ChaummaT Profile Banner
CHAUMMA Tanzania Profile
CHAUMMA Tanzania

@ChaummaT

Followers
1K
Following
897
Media
456
Statuses
688

Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) advocating for democracy, the rule of law, accountability, and respect for human rights for the advancement of Tanzania.

Dar es Salaam, Tanzania
Joined August 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
5 years
Wimbo mzima upo Youtube: #TushibeSote #RungwekwaUchumiHalisi
9
21
56
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
3 hours
Naibu katibu Mkuu Mh.Benson Kigaila Leo 26,August 2025 amechukua ya kugombea Ubunge Jimbo la Kivule. #UwakilishiMakini #Chaumma2025
Tweet media one
Tweet media two
3
0
15
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
4 hours
Leo Agosti 26, 2025 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha CHAUMMA, Ndg. Salum Mwalim, akiambatana na Mgombea Mwenza wake, Bi.Devotha Minja, wamefika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kukamilisha taratibu za kisheria za uchaguzi. Wagombea
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
4
20
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
20 hours
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
0
2
19
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
21 hours
1
2
18
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
2 days
PDF
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
12
10
43
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
3 days
Matukio picha ya Mapokezi ya Mgombea mwenza akiambatana na Mgombea Uraisi na Mwenyekiti wa Chama Taifa kijijini kwao Lauya,Jimbo la Vunjo Mkoa wa Kilimanjaro
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
5
21
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
3 days
Mgombea mwenza Mh.Devotha Minja akiambatana na mgombea Uraisi Mh.Salum Mwalim Leo,August 23,2025 amefika kijijini kwao na kupokelewa kwa shangwe. Mara baada ya kufika iliendelea misa ya kumshukuru Mungu. #UwakilishiMakini #Chaumma2025
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
7
26
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
3 days
Mgombea Uraisi Mh.Salum Mwalim akiambata na Mwenyekiti wa Chama Taifa Wakili Msomi Hashimu Spunda Rungwe Leo August 23,2025 wamewasili Mkoa Kilimanjaro kuendelea na Ziara ya Kutafuta wadhamini. #UwakilishiMakini #CHAUMMA2025
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
3
23
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
3 days
Kamati Kuu ya Chama Cha Ukombozi wa Umma CHAUMMA imeketi leo kwaajili ya Uteuzi wa wagombea wa Ubunge wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania pamoja na Zanzibar . Kamati Kuu inatarajia kukaa siku mbili mfululizo ambapo kikao hicho kitamalizika kesho tareh 24 August
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
6
24
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
3 days
Mgombea Uraisi kupitia CHAUMMA Mh.Salum Mwalim Ameendelea na ziara yake ya kutafuta wadhamini Leo August 23,2025 amesalimia wananchi wa Sandala Jimbo la Hai,Mkoani Kilimanjaro . #UwakilishiMakini .#CHAUMMA2025
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
5
25
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
3 days
Tweet media one
0
1
11
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
3 days
RT @DevotaMinja: Namshukuru Mungu leo nitapokelewa katika ardhi niliyozaliwa kijiji cha Rauya Marangu Kilimanjaro ahsanteni wazazi wangu nd….
0
13
0
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
3 days
Tweet media one
5
3
21
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
4 days
Mgombea Urais wa CHAUMMA Mhe.Salum Mwalim pamoja na msafara wake akifuatilia mchezo wa robo fainali ya CHAN baina ya Taifa Stars na Morocco ,akiwa Jijini Arusha Usiku huu.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
4
34
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
4 days
RT @Busara29_: Hatupoi, hatuboi. CHAUMMA Leo, tumewasili Karatu, Manyara kuendelea na safari ya kusaka wadhamini wa Mgombea Urais @Chaumma….
0
4
0
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
4 days
RT @Busara29_: Msafara wa mabadiliko umeingia Karatu, Manyara. Zoezi la wadhamini linaendelea kwa nguvu, wananchi wakipaza sauti zao kwa #U….
0
3
0
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
4 days
Asanteni sana Karatu. #UwakilishiMakini #Chaumma2025
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
5
17
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
4 days
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHAUMMA, Mh. Salum Mwalim leo Agosti 22, 2025 ameendelea na ziara ya kutafuta wadhamini wilayani Karatu, mkoa wa Arusha . Katika ziara hiyo, amefungua rasmi Ofisi mpya ya Chama wilaya Karatu. #UwakilishiMakini
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
5
22
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
5 days
Mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya Chaumma Mhe.Salum Mwalim akimkabidhi kadi aliyegombea Ubunge Jimbo la Mvumi kupitia CCM na jina lake kukatwa Ndugu Mwanga Hosea Chibago ambaye pia aliwahi kuwa Mweka Hazina wa CCM Wilaya ya Chamwino amejiunga na CHAUMMA na ametangaza nia ya
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
2
26
@ChaummaT
CHAUMMA Tanzania
5 days
RT @Busara29_: Mgombea Urais wa JMT kupitia @ChaummaT, Mh. Salum Mwalimu na Mgombea Mwenza Mh. Devotha Minja wakiendelea na ziara ya kusaka….
0
6
0