Donatha Msamba Profile Banner
Donatha Msamba Profile
Donatha Msamba

@DonathaMsamba

Followers
1,573
Following
901
Media
443
Statuses
15,636

Child of God 😇 Plumber |Painter | an entrepreneur| @YoungAfricansEN fan

Tanzania
Joined May 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
5 months
Hello MFANYABIASHARA ZIJUE FAIDA YA KUWA NA LIPA NAMBA 1, kupokea malipo kidigitali pasipo kutumia pesa taslimu 2,Gharama nafuu,hakuna kodi mpya ya tozo za miamala pale mteja anapolipia bidhaa kwa kutumia lipa KWA simu 3, gharama ya makato kwa mteja anayelipia bidhaa ni nafuu
Tweet media one
7
30
51
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
4 months
Watu wanaokopa mitandaoni alafu hawalipi,kinachofuata wanadukua simu yako contact list wako wote wanatumiwa ujumbe hii Haiko sawa kabisa
Tweet media one
160
45
542
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Mwaka 2019 niliwahi kualikwa na rafiki yangu nyumbani kwake kuna birthday ya mwanae nilienda vizuri tulipiga gambe kama kawaida ya ulevi mm niliaga mashindano mapema sababu siwezi kukesha, Ilibidi rafiki yangu aniambie nikalale ndani ukweli alikuwa na nyumba kubwa nikamwambia
Tweet media one
31
24
509
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
3 months
10/03 Nilizaliwa happy birthday to me
Tweet media one
74
46
344
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
13 days
Tbt 2016 pale airport VIP terminal 2
Tweet media one
12
17
135
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Kuna hii daladala ya kinyerezi tumepanda abiria kama wote tumesimama nimetulia nahisi kama mtu ananisachi nikasema mbanano eeh sinaangalia jamaa anachomoa afutatu yangu, nimemshika mkono taratibu nikamnong'oneza sio mahala pake hapa utakufa au umechoka kuishi alafu nikampa buku😎
15
17
119
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Leo muda wa jioni nikiwa home nikampigia rafiki yangu ambaye tumekuwa kama ndugu maongezi na salamu za hapa na pale daah gafla akaniambia kitu cha kusikitisha baada yakumuliza kuhusu mdogo wake ajambo ndio kunipa majibu ya huzuni "Daaa ndugu yangu dogo hayupo sawa ndio nimetoka
Tweet media one
9
5
114
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
4 months
Mwaka elfu 2018 Nilipata kazi dar,basi nikaona sina pakufikia akili ikawaza haraka haraka sinina mpenzi wacha nimpigie kumpa habari njema, mimi tena hello nimepata kazi huko kwahiyo sasahivi tutakuwa Karibu ila Naomba kufikia kwako nikae kwa mwezi mmoja nikipata mshahara nitapang
Tweet media one
25
14
96
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
10 months
Huu mwezi Mwenye Nyumba aje atoe Nyumba yake kwenye vitu vyangu sina hela yakodi mimi 😎
Tweet media one
16
15
94
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
3 months
Huku kibosho hakuna umeme toka saa saba usiku Acha tunywe mbege
Tweet media one
19
10
95
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
2 months
Mtu anatumia gesi anavyotaka kisa sio yeye anaetoa hela,ukimuelekeza anakujibu ikiisha basi sio lazima kupika unamfanyaje huyo binadamu💔
26
15
91
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
4 months
Kuna siku nilimpigia rafiki yangu mmoja jobless ili kumuambia habari ya kibarua, alipokea simu akasema nipo na mpenzi wangu ntakupigia nikamuambia ni muhimu akasema kausha akakata simu hakutaka kunisikiliza, toka siku hiyo akinitext au kunipigia sipokei simu zake 😎
21
17
89
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
25 days
Siku moja moja MNANIPIGIA NIJE KUFANYA FITTING YA PLUMBING KWENYE MIJENGO YENU MATAJIRI ujuzi tunao
Tweet media one
Tweet media two
14
31
87
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Achana na hicho kingereza cha la 7B huyo ntu anataka kufanya kitu gani kwa telegram yangu??
