Bwaji Deo
@Bwaji4
Followers
10K
Following
65K
Media
1K
Statuses
20K
R. I. P Mom (27/07/2016) ๐ God Rest You In Peace Our Dear Mother ๐๐ Phone No: 0769230966 Email: [email protected]
Dar es Salaam, Tanzania
Joined December 2019
๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ( Offer Offer Offer) Jeans Kadeti T-shirt ๐ฆ๐๐ญ๐: M,L,XL,XXL ๐๐๐: Ni Kuanzia Elfu 10000 Tu Tunapatikana Zanzibar Bubwini Njia Ya Kama Zanzibar tunafanya delivery Au Jiunge na group letu la WhatsApp https://t.co/fJkyn6y2QD
0
0
3
โ๏ธMorice Abraham ubongo wake "๐ง " huwa unatafsiri mambo kwa haraka isiyo ya kawaida pindi anapokuwa na Mpira
0
0
1
Can it really be a coincidence? Smart Investors Hold Gold. Find out more at Goldhub
29
80
1K
Hivi Hizi Tv Za Hospitalini Hazinaga Sauti Maana Naona Watu Wanamkubatia Tu Mwigulu Nchemba Kwani Kafanya Nini
0
0
3
Sheria Ni Kama Uzi Wa Buibui Wadudu Wadogo Tu Ndio Hunaswa.
6
11
14
Huu Mwezi nimelia sana aisee๐คฆni mwezi ambao Nina Maumivu mengi mno Sema basi Tu๐โโ๏ธ
38
33
186
Hata kama umempenda mtu kiasi gani hakikisha hautumii nguvu kubwa kumuomba ushirikiano kwenye mawasiliano..
19
87
559
Power your home for less. Generate clean energy from the sun and save every month with Tesla Solar.
0
139
802
DEAR Ex!! AMINI kwamba.....ipo siku utakuja kuumia na kulia kama Mimi nilivyofanya kwako Ingawa sikuombei ikatokee hivyo๐ฅ
0
1
2
Ndugu Upande Wa BABA Ni Ndugu zako Wakati Ndugu yao Yupo Hai Akivuta Nao Wanapotea Huoni Text Wala Calls.
28
52
196
Binafsi , Kila nikisikia story za Mapenzi roho inauma sanaaa Nina vidonda ambavyo sizani Kama Vitapona๐ฅฒ
6
10
27
Nimewahi Kukukosea popote* Ni kama una chuki binafsi na mimi nimejaribu kufanya kila ustaarabu lakini naona Lengo lako kuniharibia heshima yangu Kukaa kwetu ni kosa? Unahamasisha watu wanichukue humu Nikikuchukulia hatua za kisheria sitaki lawama Ntakufanya sampo
@kipepe123 Wananiudhi kukulisha mpaka leo unanenepeana kama kinguruwe ๐
13
7
141
I'm hiring a founding engineer to build fully automated software companies with me at @RocketableInc. This sounds crazy to most people, but the trajectory is obvious if you're paying attention. Within a few years, the question won't be "can AI run a software company?" It will be
5
2
29
"Kuna vyeo vyenye Madaraka, kuna vyeo vyenye Mamlaka na kuna Vyeo vyenye Ushawishi tu. Usipojua mipaka ya madaraka, mamlaka na ushawishi utajikuta katika matatizo na lawama."
2
9
29
Mimi ni mtu wa kudadisi vitu kwa umakini mkubwa sana Ukidhani sijaona, nikuhakikishie, nimeona kila kitu. Ila mara nyingi nachagua kukaa kimya kuliko kujibu Si kila kitu kinastahili majibu, vingine hifadhi moyoni, jifanye zoba. Ila fungua macho, watu watajionyesha wenyewe.
5
15
194
Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini wazazi wetu walikuwa makini ktk kuchagua wageni wa kuingia ndani ya nyumba na wale wa kukaa nje ya nyumba? Si kila rafiki ni RAFIKI. Wapo watu wenye roho za giza lakini nyuso zao zina tabasamu Weka watu mahali wanapostahili. Na usijute kwa hilo
17
44
353
@Hungry_Freeman Kwa akili yako unadhani nategemea kuishi hashtag? Bro humu kupitia tweets za watu huwa mnajifanya mnawajua mpaka maisha yao ๐
2
1
0
@smirnofftz page for more updates for the next #NoKnownAddress location! #NoKnownAddress #WeDoWe #Smirnofftz #IYKYK
0
0
0
Smirnoff, the worldโs #1 vodka, broke all the rules by throwing the BADDDEST party of the year, revealing the location just 24 hours before, pioneering next level cocktails and flavors and now weโre taking the hype to new heights with #SmirnoffAirlines ๐ซ๐ฅ Keep following
1
0
0
Kinachokupa wewe uhuru wa kuishabikia Yanga ndio kinachompa mwenzako uhuru wa kuishabikia Simba. Kumuona mwenzio zoba kisa hayuko upande unaoukubali wewe basi wewe ndio unakuwa zoba zaidi yake.
9
20
203
$AREB โMassachusetts is the cradle of American liberty โ Lexington, Concord, the Minutemen, the shot heard โround the world โ this is where the fire of freedom was lit. The people here still carry that same defiant, patriotic heartbeat, and they damn sure know great beer when
17
11
71
Ila Dar, Unatoka asubuhi na mvua unajisemea acha nivae kasweta katanisaidia, shwaa unafika ubungo tu jua linawaka kama limetumwa ๐คฃ
12
11
268