|| i choose obliteration over Mercy||
#VisitSingida
🌻|| Man United || Hasbuna Allah|| Trust the process || The Three Eyed Raven || Cadillac Escalade ||
Ifike mahali Simba wamtambue Tunda man kama legend kwenye timu yao
Jamaa yupo kwenye shida na raha anaipambania sana simba kwenye jua na mvua
Apewe heshima yake anajitolea sana
Kwenye upande wa comedy hapa Tanzania hakuna wa kuwapita hawa majamaa wa jambo na vijambo kwanza wametoka mbali alafu wanajua nini jamii inataka
Itoshe kusema hawa majamaa wanajua sana top of the top
Underrated player pale simba ni huyu hapa jamaa
Sijawahi kuona amecheza mechi kwa kuboronga hawatu hawamuimbi sana Kwasababu hana mbwembwe nyingi ila anapiga kazi balaa
Miaka 5 iliyopita. José Mourinho alisema:
• Pogba ni virusi, si mchezaji wa timu.
• Martial ni mvivu na anahitaji kuondoka klabuni.
• Rashford hawezi kuwa mshambuliaji wa kutegemewa wa Man United.
• Luke Shaw hatumii kichwa chake.😂 ( ila shaw ka improve ) 😂
Mwanetu ni Mtanzani kabisa anaipeperusha Bendera ya Tanzania ila hakuna promo yoyote au support anayoipata kutoka kwa viongozi wa Tanzania au media nyingi Tanzania na kwenye social media
Just imagine jamaa angekuwa ni mkenya sema Bongo huwa wana support sana ujinga
🧵
#UZI______
UKISEMA UNAPITIA MAGUMU MKUMBUKE NA HISTORIA YA MAISHA 50 CENT risasi 9 mwilini mpaka kwenye Ulimi na yupo hai mpaka leo anaishi
Shuka nayo 👇🏽
#RETWEET
Wenzetu kwenye upande wa movie & series wako serious sana wanaigiza kwa uhalisia sana just imagine series kama game of thrones imechukua miaka kama 10 hivi mpaka kukamilika
Angalia kwenye snowfall pia
Mandevu katoka chunya ameenda Daslamu amekutana Na neypaul Mandevu ameshapost kwenye account yake zaidi ya mara 6 lakini neypaul hajampost mandevu hata mara moja
#Shobo
⚖️
Story mojawapo ambayo huwezi kuzikosa hapa
1. Diamond freemason
hana hela zile ni za Urithi
3. Kanumba na 2pac wanaishi mpaka leo
Taja zingine unazozijua 😄
🧵RETWEET 🙏🏾
Hawa ni aina ya mijusi wanaopatikana sana Kwenye makazi ya watu mara nyingi tunakutana nao majumbani na tunawachukulia poa tu ukweli ni kwamba Mijusi aina hii wanakuwa wana sumu na ni mbaya Kwa mfano mnakaa familia au mnakaa tu ndani wengi si unajua tabia za👇🏼👇🏼
Abdulrazack Hamza Beki Mtanzania Tumpe Maua Yake Jamaa Hana Presha Ana Utulivu na Akili Nyingi Uwanjani Hana Mbwembwe Yeye Anacheza Soka tu Namuona Mbali Zaidi🤝🏽
Siku za Nyuma niliwahi Kusema kuna Ma Goalkeeper wapo kwenye Ligi kubwa Tano Duniani Hawafiki Uwezo wa Goalkeeper wa Sundowns Ronwen Williams Saiv yupo kwenye Orodha ya Ma Goalkeeper Wa Dunia
Kipa Mwenye hadhi ya nyota 5