Tweet media one
Tweet media two
22
5
83
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
4 months
Tunatumia PESA nyingi kununua NGUO NZURI ili kujifurahisha MIOYO yetu, Wakati tunajua kuna FURAHA zaidi ya hiyo tunaipata tukiwa HATUNA NGUO...😂
10
16
84
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
4 months
@ze_mandevu Changamoto upauaji wengi wanazingua mvua zikinyesha maji kwenye siling bord mara paaap biskuti zinadondoka
7
0
83
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
4 months
Humu ndani mnatusema vibungo vibungo kumbe wao wenyewe wanamiliki vibwengo 😎 Nipo hapa mnipige spana
14
16
78
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
8 months
Tunaomba tujaliwe umakini kutamani, kuandaa, kusikiliza na kuliishi neno la Mungu Amina
10
23
71
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
4 months
2018 nilikuwa vingunguti
Tweet media one
@maila_kasorii
maila
4 months
2018 Msamvu Morogoro...📍 2018 ulikua wapi??🍺🍻🙌😂
Tweet media one
40
38
142
20
6
69
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
4 months
@iamcleopatricia Sema huyu jamaa wa pili ameongea kiume sana ameomgea kama baba wa msichana Na kama kaka kwa dada zake kwahiyo yupo sahihi
4
4
68
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Mimi sikuonyesha kama niliona chochote wala sikumuambia mwenyeji wangu kilichotokea ila hivi kweli mtu unapata ujasiri wa kukulana nyumbani kwa watu eeeh tuache yakukulana kwa watu kufanya mbele ya mtu eeeh hata kama kalala jamani ni aibu
1
1
66
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Nipe godoro nilale sebleni kwenye feni na hizi pombe na joto nisije kutapika, kweli bhana nikalala, Usiku sana walikuja rafiki zake wengine Mara hii walikuwa wapenzi nao walikunywa mpaka kunakaribia kukucha ikabidi wazime redio kila mmoja atafute kwa kulala, Mwenyeji wetu nae
1
2
65
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
3 months
07/03/2010 nilimpoteza binti yangu miaka 14 bila uwepo wako 😪RAha ya milele umpe Ee bwana na mwanga wa milele Umuangazie apumzike kwa Amani 💔
17
12
65
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Nimefikia ile STEJI hata UKININYAMAZIA SIKUULIZI, kiufupi nimekua MUELEWA...😁
10
13
65
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
10 months
Mtu anakutongoza unamwambia mimi naumwa kuna dawa natumia, anakuambia hakuna shida tutatumia condom 😎 mbona vijana hamuogopi
12
15
61
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Basi punde si punde kausingizi shwaa kakapita nakuja kushtuka nasikia Pa pa pa pa nikasema wapi tena wanapiga makofi 😎ile kufumbua macho namuona kijana yupo juu anamwaga miuno dada nae kachanua miguu sijui ile ndio chukua yote yako basi bwana mm nikasema ex live wacha nikodoe
1
1
62
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Macho itoshe kusema pombe sio nzuri yule dada walipomaliza aliona aibu sana maana ilikuwa kama saa 11 alfajiri namm niliamka tu walipomaliza kazi yao ili nisepe kuwahi kazini dada alilalamika yule kaka amemdhalilisha kwanini hakusubiri waondoke kwao ila ndio hivyo
2
2
61
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Bwana anataka mzigo simnajua tena pombe zishakimbilia chini, yule dada akawa hataki akawa anamuambia huoni kuna mtu kalala hapo pembeni sio vizuri, tusubiri kukuche turudi kwetu eeeh wanaume 👐 kakomaa yule kalewa hasikii kitu kalala toka tufike 😂 mm ndio kwanza sikio nalitega
2
1
60
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
10 months
Mwenye MAPENZI hana MPENZI na Mwenye MPENZI hana MAPENZI... 😒Life.
16
15
57
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
4 months
Kumekucha Good morning family Mungu akaitakase siku yako leo akubariki katika utafutaji wako, akufungulie milango ya baraka,akulinde dhidi ya maadui zako amin
Tweet media one
12
11
56
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Ku have SEX na MTU haimaanishi mko kwenye MAHUSIANO...😋 Usichanganye mambo.
