibu wetu ni kwenda kumfuata aliyekosea yeye binafsi na si kuweka hadharani mbele ya kadamnasi
@godbless_lema
Godbless E.J. Lema
13 hours
Mangi Salama ? Hiviiiii Church yenu ya Wasabato hapa Bongo huwa ipo ?
0
0
4
@GilbertPaul095
MTANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
15 hours
Mungu wetu ni wa Utaratibu, au hujasoma Biblia mfalme Daudi alipokosea Nabii alimfuata private hakusema kwa kadamnasi ya watu, sababu tumejifunza kuheshimu mamlaka, kuna namna ya kuwafuata wenye mamlaka. So hutoona kwa Media kama unavyotakaโ€ฆ.
@Sativa255
SATIVA
1 day
Eti kazi ya WASABATO ni kukomaa kunyoa PANKI na kupinga watu tusile KAMBALE. Mambo ya nchi AAAHHH..!
0
0
2
@SadickTusia
The ChandO
16 hours
Kama unajua kabisa familia yako haiwezi kukupa mtaji wala hawana connection ya kukupa๐Ÿ™Œ uwe umesoma au haujasoma kuwa WINGA muaminifu, mwanzo utachekwa na kuzarauliwa ila kutokana na kupambana kwako na kutokukata tamaa siku moja watakuita BOSS..
8
32
161
@kilepi_tweve
Kilepi Captain Jr
2 days
TEC Ndio Watu Pekee Wanaosema Yale Mambo Yalipo Mioyoni Mwa Watu..
4
23
115
@Kirikuu20
KIRIKUUโœ๏ธ
18 hours
Unaweza kujiona unapambana kumbe umechanganyikiwa ๐Ÿ˜‚
5
13
115