paschalmadata Profile Banner
Mr.PdmπŸ™ Profile
Mr.PdmπŸ™

@paschalmadata

Followers
5K
Following
297K
Media
637
Statuses
57K

#PdmNafakaStore., NAUZA MCHELE SUPER JUMLA NA REJA REJA maharage pia unga ,mahidi. n.k karibuni sana.., /Ukijiona Unajua Kila Kitu Ujue Umechoka Kufikiria.

Dar es Salaam, Tanzania
Joined November 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
9 months
#PdmNafakaStore ushindi wetu unawategemea nyie ndugu kutoka mitaa yote ya dar es salaama…. Tupo goba na mwananyamara sokoni. Piga sasa 0675708084.
1
47
63
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
1 hour
Ngoja nipike nile wali na nyanya nitakufa njaa hakuna wa kuleta pilau hapa……. Mungu ajalie tu mwakani iwe heri hii hapana πŸ™Œ
1
0
0
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
6 hours
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kaka ulipata
@INFLUENCERjr
WHYMYCATISSAD
1 day
Wakuu natafuta mdada ambaye atanisaidia kupika pilau kesho maana mwenyewe siwezi kiukweli. Itapendeza nikimpata leo ili kesho wakati naenda kanisani nimuache nikirudi nikute msosi tayari. Malipo ya kizalendo na usafiri ni juu yangu.
1
0
3
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
7 hours
Baada ya Mahubiri mazito kutoka kwa baba askofu wa jimbo kuu la dar es salaam karibuni tule pilau Ndugu zangu wapendwa katika bwanaπŸ™ siku imekuwa bora sana 🀲😊
1
3
10
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
9 hours
Mda wa kwenda kwa dm ya fundi sasa πŸ™Œ
@YcuL___
FUNDI JUMA πŸ‡ΏπŸ‡¦
10 hours
Merry Christmas πŸŽ„πŸŽ
0
1
1
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
1 day
Rt tu bila sababu
@SadickTusia
The ChandO
2 days
Bro, wanawake huwa hawatunzi Siri ata awe mke wakoπŸ™Œsiku mkiachana ndo utajua..
1
1
1
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
1 day
Mechi imechangamka sasa πŸ”₯πŸ”₯
0
0
0
@RobinhoodApp
Robinhood
9 days
Replay Robinhood Presents: YES/NO? Yes.
148
372
3K
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
1 day
Mungu awaweke tumeshapata mmoja tayari πŸ™πŸ™ and hao wengine tutajitahidi next time mungu awape namna njema ya kufurahia uhai wao katika mwisho wa mwaka Asanteni πŸ™
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
1 day
#PdmNafakaStore inawataarifa wateja wake wa X kwamba baada ya kumaliza na mtaa kwa wenye uhitaji inatoa fursa moja tu kwa mtu ambaye unamjua anauhitaji kweli na sio fake nimbie au mtag kuna kg5Na50k kwajili ya Christmas na mwaka mpya Asante rt.Heri ya Christmas na mwaka mpya😊🀝
0
1
2
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
1 day
#PdmNafakaStore inawataarifa wateja wake wa X kwamba baada ya kumaliza na mtaa kwa wenye uhitaji inatoa fursa moja tu kwa mtu ambaye unamjua anauhitaji kweli na sio fake nimbie au mtag kuna kg5Na50k kwajili ya Christmas na mwaka mpya Asante rt.Heri ya Christmas na mwaka mpya😊🀝
3
8
14
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
1 day
Watu wanajimaliza wanasahau hii ni mitandao kila mtu anatumia anavyojisikiaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
@McinikaWaLamar
Daktari Wa Manesi πŸ’‰πŸ’Š
2 days
@paschalmadata Ukiwa mgeni wa Jiji ngumu sana kuelewa πŸ˜†
0
0
3
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
2 days
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ rt tu bila sababu . Kitu kigine hawa watu ila fresh tu 😎
@Hamis_Mbaade
Mbaade 🀠
2 days
Na ukitaka kuoa Single mother ukumbuke ni yeye ndio ataamua ni lini atapata mimba tena πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
2
2
6
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
2 days
Usiposhtuka dar kuwa mapenzi ni biashara huria . unaweza kujikuta uko na ndala tu na unazeeka kuna wanawake wana drama shetani haoni ndani ila usiogope wanawake wema wapo usichoke kujaribu kila leo 2025πŸ™Œ
@INFLUENCERjr
WHYMYCATISSAD
4 days
Wasio na maisha kama mimi disemba funga mwaka photo dump let’s have it!!!!
33
4
63
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
2 days
Hii ndo foleni sasa toka ubungo mpaka badarini πŸ™Œ Ivi ule mpango wa magufuli wa maroli kupita nje ya mji uliishia wapi ?
0
0
2
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
4 days
Matajiri bwana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
@Njoroge761
Leonard Njoroge
4 days
@Mazikuagric @781famerguider Sasa kaka unataka shemeji au hutaki?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒβ€β™‚οΈ
1
0
2
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
4 days
Hongera
@nonchalanceyy
iMama
4 days
Watu washibe! Kitengo msosi
0
1
3
@Njoroge761
Leonard Njoroge
4 days
@paschalmadata Hongera kaka ....sasa nipate uwinga wa kumleta @JayUmeme hapoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
2
2
3
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
4 days
Maisha marefu boss
@mankadolly
Mankakidoti
4 days
Namuomba Allah anijalie umri mrefu wenye Afya,hekima na mafanikio zaidi,mwisho namuomba aniepushe na wanaume wanaoumiza moyo wangu...
1
0
2
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
4 days
Wa hivi kumkuta anabishana mtandani ni ngumu sana
@DaalloD
Daallo
5 days
Hiβ€οΈπŸ‡ΈπŸ‡΄
0
2
3
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
4 days
Ni Mungu tu πŸ˜ŠπŸ™
4
4
21
@paschalmadata
Mr.PdmπŸ™
6 days
πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ karibu sana maboss
@Njoroge761
Leonard Njoroge
6 days
Ahsanteni sana kwa support yenu juu ya kazi yetu .. Sample hii kwangu imebaki tani mbili unusu & msisite kununua kwa @LoemaMassey kwa mliopo Dodoma,@kalage_jr, @paschalmadata kwa mliopo DSM @IamSimbuJr kwa mliopo Shinyanga . 3000@Kg
0
1
2
@Tinahcristiaan
Tinah Mamantilie~mantilie wa XπŸ₯°
7 days
Wateja mtake nini tena ..mchele upo kila kona @LoemaMassey @kalage_jr @paschalmadata @njoroge7 @IamSimbuJr Wazee wa mchele πŸ™
@Njoroge761
Leonard Njoroge
7 days
Unahitaji mchele mzuri wenye ladha halisi ?? Mcheki @LoemaMassey kwa wakazi wa Dodoma,@kalage_jr @paschalmadata kwa wakazi wa DSM,@Njoroge761 kwa wakazi wa Mwanza & @IamSimbuJr kwa Wakazi wa Shinyanga . 3000@Kg
2
4
9