9
10
57
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Ee Mungu ulilinde Taifa lako Ulilolichagulia utujalie kufikia wokovu Wako Amina
8
14
58
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Unaenda zahanati kupima malaria, Gafla unarudi na kadi la clinic nyie kuzaliwa mwanamke ni kasheshe ☺
Tweet media one
7
8
54
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Pombe ili mkolea akaenda kulala akamuacha mkewake afunge milango. Basi bwana wale rafiki zake ambao ni wapenzi nao walikuja kulala seblen nao walipewa godoro lao eeh mtoto wa marehemu usingizi ndio ulikuwa unaishia ishia mara nawasikia wale wapenzi wananong'onezana
1
1
57
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Afadhali kukaa katika pembe ya DARINI, kuliko katika NYUMBA pana na MWANAMKE MGOMVI. MITHALI 25:24 👇🏾😆
Tweet media one
6
19
53
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
4 months
Kusema ukweli naombeni mniambie dawa kali inayoua minyoo 😎 anyway mwili haujengwi kwa tofali
Tweet media one
5
9
54
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Dogo kamletea zawadi demu wake Miranda nyeusi take away imebidi niwaulize wanaumri gani 😆 wote wana 23year
7
10
52
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Tigopesa yangu kuna muamala umeingia na sijui nani katuma mpaka sasa naitafakari hiyo pesa mnaonaje nikaitoe niilumbue 😂😂
9
9
51
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
4 months
Kabla sijaunga nakula kwanza 😎
Tweet media one
11
8
51
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
6 months
Haihitaji Promotion sana kila mtu anaelewa kuhusu hizi Najua unaitaka ila unasita hata ukiwa mkoani utapata ✅ Mawasiliano 0768466292 BIASHARA NI PESA
Tweet media one
2
39
47
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
" Babe SIJANYOA... " Him: "Acha MANENO , usinifundishe KAZI "😂
Tweet media one
14
8
47
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
4 months
Tweet media one
22
1
49
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
4 months
Nimemenya matunda nataka kutengeneza juice tanesco wakaona ntafaidi wakakata umeme
11
9
46
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
OFA MAALUM Mfanya biashara Anayehitaji Lipa NAMBA ya Mpesa Nipigie nikutengenezee KWA bei poa 0768466292
Tweet media one
5
30
48
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
29 days
Usichoke kufanya WEMA kwa WATU hata kama ni KIDOGO... Muda mwingine hivyo VIDOGO ndio vinachukua NAFASI KUBWA kwenye MIOYO yao.🙏❤
7
16
48
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
2 months
Chimbo la mawinga
Tweet media one
6
7
47
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
3 months
Heri ya siku ya wanawake kwa wanawake mnaopika nyie wengine mtatakiwa heri na wauza chipsi
Tweet media one
8
9
47
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
3 months
JAMII inayoogopa LAWAMA, hulazimika kuwekeza katika UNAFIKI...🙌 GM
7
13
47
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
4 months
Kuna post jana nilituma humu kuhusu daraja linalosababisha mafuriko kwa wakazi wa morogoro kihonda, basi nikawatag watoto wa mama kizimkazi wawili na mama yao niwe mkweli wale watu hawajalike wala kurepost Acheni ukumanina wadogo zangu 20k inawaonyesha kuwa ni empty kichwani
9
10
47
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
8 months
KUPENDA sio kitu. KUPENDWA ni kitu. Lakini KUPENDA na KUPENDWA, hiyo ni KILA KITU. ♥️🙏
3
14
45
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Ee Bwana utufanye tuwe mashahidi wako kwa maneno na matendo. Amina
4
11
45
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
8 months
Nyuma ya Mwanaume ALIYEFANIKIWA kuna USALITI, MAUMIVU, MATESO, MSOTO, KILIO na kutoa PESA sana kwa WANAWAKE...✍
7
12
44
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Japokuwa matangazo sio Muhimu ila fanyeni kuchanga huwezi kujua Lini Roho wa Mungu atashuka kwako 😇
Tweet media one
@raphyrodrick
m.s.a.k.i †
9 months
Kalage ni mtu wa watu, Kalage yupo real, hanaga noma na mtu alafu ana heshima sana. Tumfanyie namna kijana asogee kibiashara. Buku yako itafanya makubwa sana!. Namba: 0743213259 Jina: John Raphael Kalage Let's do this family 🤝
Tweet media one
22
220
592
2
6
43
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Boss Ex wako yupo nje nimuache aingie au Nimng'ate
Tweet media one
8
6
42
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
6 months
Sehemu UNAPOPENDWA zaidi, Nenda mara CHACHE CHACHE Sana...✍️
2
12
41
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Wanaume swali kwenu Huna ajira unaamua kwenda kutafuta kaz Mungu anakupatia kazi yenye Mashart na shart lenyewe boss wa kampuni diara katoka na ndio anakuambia ukimnyandua unapata kazi je utafanya kama anavyotaka boss au kazi tena basi? NB niswali la kizushi ila ni story ukweli
16
6
42
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
8 months
'MTU akisifiwa WATU wachache HUAMINI, Lakini akikashifiwa WENGI HUAMINI...'
