Explore tweets tagged as #TeachingIsProfession
औरों के लिए होते होंगे रोज डे ,प्रपोज डे, टेडी डे वैलेंटाइंस डे हम तो #टीचर है जनाब हमारे लिए तो इंडिपेंडेंस डे ,रिपब्लिक डे, योगा डे स्पोर्ट्स एग्जाम दे बस #teachingisprofession
3
5
23
Walimu....Hawa watoto Hawa wakifeli hamfungwi...sijawahi kusikia mwalimu amehukumiwa kwenda jela kwa sababu ya wanafunzi kufeli mtihani wa form II,IV au VI. Ukishajua hilo ,achana na watoto wasiotimiza wajibu wao. Utaenda jela na familia yako itataabika #TeachingIsProfession
51
62
557
Kijana wa Kitanzania hata akiachwa na mpenzi wake ,lawama kwa walimu. #TeachingIsProfession
24
14
142
Hashtag ni #TeachingIsProfession bahati mbaya haina maokoto. Miaka ijayo serikali inafanya watu waichukie hiii kada
0
1
6
Walimu tunanyanyasika sana kwenye mapenzi. Itungwe sheria ya kutulinda walimu kwenye mapenzi. #TeachingIsProfession
16
10
116
Tafiti zinaonesha mahitaji ya walimu ni makubwa sana nchi hii. #Accountability
#ElimikaWikiendi
#TeachingIsProfession
12
16
116
Today is World Teachers' day God bless the Teachers and their efforts will not be in vain. Amen #TeachingIsProfession
#TeachersDay2024
0
0
1
Wakishatukana walimu...wanasahau nao walisomea ualimu .....sasa wanaogopa hata Kuja live kukuuliza...inabidi waje as anonymous. #TeachingIsProfession
14
5
74
I said this February 2025. Leo hii yametimia. UDOM wameanza kusitisha udahili wa Shahada za ualimu. #TeachingIsProfession
Mimi sioni sababu ya Higher Learning Institutions kuendelea kudahili wanafunzi wa kozi za ualimu. Sioni mantiki kwa HESLB kuendelea kutoa mikopo kwa wanafunzi wanaotaka kusoma kozi za ualimu. Kiufupi DUCE na MUCE zinapaswa zifungwe au zingeuzwe matumizi. #TeachingIsProfession
38
34
255
@Dr_DGwajima @elyneema Walimu tujitahidi kuzingatia hizi kanuni ili kujiepusha na hii changamoto; tuna familia za kulisha, sasa iweje ujitie matatizoni kwa masuala ambayo yanaweza kuepukika? #TeachingIsProfession
#KataaUkatiliWeweNiShujaa
2
2
5
Kijana wa Kitanzania hata hasipo eleweka na content zake, lawama kwa walimu. #TeachingIsprofession
1
1
3
🍎Yay, teachers! Summer is coming. Stay strong! 💪 #itsagooddaytobeateacher #teachers #teacher #teachingisprofession #teachertwitter #education #educationmatters #writingcommunity
0
0
2
0
2
5
Nawakumbusha tu,nyumba wanazoishi walimu haziendani na hadhi yao...wajengewe nyumba walaum za milioni 50. #TeachingIsProfession
https://t.co/0iogeWPsui
50
30
238