
Ulimwengu🇦🇷
@Ulimwengu01
Followers
14K
Following
261K
Media
12K
Statuses
253K
||@FcBarcelona 🇪🇸|| @yangasc1935 || Allah First 🙏🏾 || We live once ||#MessiGoat🐐|| #IDGT || DM FOR PROMO ❤️💙
Tanzania
Joined September 2014
21 Days to go, najua mnatusaidia kuhesabu. Chagua Samia✔️
1
44
28
Ahsanteni sana wananchi wa Ilemela na Nyamagana kwa ukarimu na ushiriki mkubwa katika kampeni za Urais za Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kama ilivyo kote nchini tulipopita, kujitokeza kwenu kwa wingi katika mikutano yetu ya kampeni ni ishara ya ukubwa wa imani yenu kwa Chama Cha
26
48
98
Dkt. Samia ndie Chaguo letu. Daima tunajivunia Rais Samia, Maana anaunganisha taifa, analeta amani, matumaini na mwelekeo mpya wa Tanzania Mpya tuitakayo. Tunaenda na Dkt. Samia
0
11
5
Dkt. Samia ndie Chaguo letu. Daima tunajivunia Rais Samia, Maana anaunganisha taifa, analeta amani, matumaini na mwelekeo mpya wa Tanzania Mpya tuitakayo. Tunaenda na Dkt. Samia
0
11
5
Direction leo ilikuwa ni moja tu kuelekea uwanjani, usiulize, Mama ndani ya Mwanza hakuna aliyebaki nyumbani.a sasa si kama ile ya zamani ni maendeleo si maneno, ni matendo!
0
42
27
Uongozi makini wa Dkt. Samia Suluhu Hassan umeihakikishia Tanzania amani, utulivu na ulinzi imara. Wananchi wameona kazi, wameona matokeo — Oktoba 29 wanatiki kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan. #KaziNaUtu #TunasongaMbele
0
40
20
OKTOBA 29 TIKI NI TATU TU Tiki Kwa Samia Suluhu Hassan Rais✅️ Tiki Kwa Mbunge CCM✅️ Tiki Kwa Diwani CCM ✅️ #KaziNaUtuTunasongaMbele
https://t.co/T5wMLgB0b0
0
35
25
OCTOBER TUNATIKI Ni mwezi wa maamuzi, mwezi wa kusimika dira ya maendeleo. Watanzania tumeona, tumeamini, na sasa tunatiki kwa kishindo kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan,kiongozi wa kazi, utu na matokeo. #KaziNaUtu #TunasongaMbele
0
36
21
CHAGUA SAMIA, CHAGUA MAENDELEO. Mama amekuja Mwanza na dira ya maendeleo, umati huu ni kiashiria cha kazi inaendelea, ahadi zimetimia! OKTOBA TUNATIKI.
0
23
11
Oktoba 29 Wananchi wamejiandaa vizuri sana Kuja kutiki Kwa amani Sauti Ni Moja Tu Oktoba 29 Tunatikiiiiiiiiiiii ✅
0
26
16
Watanzania tuende tukapige kura Oktoba 29 tusikubali kushawishika na watu wasio litakia mema taifa letu. SSH 2025-2030 ✅️ ✅️ ✅️ Oktoba tunatiki #kaziNaUtu
#TunasongaMbele
0
42
27
CHAGUA SAMIA, CHAGUA MAENDELEO. Mama amekuja Mwanza na dira ya maendeleo, umati huu ni kiashiria cha kazi inaendelea, ahadi zimetimia! OKTOBA TUNATIKI.
0
23
11
Wananchi wa Mwanza wamemiminika! Dkt. Samia Suluhu ameleta ujumbe wa matumaini na kazi!
1
27
15
Serikali imeanzisha vizimba 400 vya ufugaji wa samaki wilayani Misungwi, kukuza uchumi wa wavuvi na kuongeza upatikanaji wa lishe bora. Oktoba29 Tunatiki Samia
0
4
1
Serikali itakamilisha ujenzi wa zahanati 4 zinazoendelea kujengwa Misungwi, kuhakikisha wananchi wote wanapata huduma za afya karibu. Oktoba29 Tunatiki Samia
0
3
2
Serikali itaboresha vituo vya afya vya Busongo, Kolomije na Ndundulu kwa kiwango cha kisasa, ili vitoe huduma za upasuaji na kuboresha afya ya wananchi. Oktoba29 Tunatiki Samia
0
4
3
Serikali itaongeza shule mpya 2 zenye kidato cha tano na sita wilayani Misungwi, kuongeza fursa za elimu ya sekondari ya juu kwa vijana. Oktoba29 Tunatiki Samia
0
4
4
Serikali itaendelea kutoa ruzuku kwa wakulima na wafugaji, kupunguza gharama za uzalishaji na kuongeza kipato cha kaya vijijini. Oktoba29 Tunatiki Samia
0
4
3