5
9
42
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
3 months
Jumapili ya Tatu ya Kwaresma: Tuombe kujaliwa neema katika kisima cha wokovu chenye maji ya uzima.
6
17
41
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
MWANAUME anaweza kukuaminisha ANAKUPENDA kumbe HAKUPENDI, MWANAMKE anaweza kukuaminisha HAKUPENDI kumbe ANAKUPENDA. 😊
3
10
42
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Ukiomba Msaada, WANAKUCHEKA Ukifanya mwenyewe, WANAKUCHUKIA.🙇 Ishi MAISHA Yako.
6
13
40
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Nikikumbuka niliwahi kushare nae hadi kiwembe kunyolea vumbi machozi yananibana 😎
8
9
40
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
1 month
@rollymsouth BINAFSI Sijawahi kutaka kujua nini haswa kilichofanya wazee watengane ila baba huwa anasema hawakuwahi kugombana na mama na mama pia anasema hajawahi gombana na mzeeNA niliona wakiendelea kusaidiana hadi mama alipofariki Kila Mahusiano yana maswali yake na majibu wanayo wenyewe
4
2
41
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
10 months
Kipindi cha miaka ya 2007 huko kulikuwa na ofa za dakika bhana ile tigo usiku kuanzia saa nne mpaka asubuh Hivi watu tulikuwa tunaongeaga vitu gani ambavyo vilitufanya tukeshe usiku tukiongea mpaka simu zinakuwa kama pasi
6
3
39
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
3 months
Hii ya leo inalewesha Raha ya hii muwe wawili au watatu mnapokezana unarida unampa mwimgine
Tweet media one
4
8
39
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
8 months
Kama hujawahi KUANGUKA basi hujawahi KUTEMBEA, Kama hujawahi KUUMIZWA basi hujawahi KUISHI. ✍
3
9
40
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
@Mzungu_pori1 Hao wazungu sawa wapo wanakupa unachotaka wanakununulia unachota ila kukupa cash mkononi ngumu
6
1
39
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Unasikiliza ngoma gani
Tweet media one
8
9
36
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
4 months
Yule dada aliesema anaweza kukojoa amesimama itakuwa ana k**s**I kirefu anaweza kufungua hata zipu ya suruali yake akakojoa😎
10
7
37
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Mwanaume HAPENDI mwanamke ANAYEPENDA kwenda DISCO. Lakini akienda Disco asipokuta WANAWAKE ANACHUKIA.😂
Tweet media one
6
0
37
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Fursa!!🚨 Fursa!!🚨 Fursa!!🚨 Please retweet🙏🙏 UNAHITAJI KUFANYA BIASHARA YA HUDUMA ZA PESA WAKALA *AZAM PESA *AIRTEL MONEY *M-PESA *TIGOPESA *LIPA HAPA KWA MPESA NI RAHISI NA GHARAMA NAFUU NJOO NIKUSAJILIE LAINI Kwa Mawasiliano 0768 466 292 MALIPO NI BAADA YA KAZI
Tweet media one
5
25
35
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
8 months
Mungu anatuita kufanya kila jitihada ya kusali tukiuombea uongofu wa roho zetu. Tujaliwe kupenda na Kuwa na huruma na msamaha kwa wale wanaotuumiza. Amina
4
9
35
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
2 months
Hii ni kwenu wazazi na walezi Je ni sahihi kumpatia mtoto simu acheze games kuangalia cartoon YouTube na kuitawala vyovyote simu kuanzia asubuh mpaka usiku wa manane???
