Mr.Pdmπ
@paschalmadata
Followers
5K
Following
297K
Media
637
Statuses
57K
#PdmNafakaStore., NAUZA MCHELE SUPER JUMLA NA REJA REJA maharage pia unga ,mahidi. n.k karibuni sana.., /Ukijiona Unajua Kila Kitu Ujue Umechoka Kufikiria.
Dar es Salaam, Tanzania
Joined November 2018
#PdmNafakaStore ushindi wetu unawategemea nyie ndugu kutoka mitaa yote ya dar es salaamaβ¦. Tupo goba na mwananyamara sokoni. Piga sasa 0675708084.
1
47
63
Ngoja nipike nile wali na nyanya nitakufa njaa hakuna wa kuleta pilau hapaβ¦β¦. Mungu ajalie tu mwakani iwe heri hii hapana π
1
0
0
Baada ya Mahubiri mazito kutoka kwa baba askofu wa jimbo kuu la dar es salaam karibuni tule pilau Ndugu zangu wapendwa katika bwanaπ siku imekuwa bora sana π€²π
1
3
10
Mda wa kwenda kwa dm ya fundi sasa π
0
1
1
Mungu awaweke tumeshapata mmoja tayari ππ and hao wengine tutajitahidi next time mungu awape namna njema ya kufurahia uhai wao katika mwisho wa mwaka Asanteni π
#PdmNafakaStore inawataarifa wateja wake wa X kwamba baada ya kumaliza na mtaa kwa wenye uhitaji inatoa fursa moja tu kwa mtu ambaye unamjua anauhitaji kweli na sio fake nimbie au mtag kuna kg5Na50k kwajili ya Christmas na mwaka mpya Asante rt.Heri ya Christmas na mwaka mpyaππ€
0
1
2
#PdmNafakaStore inawataarifa wateja wake wa X kwamba baada ya kumaliza na mtaa kwa wenye uhitaji inatoa fursa moja tu kwa mtu ambaye unamjua anauhitaji kweli na sio fake nimbie au mtag kuna kg5Na50k kwajili ya Christmas na mwaka mpya Asante rt.Heri ya Christmas na mwaka mpyaππ€
3
8
14
Watu wanajimaliza wanasahau hii ni mitandao kila mtu anatumia anavyojisikiaππππ
@paschalmadata Ukiwa mgeni wa Jiji ngumu sana kuelewa π
0
0
3
Hii ndo foleni sasa toka ubungo mpaka badarini π Ivi ule mpango wa magufuli wa maroli kupita nje ya mji uliishia wapi ?
0
0
2
Matajiri bwana πππ
1
0
2
Hongera
0
1
3
@paschalmadata Hongera kaka ....sasa nipate uwinga wa kumleta @JayUmeme hapoπππ
2
2
3
Wa hivi kumkuta anabishana mtandani ni ngumu sana
0
2
3
π₯π₯π₯ karibu sana maboss
Ahsanteni sana kwa support yenu juu ya kazi yetu .. Sample hii kwangu imebaki tani mbili unusu & msisite kununua kwa @LoemaMassey kwa mliopo Dodoma,@kalage_jr, @paschalmadata kwa mliopo DSM @IamSimbuJr kwa mliopo Shinyanga . 3000@Kg
0
1
2
Wateja mtake nini tena ..mchele upo kila kona @LoemaMassey @kalage_jr @paschalmadata @njoroge7 @IamSimbuJr Wazee wa mchele π
Unahitaji mchele mzuri wenye ladha halisi ?? Mcheki @LoemaMassey kwa wakazi wa Dodoma,@kalage_jr @paschalmadata kwa wakazi wa DSM,@Njoroge761 kwa wakazi wa Mwanza & @IamSimbuJr kwa Wakazi wa Shinyanga . 3000@Kg
2
4
9