barton tz ⚽️
@bartonsupremacy
Followers
6K
Following
79K
Media
5K
Statuses
103K
Content creator | Sports
Arusha, Tanzania
Joined August 2019
Siku ya mwisho ya Ligi Kuu - karibuni zaidi 📢 Chelsea, Manchester City na Newcastle United zimefuzu Ligi ya Mabingwa msimu ujao. Nafasi zao kwenye msimamo wa ligi zilithibitishwa siku ya mwisho ya msimu wa 2024-25 wa Ligi Kuu. Mabao kutoka kwa Ilkay Gundogan na Erling Haaland
1
0
3
Serikali ya Kijeshi ya Burkina Faso inayoongozwa na Captain Ibrahim Traoré imevifuta vyama vyote vya siasa nchini humo na mali zote za vyama hivyo zimechukuliwa na Serikali. Waziri wa mambo ya ndani amesema uamuzi huo umechukuliwa kama sehemu ya kujenga upya taifa lao.
45
87
984
Kuna Scene moja anaonekana mtaalamu SISU anatoa Kisu kwenye Paja lake Yule jamaa bhana.!!😂😂
57
20
505
Ukikuta nimeweka TBC hata kama sipo marufuku kubadilishaa, la si hivyo utahama hapa!!
20
30
155
Ni mchezaji gani anaongoza kwa kupiga mashuti hapa?
26
18
206
Hakuna mtu wa mpira ambaye hajui nini kinaendelea hapa…!!
32
30
539
Tofauti kati ya Juke Paul na Karim Mandonga ni kidogo sana. Wanamidomo sana hata baada ya kupigwa. 😂
10
18
146
Kuna mtoto kafa hapa jìrani kaingia kwenye kisima leo ndo nimeamini kifo hakipo mbali 😭😭😭😭
14
17
123