ErickKamihanda Profile Banner
Eric Does Profile
Eric Does

@ErickKamihanda

Followers
2K
Following
55K
Media
904
Statuses
9K

Mdau || Arsenal || Football || Music

Tanzania
Joined August 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
@ErickKamihanda
Eric Does
9 hours
RT @iamFallacy: Ila mashabiki wa Arsenal kubabake😂. Luis Diaz akiwa Liverpool walikuwa wanamfananisha na kondoo lao lile, tumeuza €75mil. N….
0
3
0
@ErickKamihanda
Eric Does
14 hours
RT @rayasel94: Kuna mzee nimepiga naye story leo mchana akanambia 1995 isingekua mzee Nyerere dakika za jioni kutoka Butiama kwenda kumsaid….
0
37
0
@grok
Grok
1 day
Join millions who have switched to Grok.
65
51
592
@ErickKamihanda
Eric Does
14 hours
RT @mlinganya: Usinichukie na kunitafutia jina baya kila siku kisa mkeo au demu wako hukumkuta bikira. Sio kosa langu wewe kuoa malaya,.
0
4
0
@ErickKamihanda
Eric Does
17 hours
Kwa mazingira ambayo Arteta amepewa Arsenal, hakuna Manager ambaye angeshindwa kuboresha timu. 'Boss relax take ur time as u want no one will kick you out.' Just imagine pressure ambayo Amorim au Maresca wakonayo. Almost six yrs with 1 FAcup & 2 CS, Sisi Sio Crystal Palace.
3
0
9
@ErickKamihanda
Eric Does
22 hours
Only Big Gab is missing, but almost perfect.
@Football__Tweet
Football Tweet ⚽
23 hours
🤔 𝗗𝗘𝗕𝗔𝗧𝗘: Is this the best all-star Premier League combined XI? . What changes would you make?
Tweet media one
1
0
4
@ErickKamihanda
Eric Does
24 hours
Manyumbu wanataka watuaminishe kuwa Nemanja Vidić ameshinda tuzo ya PFA POTY mara mbili, lakini hajawahi kushinda hata mara moja.🤣🤣.Admin wa Livescore ni Nyumbu mmoja.
2
0
5
@ErickKamihanda
Eric Does
1 day
Liverpool wenyewe wanajua 'GOT' wa muda wote katika klabu sio Mohamed Salah, sasa inawezekanaje awe 'GOT' wa EPL?.
2
1
17
@ErickKamihanda
Eric Does
1 day
RT @Arsenal: One family. Arsenal at the PFA Awards ❤️
Tweet media one
0
4K
0
@ErickKamihanda
Eric Does
1 day
RT @PFA: Representing the @Arsenal in the PFA Premier League Team of the Year ❤️
Tweet media one
0
2K
0
@ErickKamihanda
Eric Does
3 days
Waraka- Bahati Bukuku.Waraka ulioandikwa wayahudi wauwawe.Waraka uliotangazwa Moldekai anyongwe.Esther akiwa kwenye nyumba ya kifalme, Esther akiwa ni Malkia.Ujue umekuja Esther kwa wakati huu, hakuna wakati mwingine waweza kutuokoa.Ujue umechaguliwa kuwa Malkia kwa wakati huu.🎶
Tweet media one
0
1
12
@ErickKamihanda
Eric Does
3 days
Mbeumo na cunha unaweza ukuona kabisa hali/impact ya usajili mpya kwenye team imeingia, That doesn’t need rocket science to Appreciate on that for today. After all tumesepa na point tatu😂.
1
0
7
@ErickKamihanda
Eric Does
3 days
Kwa nilivyomuona Saka leo, anaonekana amechoka Br, na Arteta amemletea wasaidizi Madueke na Gyokeres. Isn't that concerning??.
1
1
18
@ErickKamihanda
Eric Does
4 days
Gyokores na Madueke, nitaongea leo, kesho hapa hakuna wachezaji. Siwezi kutumia hisia au imani katika eneo la kutumia akili; nimekataa.
Tweet media one
6
1
21
@ErickKamihanda
Eric Does
4 days
RT @GeorgeJob14: Zile kelele INEOS sahiz zimepungua sahiz kama za Mangungu. Wait until watu wapoteze game 1/2 wataanza upyaaaa!😁.
0
10
0
@ErickKamihanda
Eric Does
6 days
Leo, mtu mmoja alielezwa kuwa Iran sio taifa la Kiarabu, bado anaendelea kubishana hadi sasa. 😅 Alipozidi kuhoji, mchizi akasema, “Hata Iraq sio taifa la Kiarabu, na pia Ibrahim hakuwa Mwarabu.
2
3
18
@ErickKamihanda
Eric Does
6 days
RT @linussweetbert: Ccm ina kazi kubwa sana ya kufanya katika kizazi hiki cha "social media".
0
1
0
@ErickKamihanda
Eric Does
6 days
RT @TitoMagoti: Yule big philanthropy wa iringa kumbe amepewa diplomatic passport? How easy is it? Itakuwa anapiga deals na dola—akivuta B….
0
102
0
@ErickKamihanda
Eric Does
7 days
RT @rollymsouth: kama ni hivyo mbona lilikuwa suala dogo sana la kusema tu “GSM foundation”. Mambo ya Yanga yalitokea wapi.
0
79
0
@ErickKamihanda
Eric Does
7 days
Mnyika,Sugu na Bony wamemkimbia Mwamba for real??.
1
0
9
@ErickKamihanda
Eric Does
7 days
RT @INFLUENCERjr: Wekeza kwenye kujiendeleza wewe kwanza na kujiongezea thamani pesa zitakuja zenyewe.
0
8
0