Kijana jifunze kupiga kazi kwenye mazingira yoyote Yale bila kuhofia kwamba utachekwa na watu, kwenye utafutaji hakuna Aibu piga kazi aiseee..,📌📌
Good morning fam 📌🙏
GIVEAWAY🎁
Jishindie zawadi ya T-shirt kutoka kwetu.
Cha kufanya
1. Follow page yetu
2. Like hii post
3. Repost na sababu ya wewe kupata hii zawadi.
Mwenye likes nyingi atajishindia zawadi yake ya T-shirt kutoka kwetu. Mwisho wa zoezi ni jumapili 14.01.23.
#hatuamerchs
Leo ndio leo wadau CHALLENGE imefika hapa 🔥🔥🔥
Sasa leo ni ijumaa ya GIVE AWAY ya TECNO SMARTWATCH PRO 2, yenye thamani ya 120,000!
1. Qoute post yangu hii ukiwamention watu 5
2. Wafollow
@TecnomobileTZ
Repost Nyingi zaidi atakuwa Mshindi 24hrs.👇