AdvMahinyila Profile Banner
Deogratias Mahinyila Profile
Deogratias Mahinyila

@AdvMahinyila

Followers
15K
Following
2K
Media
340
Statuses
2K

National Chairperson-CHADEMA Youth Wing. Advocate of High Court| Notary Public and Commissioner for Oaths.

Dar es Salaam, Tanzania
Joined September 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
8 days
RT @AdvMahinyila: Madai. Sitaki wagombea wangu waenguliwe. Kabla hujajua dai hilo limetekelezwa au halitekelezeki. Mkakati unaouza: Nitalin….
0
96
0
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
8 days
Madai. Sitaki wagombea wangu waenguliwe. Kabla hujajua dai hilo limetekelezwa au halitekelezeki. Mkakati unaouza: Nitalinda kura. Je, wagombea wako wakienguliwa kama ambavyo madai yako yanasema. Utalinda nini? No Reforms: No Election ni kama MAJI usipoyanywa basi UTAYAOGA.
Tweet media one
9
96
485
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
8 days
RT @HildaNewton21: "Hii #NoReformsNoElection itatekelezwa na wananchi wa Tanzania kwasababu hii ni agenda ya Watanzania kwa miaka mingi"-;….
0
92
0
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
8 days
0
48
0
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
9 days
8
48
280
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
9 days
Tukutane hapo baadae. Tutajadili mambo kinagaubaga. Hasahasa hili la NRNE tutalazimika kulijadili. Hakuna njia nyingine tofauti. Tutakuwepo.
Tweet media one
16
94
505
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
16 days
Mapambano, Ajira kwa Vijana.
2
23
118
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
19 days
Habari za akina Mkojani,Mkali wenu, Hamorapa and the like; kuchukua fomu huko mbogamboga ni mkakati mpya wa kutaka umma uwajadili. MaCCM yanafurahia hata kupata Dakika 5 watanzania kujadili ujinga wowote. Wanaogopa hawapendi mjadala wa NO REFORMS: NO ELECTION. Tupuuze MAUJINGA.
Tweet media one
17
84
349
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
20 days
RT @AdvMahinyila: Kwa wavivu wa kuelewa na wanaochelewa kung'amua mambo. Bi Mkubwa hapo anasema; Kwa wanaosema OKTOBA TUNATIKI, ni kwamba h….
0
43
0
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
20 days
Leo jioni limefanyika kongamano kubwa la kukihami chama katika jimbo la kilolo, mkoa wa Iringa. Kongamano hilo limeongozwa na Katibu Mkuu wa BAVICHA taifa Dua Lyamzito Hakuna kulala mpaka kielewekee. *#NoReformsNoElection*
11
135
617
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
20 days
Kwa wavivu wa kuelewa na wanaochelewa kung'amua mambo. Bi Mkubwa hapo anasema; Kwa wanaosema OKTOBA TUNATIKI, ni kwamba hawana akili, hawajielewi na mafala sana. Sababu kuu ni kwamba hata WASIPOTIKI bado nani kama MAMA atashinda. Wasijidanganye na matiki yao. AKILI MTU WANGU.
Tweet media one
6
43
214
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
21 days
RT @PatricOleSosopi: Leo, Tar. 27/06/2025 tulifika Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Dodoma, Shauri la Jinai Na. 14403/2025 linalowak….
0
13
0
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
21 days
RT @rose_mayemba: Anaandika Wakili Msomi @AdvMahinyila ."Leo, Tar. 27/06/2025 tulifika Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Dodoma, Shau….
0
67
0
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
21 days
RT @ShundoGaston: Asante sana mawakili , mliojitokeza leo mahakama ya hakimu Mkazi Dodoma kutoa huduma ya kisheria kwa viongozi wetu wa Cha….
0
4
0
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
22 days
RT @AdvMahinyila: Ni kwa vile Ujinga hauna macho. Uchaguzi ungeahirishwa hadi mwakani: Wanaogawiwa baiskeli, pikipiki, mitungi ya gesi na t….
0
97
0
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
22 days
Ni kwa vile Ujinga hauna macho. Uchaguzi ungeahirishwa hadi mwakani: Wanaogawiwa baiskeli, pikipiki, mitungi ya gesi na t-shirt msimu huu. Wangekuwa na miezi kadhaa ya kuletewa pia suruali, kaptura, vijiko, TV na Ving'amuzi vya Azam. Unapata REFORMS pamoja na vibakuli vya CCM.
Tweet media one
22
97
577
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
24 days
Cha ajabu ma CCM hayataki kushinda kwa HAKI hata kwenye jimbo moja wanaloweza kushinda kwa HAKI. Inashangaza sana. Tamaa yako @rose_mayemba ni tamaa ya watanzania wengi wenye akili timamu na mapenzi mema na taifa letu.
22
173
778
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
24 days
Hongera @martinAbdul14 na wasomi wenzako kutoka Vyuo Vikuu vya Dar es salaam. Mmekuwa wasomi wa kweli. Mmesimama kuhesabiwa kwa hatua ya sasa. Aluta Continua.
12
53
329
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
27 days
Ushamba. Hilo zuio limewataja Bodi ya Wadhamini, Katibu Mkuu na wafanyakazi chini ya Ofisi ya Katibu Mkuu. Makamu Mwenyekiti kuzungumza na wanahabari inahusika nini? Kwamba Kiongozi au mwanasiasa kutoka CHADEMA kwa sasa haruhusiwi kuzungumza na wanahabari? KUCHANGANYIKIWA HUKU.
Tweet media one
28
88
449
@AdvMahinyila
Deogratias Mahinyila
1 month
RT @AdvMahinyila: Zaburi 118:24. Siku hii ndiyo aliyoifanya BWANA, Tutashangilia na kuifurahia.
0
69
0