Hello
MFANYABIASHARA ZIJUE FAIDA YA KUWA NA LIPA NAMBA
1, kupokea malipo kidigitali pasipo kutumia pesa taslimu
2,Gharama nafuu,hakuna kodi mpya ya tozo za miamala pale mteja anapolipia bidhaa kwa kutumia lipa KWA simu
3, gharama ya makato kwa mteja anayelipia bidhaa ni nafuu