Land Officer & Consultant|| Real Estate Agent || Valuation Surveyor II Digital Marketing and Branding || Muuza Vifuniko Vya Asali 👙 Fan
@YoungAfricansSC
💚💛
Naomba REPOST yako🙏
Nauza VIWANJA jamani🙏🙏
Kama unaweza kusave hadi 200,000 kwa mwezi bora uwekeze kwenye viwanja
=BAGAMOYO ~MAKURUNGE 125000
=BUYUNI unalipa 270,000
=KIMBIJI unalipa 337,500
WEKEZA Ufaidike❤️
Pia Tuna miradi CHEKA, MWONGO, na DODOMA
0745124138
Tangu mwaka jana Mama Yangu anaumwa ..kuna kipindi alizidiwa sana afya haijawahi kurudi tangu hapo…amedhoofu sana na anabagua sana vyakula vingine anasema vinamuumiza ..yaani vidonda vya tumbo sio poa anaejua dawa atusaidie🙏
Kuna muda namuangalia nabaki tu kulia😰
Makonda wa daladala wamepata upenyo wa kupandisha nauli kiholela duh 😂😂 600 mwisho mwenge kutokea makumbusho 😂😂leo imezuka tafrani mtu makongo amekatwa 700,bondeni 700 akaanzaugomvi mm nkatoa tu simu nkamuoneasha kilometa na muongozo wa LATRA chini ya km 15 😂 akarudisha
Nani nimpe kiwanja Bagamoyo - Makurunge
Upande ule wa kuelekea saadan
Wale wa Moshi , Arusha ,Tanga mradi upo karibu na barabara ya mabasi
Nakupa kiwanja na HATI🙌
Mwenye 250,000 nimpe 800SQM (32mX25m)
Mwenye 125,000 nimpe 400SQM (16x25)
0745124138
PlzRT
Leo kwenye daladala nmesoma mesej za mama mmoja hivi umri umeendaa dah KWELI NG’OMBE hazeeki maini kuna mtu anamtongoza mpak anamwambia “unikipa ntainyonya” ila Wanaume😂😂😂😂😂😂😂alikua ameweka font size kubwa nmejaribu jizuia kusoma nimeshindwa
Ila Azam Tv wanaupendeleo sana mbona Simba Day hawaitangazi sana kama walivyokua watangaza Yanga Day kila after vidakika Wananchiiiiiiiiiiiii muda wote🤣🤣😂
Kuna mteja wa viwanja kaniblock😂😂😂 kisa nimemshauri kwa umri wake alitakiwa awe ameoa sio kuhangaika kila akinicheck “njoo tulale” “tuzae”
Him “kunijua juzi tu umeshakua mshauri wangu” nkamjibu “kunijua juzi unataka unile ila kukushauri you draw the line”😂😂nmekula block dah
Wadada tupunguze kutembea uchi huko mitaani , kuna maza mmoja tumemuona huko mabibo mchana saa sana kavaa kiboxer na tshirt tu watu wote wanamshangaaa🥲🥲wanaume hawapendi hvyo au mnapenda?? Ety wababa🤣
Nmepita kariakoo leo nkasikia vijana wanaonesha ni watumiaji sana wa twitter though sikuwatambua wanapiga story jinsi humu ndani watu wanatafunana sana tena kwa mifano😂😂😂 ety yule flani na flani wamekulana mara ohh fulani alivyomla flani hakurudia tena ila humu😂😂😂😂
Naona mada zinarise kuchangamsha genge au kuchoshana tu
unataka mwanaume akuhudumie na ulienae hakuhudumii achana nae tafuta anaehudumia😅
Mkaka una demu anataka huduma na ww huwezi muhudumia achana nae tafuta anaejihudumia
😂 au kila mtu abaki na nono yake mahusiano si lazima😀
Guys nmeshukuru kusafiri na kufika nyumbani salama ila hali nilioikuta 😭😭Mama yangu anaumwa sana hapa sielewi chakufanya nalia tu hadi kichwa kimeanza niuma …Naombeni sana mnisaidie kuomba Mungu amrudishie afya Naombeni Sana🙏🙏😭
Mmoja anapokea 500k anakaa kwao Mwingine 500k anajitegemea😂 anaekaa kwako bajeti yake ni kununua nguo na kula bata , anaejitegemea kodi, kula, kuvaa kila ktu …huyu anaejitegemea anaiga kwa mwenzie akiishiwa anaanza tia huruma kukopa kopa ..mwenzie akiishiwa anapewa nyumbani 😂
