CantarianM Profile Banner
Cantarian mc Profile
Cantarian mc

@CantarianM

Followers
949
Following
17K
Media
748
Statuses
9K

| Legal counsel |conveyancing | chugamaican carribean , Taurus ♉️.

Arusha, Tanzania
Joined August 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
@CantarianM
Cantarian mc
1 year
Story tunayoijua ni yule kijana bado mdogo, anamiliki ghorofa, ndinga kali na biashara kubwa ya simu. Huenda story tusiyoijua, ni dogo hana ubingwa, maisha yake hayana raha bila kuinama, kiufupi ameoza. Inasikitisha jamani. 👇.
3
26
138
@CantarianM
Cantarian mc
2 hours
Leo waajiriwa mmelala kwa raha zenu wenyewe.
0
0
0
@CantarianM
Cantarian mc
24 hours
Ningesema nitoke leo lakini hapana wacha nitulie na hii TV yangu mpya LG inch 55 ultra 4k niliyonunua kwa hela yangu mwenyewe kwa @ReganTesla_.
1
1
5
@CantarianM
Cantarian mc
2 days
RT @barnabas_suzan: Skin🙌🙌🙌🙌🙌.
0
1
0
@CantarianM
Cantarian mc
2 days
Ngoja nile winga mbili tatu nakucheki 😂.
@OleSangka
Olesangka
2 days
@emmamatondo itabidi Father kwa heshima ila nataka atangulie kwanza chalii @CantarianM akakimbize akitoka ndo nifuate mimi kichwa kikiwa kimetulia.
1
0
2
@CantarianM
Cantarian mc
2 days
Wewe na @baynit1999 ni pipa na mfuniko.
@NdaluJames01
BLACK IS COLOUR🫡
2 days
@baynit1999 @CantarianM 😅😅😅😅tulia kijana ww.
1
0
1
@CantarianM
Cantarian mc
2 days
RT @OleSangka: Tuishangaze minyoo na hii combination KFC na mizizi😀
Tweet media one
0
4
0
@CantarianM
Cantarian mc
2 days
We jamaaa😂😂😂 nakumbuka kipindi hiyo dsm kabla sijadedi walikuwa wanakuita tolu sijui nini saa hivi kimekusibu😂.
@baynit1999
Marcel
2 days
@CantarianM Offcourse kaka. Tetesi nyingi zinasema ukifa mlevi dar ndo unazaliwa lawyer dodoma😂😂.
1
0
3
@CantarianM
Cantarian mc
2 days
Is it true reincarnation exists?.
1
0
3
@CantarianM
Cantarian mc
2 days
Bango ni kubwa asubuhi unakunywa kahawa mchana astaghafirulahi usiku unalamba nyagi … nyote mnakaribishwa🔥🙌😂.
@MahmoudALwatan
Mlozi Kibakuli
2 days
Ukifika hapa ChugaTronixdom kwa chalii angu @CantarianM hatupigi mteja, tunakupa bia kwanza au kahawa! Unanunua duka zima na delivery juu 😀. SIMU ZIPO, ORIGINAL CHARGER, FRIDGE, TV, FENI, NA VIFAA VYOTE VYA UMEME. Kwa uaminifu mkubwa mno!.Kwasasa WE ARE OPEN!.
2
4
6
@CantarianM
Cantarian mc
4 days
Leo kwenye status za watu me be like “ huyu naye kawa wakili?🥵” kheee!😂.
3
0
2
@CantarianM
Cantarian mc
5 days
RT @OleSangka: Two years ago Ngao ya Jamii maneno's reminiscing the moments in Tanga town🫡.
0
4
0
@CantarianM
Cantarian mc
5 days
RT @LoemaMassey: Jaman Zigo la moto kutoka jikon Ndio nafunga wateja karibun sana Naomben na rt zenu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
26
0
@CantarianM
Cantarian mc
6 days
Mwanaume ambaye hanywi pombe lazima awe mmbea mmbea sana.
1
1
4
@CantarianM
Cantarian mc
6 days
Hii ni kweli kabisa kuna jamaa ashanishauri kwamba kama huna pulling factors zakukufanya upambane hata ujue kuitunza hela vipi utakuja kufanya matumizi ambayo sio sahihi ila ukiwa na familia lazima hata iweje udamke ukawapambanie tungoje na sisi 2035 inshalh.
@Deo_Salekio
H_T_C
6 days
Ningelala tu nakujilemaza. Mwanaume ili ukamilike jitahidi uwe na familia hata kama hujaona lakini hata watoto ambao unaishi nao wewe ni furaha tosha sana . Nafurahi sana kuiona familia ikiwa na furaha hata kama mimi sina @ReganTesla_ @adelardbabu @CantarianM.
1
1
1
@CantarianM
Cantarian mc
7 days
Kabla ya kuwa winga. Winga!
Tweet media one
Tweet media two
1
1
8
@CantarianM
Cantarian mc
10 days
When people try to mediate a fight, and I'm ready to throw down😂
Tweet media one
0
0
2
@CantarianM
Cantarian mc
12 days
Hamna option ya teni… laki wataniua mapema😂.
@johns_bobby
LoMaYaNi
12 days
Ndoa au Laki moja kila siku!?.
1
0
4
@CantarianM
Cantarian mc
13 days
Niliwaahidi tishesti nimeleta sijaleta?
Tweet media one
1
0
4
@CantarianM
Cantarian mc
13 days
RT @Deo_Salekio: Habari wana X,Nina rafiki yangu mchina anataka kufungua garage anatafuta kijana mwenye ujuzi vizuri wa magari ambae ni fun….
0
4
0
@CantarianM
Cantarian mc
13 days
Mteja akikuangalia unavyohesabu noti feki alizokuchanganyia😂
Tweet media one
1
0
5