11
5
37
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Wanawake wanaofanya kazi ngumU hawako romantic 😎 wanawake wanaofanya kazi ngumu 👇👇
Tweet media one
8
7
35
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
10 months
Ishi na watu vizuri Matatizo yana tabia ya kukupeleka kwa watu uliowakosea GoodMorning lovers and friend's
7
16
35
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Sitaki KUAMINI na MIMI WATOTO wangu watani-HIDE nisi-VIEW status zao😂🙌😆 Kmmke.
8
5
35
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
5 months
Tafuta RAHA KWANZA, Kwa maana SHIDA zinakujaga zenyewe tu...😊
6
3
34
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
8 months
Muda mwingine KINACHOTUUMIZA katika MAHUSIANO sio watu TULIO NAO bali ni MATARAJIO yetu kwao...📌
Tweet media one
4
10
34
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
4 months
Nipo kwenye gari natoka Moro napenda dar,nimefika hapa ruvu home wananipigia nimesahau funguo yangu ya room 🙆 niko oves
8
8
36
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
1 month
Noel siulisema nije kukutembelea unaumwa sasa imekuwaje tena Jibu kama Noel
Tweet media one
7
2
35
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Tafuta PESA zako, kuwa na MPENZI MMOJA wa NDOTO ZAKO...Mkumbuke MUUMBA wako halafu ISHI MAISHA yako.🙏🏾
6
10
33
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
10 months
Mgeukie Jirani Yako Mwambie Yanga Inakupenda 🔰🔰🔰🔰🔰🔰
Tweet media one
3
3
34
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
9 months
Pesa inatafutwa kwa tabu sana
Tweet media one
4
6
33
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
3 months
Maombi yenu tupo safarini tunajea nyumbani From Kilimanjaro to dar
6
8
33
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
5 months
Ukitaka kujua MOYO wako uko WAPI, Angalia AKILI yako INAHANGAIKA wapi...👋 Hello Weekend
6
15
33
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
10 months
Ila wenzetu wa insta na Mange app wanafaidi
Tweet media one
Tweet media two
8
3
33
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
10 months
Tanesco mmegoma kurudisha umeme 😡
10
7
33
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
4 months
Ukitaka chuchu saa sita njoo kariakoo Huko mtaani ndala kama kawaida
Tweet media one
10
4
34
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
8 months
Leo kuna kamvua Kanaleta uvivu tusitoke kutafuta
4
9
33
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
2 months
Neno "NISAMEHE" ni BORA zaidi kuliko neno "NAKUPENDA" katika UHUSIANO. ❤
8
10
34
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
6 months
Yaanj nikutumie nauli 10k alafu ufike hapa uniambie huingii ndani...Scola ndani utaingia tu
Tweet media one
4
2
33
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
4 months
Niliwahi kwenda club downtown moro pale mle ndani kulikuwa na mbaba mtu mzima umri wa kuitwa babu,🙌 yule babu toka naingia hadi naondoka asubuh alikuwa anacheza music ngoma baada ya ngoma yaani DJ akibadili yupo sikumuona amekaa chini hata sekunde na chupa yake ya konyagi😎
6
5
33
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
3 months
'Unaweza KUMHESHIMU Mtu yeyote yule hata kama HUMPENDI....Sijui Umenielewa?'.🤦
2
10
33
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
8 months
Nimekutana na Mnigeria ananiuliza anaweza kuwapata wapi wenzie
4
7
32
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
4 months
Wakati naendelea kutafakari cha kwenda kupika kwanza niisalimie minyoo kama ipo available
Tweet media one
9
5
33
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
6 months
Hali ilivyo sasa KWA wala nauli baada ya jana kujichanganya 😎
Tweet media one
6
6
32
@DonathaMsamba
Donatha Msamba
8 months
Muda wa KUISHI ni MDOGO kuliko MUDA WA KUFA...🕊🙏🏾
4
9
33