Adviser💪
@paulambross1
Followers
3K
Following
131K
Media
1K
Statuses
50K
God First | Advicer | @SimbaSCTanzania, @ManUtd | @realmadrid Fan #MaishaNiKuishi Public Relation Officer at Kukeke Gang
Dar Es Salaam-Tanzania
Joined August 2013
Elimu sio nyenzo ya kujitajirisha au kupatia cheo cha siasa bali Elimu ni pahala pa kupanua maono yako na kukamilisha ubinadamu wako. #MaishaNiKuishi
2
12
30
OVERNIGHT: American senators demand independent investigation into Tanzania killings after CNN investigation
This report underscores the disturbing actions by the Tanzanian Government to suppress protestors. Evidence of mass graves show an unacceptable attempt to cover-up gross violations of human rights. There must be an independent investigation into these tragic acts immediately.
100
677
2K
#CodeszaUnabii Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema muda wa mbuyu umeisha. Umeishi kwa takribani miaka 50. Umepukutika. Hauna majani. Jangwa limezidi kuwa kubwa. Mizizi yake imeanza kukauka ndege wa angani hawawezi kupata malisho yao juu yao na ukatwe. Sauti kuu inarudia
11
74
378
Baaaaassssssiiiiiiiii Everton mmeisha hiyo RED card hamtoki 😁😁😁
1
0
1
Wakati nahimiza kataa MAHUSIANO kataa NDOA wewe ulihisi tunakunyima RAHA? Hao viumbe ni selfish to the maximum 🚮🚮
Wanawake ni selfish sana yaani namsikiliza wife mawazo yake yeye anajiongelea yeye na mtoto wake tu as if nimekufa😂😂 Hii ni tabia endelevu kila miaka inavyosogea ndio anaongeza uchoyo ndoa hii itakufa huu mwaka nikisepa sirudi🖕🏾
1
0
2
Huu sio muda wa ku discuss vyama, bali ni muda wa kusimamia UTAIFA, HAKI, UWAJIBIKAJI, UTU, UWAZI na UKWELI Sio muda wa Propaganda, Itikadi au Mrengo. Go play somewhere else I’m Busy!!
@Wakazi Sawa kaka ila chama chako pendwa kilishiliki uchaguzi au wewe kwa sasa hauko tena kule???
4
13
115
Nilipost hii Sundar Speaker, Mkali @Mbonile6 akanicheki tukafanya biashara kwa uaminifu, finally mzigo ukamfikia mpaka KIABAKARI MARA. Umetisha sana kaka big up sana. Kama unahitaji TV, soundbar, Friji na simu nicheki tufanye biashara upate mzigo kwa usalama 👊👊✊️
11
44
57
Wanasema tatizo la ufisadi nchini sio mtu, bali tatizo ni mfumo. Kwa mantiki hii, wanasema Tanzania kuna ufisadi lakini hakuna mafisadi.
54
103
149
Labda kama Girshoni hajasoma Journalism hii tunayoijua kwa sababu inaruhusiwa kwenye journalism sometimes kutoa habari ya upande mmoja ili kupata ukweli wa upande wa pili na kuifanya habari kuwa kamili.
0
0
0
Mabadiliko, kokote yalikotokea, yalidaiwa na kuongozwa na vijana. Vijana wa Tanzania washike usukani wa kuleta mabadiliko wanayoyataka.
72
627
1K
Kama umewahi kufika Kigoma huwezi kushangaa hili ni wako nyuma mno.
0
0
0
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Kigoma Rajabu Bujoro na Mwenyekiti wa wilaya ya Kasulu Fanuel Kisabo wamefikishwa mahakamani leo na kushitakiwa kwa makosa ya uongo ya kubambikiza.. Makosa kama haya ya ugaidi wa uongo ndio nilitakiwa kushitakiwa nayo.. Huu ni muendelezo wa uonevu
15
252
933
RT
Nafanya wiring nzuri karibuni🔥 Nafanya wiring nzuri karibuni🔥 Nafanya wiring nzuri karibuni🔥 Nafanya wiring nzuri karibuni🔥 Nafanya wiring nzuri karibuni🔥 Usisite kunipigia simu, napatikana Mwanza ila popote nafika tukikubaliana 🤝 📞 0714361234 #MkonoWaJay⚡
1
2
2
Nafanya wiring nzuri karibuni🔥 Nafanya wiring nzuri karibuni🔥 Nafanya wiring nzuri karibuni🔥 Nafanya wiring nzuri karibuni🔥 Nafanya wiring nzuri karibuni🔥 Usisite kunipigia simu, napatikana Mwanza ila popote nafika tukikubaliana 🤝 📞 0714361234 #MkonoWaJay⚡
13
76
129