
M.D (π
¨)
@ReganTesla_
Followers
114K
Following
140K
Media
3K
Statuses
99K
M.D & Life Coach π³ βπΏGOD 1st https://t.co/gGPpFQh0et ποΈ APPLIANCES STORE. GENUINE PRODUCTS. TV, FRIDGE, AC, SOUNDBAR & ....... π 0716006808
Joined July 2020
RT @MudiMabiriani: Jumapili kimetoka π.Huduma mwisho late night . βοΈ +255719068333 . πSinza Branch [ FRANCHISE ].Mudi Mabiriani Dar es Salaβ¦.
0
19
0
Nimeambiwa na Njiwa nishare nikuokoe wewe na Mhalifu mwenzako π
π
.
π¨ Mtu akikuazima simu yako umekwisha. WhatsApp walileta hii feature ili kuwasaidia watu wanaohitaji kujibiwa messages zao na watu waliowaunganishia linked devices. Lakini siku hizi baadhi wanatumia upenyo huu kuingilia kwa siri mawasiliano ya wapenzi wao π
0
0
1
RT @VannesserMalick: The strongest actions for a woman is to love herself, be herself, and shine amongst those who never believed she couldβ¦.
0
4
0
Kwa kijana wa Umri wako kununua hii TV mpaka sasa nawaza au umekuwa Freemason kijana wangu?? π
Ningesema nitoke leo lakini hapana wacha nitulie na hii TV yangu mpya LG inch 55 ultra 4k niliyonunua kwa hela yangu mwenyewe kwa @ReganTesla_.
2
0
9
Huwezi kuingiza barabara kwenye upande wa hasara hata ingejengwa huko kijijini ndani ndani kabisa. Halafu wengi mnaona point yangu kama namlaumu kujenga nyumbani ila mimi sipo huko. Shida yangu ni kwanini awekeze sehemu ambapo sio productive?. Mfano angejenga Mwanza bado ni.
@ReganTesla_ Ni kwel! Nimezaliwa chato na kusomea chato primary! . Rami ya kwanza imejengwa chato mwaka 1999! . Chato ikiwa kijiji! . Imekuwa wilaya chato magufuli hajawa raisi (2007). Asilimia 60 ya barabara za rami za mtaani zimejengwa kipind yeye ni mbuge na waziri!. Taja vyako!.
2
0
6
Huyu ukimwambia aue mtu unadhani atawaza mara mbili?.
"@TunduALissu anyongwe, watanzania tupo milioni 63, akitoka mmoja kuna hasara gani." Kijana wa CCM. Huku ndipo tulipofika kama Taifa.
3
2
16
Football nimecheza mara chache nikilinganiasha na basketball. Ni kweli basketball kuna time outs ila udogo wa pitch ya basketball na speed ya uchezaji wake unachoka zaidi. Kumbuka bball unamkaba mtu akiwa na π au akiwa hana. Kuna muda game inawaka moto unachoka mpaka unatamani.
Basketball ndio wanapumzika kila saa kuna time outs . unaweza tolewa ukarudi tena. avarage footballer wanakimbia 9-12 km kila mechi na sio mbio za kawaida ni speed kali.
3
0
30