Ila Humu😀Mtu anakuja DM kuomba aninunulie kifuniko chagua, uje ukiwa umevaa nione ilvyokuaa nilipie😀wengine tuma pcha nione ilivyokukaa hapo hata kuilipia hajailipia🙌 sijaomba mtu aninunulie wala huo muda wa kuprove nmevaa au sijavaa sina😝😝huna wa kumnunulia tulia😂
Kuna watu wananiblock kisa tu nauza chupi😭 kuna mmoja aliniambia post chochote ntarepost ila hawezi repost post za chupi…😭 watu wanatoka na hii biashara ya chupi maduka makubwa sinza makumbusho kariakoo…kununua chupi si jambo la aibu ni Kujihifadhi kama nguo nyingine
Kwa changamoto zozote kuhusu Ardhi
Nahusika na
*Uuzaji wa Viwanja vilivyopimwa
*Upimaji na ufufuaji wa Mipaka
*Utoaji wa HATI MILIKI
*Vibali vya ujenzi
*Uthamini
Miradi ipo Kigamboni (Normal +beach side plots), Nala-Dodoma, Bagamoyo (zinga &kerege)
Wsp+calls: 0745124138
Kuna mtu humu duh posts zake zinaonesha ametendwa mno na mapenzi😢😢pole sana ndugu kuexpress your feelings ni njia nzuri ya kuheal🙏 Mungu ni mwema utakua sawa
Zimerudi tena😋😋Full Maunyama🌚😋
Material :Cotton 100%
6000 tu Moja
Kuanzia 6 unapata 1 kwa 5000
Wahi kutoa orders uzipate✅
Delivery ipo na kwa wanaowanunulia baby zao unapata huduma ya kumsuprise baby wako popote alipo
Chagua! lipia!Toa namba na location
0745-124138
Plz rt
Leo kwenye kupangua makabati home nmekitana na diary yangu ya Olevel😂😂mahangaiko yalikua mengi duh😂😂😂 sahv nasoma nacheka😂 hizi hela za Sticker si bora nngekulaga kachori😂
Ila nyie mapenzi yaacheni tu kama yalivyo 😂😂 kuna kijana unajikuta unampenda tu yaani ile upendo wa dhati mtagombana weeh ila ukikaaa ukiwaza ni yeye tu
Unaweza jiapia hii last time sitojihusisha nae tena ila unajikuta you still care hutaki kibaya kimkute au basi😂😂
Mara nyingi nikiwa natoa nguo zangu kufua nakutaka hela 10k,9k,7k😂😂😂nakua hata sikumbuki niliibakiza lini
Sahivi nmefika geto nmeshusha majeans kabatini moja lina mFote (40,000/=)😂😂😂nkawaza hii itakua hata nilihisigi nmeipoteza nkaumia maana hata sikumbuki nmefurah😂😂
Kama waja Dm njoo tu na swaga nyingine aisee hizi habari za ‘nmevutiwa na upambanaji wako ,napenda mwanamke mpambanaji’ sizitaki😂😂😂😂😂mm sio mandonga aiseeee mm mwenyew babygirl
Wateja wa mikoani Mmenitupa sana nimemiss kupost tickets za Mizigo Humu😍
Haya mliokosaga hizo zimerudi kali mno
Reja 6000
Jumla 5000 kuanzia 6
0745-124138
Karibuni sana🥰
Karibuni Viwanja Jamani❤️
Bagamoyo -Anza na 120,000
Kibaha - Anza 225,000
Kigamboni
1. Mwongozo anza na Mil 2
2. Cheka Anza na Mil 2.5
3. Kimbiji Beach Anza na mil 6
4. Kimbiji Kwa Moris - anza na 337,500
5. Buyuni Mahenge- anza na 270,000
Tuko Makumbusho
Mwanga Tower
0745124138
Hivi mtu unamdai tangu February akawa amekublock … imepita miezi unamchek kwa namba nyingine kumkumbushia deni anakujibu dharau na matusi … hapo unachukua hatua gani?!
Watu wa humu ndani mnanipa maisha sana mbarikiwe mno😍😍😍
Wote mnaonisupport kwa Kulike ,kuretweet ,Kununua na kunitaja huko kwenye wateja Mungu awazidishie sana sana…..i cant imagine hali ingekuaje bila support yenu mnanivusha hatua kwa hatua 😍😍😍
Ahsanteni🤓
Mzee wangu baada ya kutoka Zenji Kuchukua Ubingwa akafika ofisini kunitembelea😂😂
Akaanza nitania “ety nafanya kazi kwenye ghorofa refu siku zote na sisemi”😂😂😂
Mwananchi Mkuu 💚💛