
Deogratias Mahinyila
@AdvMahinyila
Followers
15K
Following
2K
Media
340
Statuses
2K
National Chairperson-CHADEMA Youth Wing. Advocate of High Court| Notary Public and Commissioner for Oaths.
Dar es Salaam, Tanzania
Joined September 2015
RT @AdvMahinyila: Madai. Sitaki wagombea wangu waenguliwe. Kabla hujajua dai hilo limetekelezwa au halitekelezeki. Mkakati unaouza: Nitalin….
0
96
0
RT @HildaNewton21: "Hii #NoReformsNoElection itatekelezwa na wananchi wa Tanzania kwasababu hii ni agenda ya Watanzania kwa miaka mingi"-;….
0
92
0
RT @AdvMahinyila: Kwa wavivu wa kuelewa na wanaochelewa kung'amua mambo. Bi Mkubwa hapo anasema; Kwa wanaosema OKTOBA TUNATIKI, ni kwamba h….
0
43
0
Leo jioni limefanyika kongamano kubwa la kukihami chama katika jimbo la kilolo, mkoa wa Iringa. Kongamano hilo limeongozwa na Katibu Mkuu wa BAVICHA taifa Dua Lyamzito Hakuna kulala mpaka kielewekee. *#NoReformsNoElection*
11
135
617
RT @PatricOleSosopi: Leo, Tar. 27/06/2025 tulifika Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Dodoma, Shauri la Jinai Na. 14403/2025 linalowak….
0
13
0
RT @rose_mayemba: Anaandika Wakili Msomi @AdvMahinyila ."Leo, Tar. 27/06/2025 tulifika Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Dodoma, Shau….
0
67
0
RT @ShundoGaston: Asante sana mawakili , mliojitokeza leo mahakama ya hakimu Mkazi Dodoma kutoa huduma ya kisheria kwa viongozi wetu wa Cha….
0
4
0
RT @AdvMahinyila: Ni kwa vile Ujinga hauna macho. Uchaguzi ungeahirishwa hadi mwakani: Wanaogawiwa baiskeli, pikipiki, mitungi ya gesi na t….
0
97
0
Cha ajabu ma CCM hayataki kushinda kwa HAKI hata kwenye jimbo moja wanaloweza kushinda kwa HAKI. Inashangaza sana. Tamaa yako @rose_mayemba ni tamaa ya watanzania wengi wenye akili timamu na mapenzi mema na taifa letu.
22
173
778
Hongera @martinAbdul14 na wasomi wenzako kutoka Vyuo Vikuu vya Dar es salaam. Mmekuwa wasomi wa kweli. Mmesimama kuhesabiwa kwa hatua ya sasa. Aluta Continua.
12
53
329
RT @AdvMahinyila: Zaburi 118:24. Siku hii ndiyo aliyoifanya BWANA, Tutashangilia na kuifurahia.
0
69
0