DevotaMinja Profile Banner
Devota Minja Profile
Devota Minja

@DevotaMinja

Followers
20K
Following
85
Media
325
Statuses
1K

Professional journalist ,worked with ITV /Radio one 2002-2015 Former Mp Morogoro region (special seat)https://t.co/vOzwuQOQ8z date vice Chairperson Chaumma.

Morogoro, Tanzania
Joined February 2017
Don't wanna be here? Send us removal request.
@DevotaMinja
Devota Minja
7 days
Tunamshukuru Mungu leo 12/8 nikiwa na mgombea Urais mhe Salum Mwalimu Tumechukua fomu Tunakileta kwenu rasmi Chaumma mkiunge mkono tukafanye mabadiliko makubwa ya kupata Katiba mpya na sheria nzuri zitakazolinda Haki za watu .
Tweet media one
12
7
52
@DevotaMinja
Devota Minja
6 days
RT @CatherineRuge: *Matukio ya picha* .Mh.Salum Mwalim Mgombea wa Urais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania akiambatana na Mgombea Mwenza….
0
5
0
@DevotaMinja
Devota Minja
6 days
RT @CatherineRuge: Kibegi Cha Masela chawasili ZANZIBAR . Hakika ZANZIBAR imeitwa ikaitika .Salum Mwalim Mgombea wa Urais wa Jamuhuri ya mu….
0
4
0
@DevotaMinja
Devota Minja
6 days
Ahsanteni watu wema wa Zanzibar kwa mapokezi na Imani kubwa mlionyesha kwa mgombea urais mhe Salum Mwalimu 🙏🙏
2
4
21
@DevotaMinja
Devota Minja
7 days
RT @CatherineRuge: Mgombea Uraisi kupitia Chama Cha Ukombozi wa Umma CHAUMMA @ChaummaT .Mh.Salum Mwalim, akiambatana na Mgombea mwenza Mh.….
0
6
0
@DevotaMinja
Devota Minja
9 days
Wanawake Segerea wako tayari kuipumzisha CCM 💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻
Tweet media one
14
8
44
@DevotaMinja
Devota Minja
10 days
NGUVU ya Wanawake ipo kwenye kura , Tunahitaji madawa katika hospital , Tunahitaji kufuta mikopo ya kaushadamu , Tunahitaji maji safi na salama , Tunahitaji maendelea kwa watanzania
Tweet media one
15
10
47
@DevotaMinja
Devota Minja
10 days
Ahsante Segerea kazi ni moja tu kupiga kura ya ukombozi.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
6
35
@DevotaMinja
Devota Minja
12 days
Tupo Tayari kwa kura ya ukombozi niwahakikishie watanzania huu wa wakati wa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi ya Taifa .
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
64
15
82
@DevotaMinja
Devota Minja
12 days
Jana 7/8 Ni siku ya ambayo tumepokea jukumu kubwa la chama chetu la kwenda kupeperusha bendera ya Chaumma ahsanteni wajumbe wa mkutano mkuu kwa imani yenu kubwa kwetu hakika hatutawaangusha katika mapambano haya ya kuipeleka CCM likizo .⁦⁦@ChaummaT
Tweet media one
29
8
54
@DevotaMinja
Devota Minja
12 days
RT @CatherineRuge: @DevothaMinja .Makini na mwenye dhamira ya dhati Mgombea Mwenza wa Urais tuliyemchagua, akiweka mbele maono, ujasiri na….
0
10
0
@DevotaMinja
Devota Minja
12 days
RT @CatherineRuge: Mkutano Mkuu wa @ChaummaT uliofanyika tar 7/8/2025 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.#UwakilishiMakini….
0
7
0
@DevotaMinja
Devota Minja
12 days
RT @ChaummaT: Mgombea Urais kupitia CHAUMMA, Salum Mwalimu amemteuaDevotha Minja kuwa Mgombea Mwenza kuelekea Uchaguzi Mkuu. @ChaummaT.#Uwa….
0
9
0
@DevotaMinja
Devota Minja
12 days
RT @MwanzoTvPlus: #BREAKING: CHAUMMA YAMPITISHA SALUM MWALIMU KUGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Katibu Mkuu wa.@ChaummaT Ta….
0
5
0
@DevotaMinja
Devota Minja
12 days
RT @ChaummaT: Hadi kufikia tarehe 4 Agosti, hali ya watia nia ilikua kama ifuatavyo. - Wagombea udiwani 2116 (53%).- Wagombea Ubunge 183 (….
0
8
0
@DevotaMinja
Devota Minja
12 days
RT @IpyanaJr007: Hadi kufikia tarehe 4 Agosti, hali ya watia nia ilikua kama ifuatavyo. - Wagombea udiwani 2116 (53%).- Wagombea Ubunge 18….
0
11
0
@DevotaMinja
Devota Minja
12 days
RT @IpyanaJr007: Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimemteua Salum Mwalimu kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. @Chaum….
0
7
0
@DevotaMinja
Devota Minja
12 days
RT @Busara29_: Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimemteua Salum Mwalimu kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. #Uwakil….
0
7
0
@DevotaMinja
Devota Minja
12 days
RT @rezam06: Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimemteua Salum Mwalimu kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. #Uwakilis….
0
7
0
@DevotaMinja
Devota Minja
12 days
RT @IpyanaJr007: Tumezungumza na Watanzania juu ya rasilimali zao, wameelewa na kupokea sera zetu. Tumewaonesha namna ambavyo umaskini wao….
0
10
0