_ginimbi Profile Banner
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά  Profile
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 

@_ginimbi

Followers
18K
Following
122K
Media
7K
Statuses
146K

πŸ”— Blockchain believer | πŸ›‘οΈ Human rights defender | 🌍 Tech for justice, privacy & empowerment.

Los Angeles, CA πŸ‡ΊπŸ‡²
Joined May 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
4 days
I'M EITHER. #1. AT THE GYM. #2. ABOUT TO GO TO THE GYM. #3. THINKING ABOUT GYM. BEING AT THE GYM.
1
3
4
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
1 hour
Taifa haliwezi kujengwa kwa ndoto za jana tu, bali kwa hatua za leo. Vijana wasipoamua kuamka sasa, watajikuta wakiishi katika mfumo uleule walioulaumu. Mabadiliko ya kweli huanza pale ambapo kijana anasema, β€˜Nitaanza na mimi.’.
1
7
14
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
1 hour
Vuguvugu la mabadiliko halitaki watu maarufu, linahitaji watu waliodhamiria. Vijana wakikataa kutumika kama ngao za wanasiasa na wakaamua kuwa sauti za wananchi, basi taifa litaandika upya mstari wa heshima na utu.
0
1
3
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
1 hour
Mabadiliko ya kweli hayaji kwa kushangilia majukwaani, huja kwa kusimama imara hata kama uko peke yako. Vijana wa kweli ni wale wanaochagua ukweli mbele ya usalama wao binafsi kwa sababu wanajua taifa bora halijengwi kwa woga.
1
1
5
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
1 hour
Taifa linaloamka ni taifa lenye vijana wanaoogopa ukimya zaidi ya risasi. Wakiona uonevu, hawanyamazi. Wakiona ufisadi, hawashangilii. Wameamua kuwa kizazi kinachojenga historia, siyo kinachoikodolea macho.
0
4
5
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
1 hour
Vijana si mapambo ya kampeni, ni injini ya mageuzi. Watakapojua thamani yao na kukataa kupumbazwa kwa ahadi, ndipo taifa litakapopata tumaini jipya. Vuguvugu la kweli linaanzia ndani ya mioyo iliyochoka kuonewa na kuamua kupaza sauti.
0
2
3
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
1 hour
Tweet media one
@nyuki_malkia
Malkia Nyuki πŸ‘‘
2 hours
Milima ya Uluguru .Unaambiwa wajerumani walificha rupia nyingi za dhahabu kwenye hiyo milima zinalindwa na nyoka mwenye vichwa saba.Inasemekana pia milima hiyo kuna mapango ukifanikiwa kuyaona ukaingia unajikuta upo ulimwengu mwingine ni kama mlango wa kufikia sayari nyingine πŸ™Œ
Tweet media one
0
0
0
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
2 hours
RT @masoudkipanya: Sana
Tweet media one
0
160
0
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
2 hours
Heri ya siku yako ya kuzaliwa mtoto wa Wasira! Mungu azidi kukubariki na kukuongoza πŸŽ‚πŸ₯³.
@Mrsiyengo
π˜€π—Άπ˜†π—²π—»π—΄π—Ό
3 hours
πŸŽ‚ 1 +. Happy Birthday To Me.!!
Tweet media one
Tweet media two
1
1
1
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
9 hours
You have left a huge mark on Nigerian politics and the African continent in general. May your final journey be one of peace and eternal tranquility @MBuhari πŸ•ŠπŸ•ŠπŸ•Š
Tweet media one
0
0
0
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
10 hours
Yanga sasa muda rasmi umefika kama tunahitaji makombe ya kimataifa kocha huyu hapa. Tajiri aweke hela huyu mzungu tumlete jangwani.
Tweet media one
0
1
2
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
10 hours
RT @HecheJohn: I will not let fear decide my future. Huu uwe msimamo wa vijana wote Tanzania.
0
289
0
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
10 hours
You have left a huge mark on Nigerian politics and the African continent in general. May your final journey be one of peace and eternal tranquility @MBuhari πŸ•ŠπŸ•ŠπŸ•Š
Tweet media one
0
0
0
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
14 hours
RT @MSAFWA_OG: Mungu ni mwema. Soon nitakuja na project Mpya hapa πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ“Œ.
0
5
0
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
14 hours
RT @MSAFWA_OG: Hio game ya chelsea na PSG ni muda ganiπŸ€”.
0
4
0
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
14 hours
RT @MSAFWA_OG: Tukachekie wapi game ya chelseaπŸ€”.
0
6
0
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
14 hours
Bora mlevi asiye na mtoto anaweza akaacha akabadilika. Rule number 01: Usioe mwanamke mwenye mtoto.
@Psiteshio1
P'site Shio
15 hours
Rule number 01: Usioe mwanamke mlevi.
2
1
7
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
15 hours
Mheshimiwa anaongea na Mteja wake.
@PMadeleka
Peter Madeleka
16 hours
Katika viongozi kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) wenye UZALENDO na UJASIRI wa KUKAA CHINI wanapongea na wananchi, NAPELEPE MOSES NNAUYE, ni wa KWANZA. Hongera sana kaka NAPELEPE.πŸ’πŸŒΉπŸŒ·
Tweet media one
0
0
0
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
15 hours
Nimesoma Barua yake ya KUJIUZULU. Kuna mahala nimesoma kwamba ameona kuwa kuna mwenendo mbaya wa uongozi katika Nchi yetu, nilipojua ni H. PolePole nimeishiwa mpaka PAWA.
Tweet media one
5
1
20
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
17 hours
Huyo Humphrey PolePole anaposema Nchi haina haki namshangaa sana. Kwanza alitakiwa awe Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (International Criminal Court - ICC) huko The Hague, nchini Uholanzi (Netherlands).
2
1
6
@_ginimbi
π—šπ—Άπ—»π—Άπ—Ίπ—―π—Ά 
17 hours
RT @Kelvinsalvato14: @_ginimbi When I was little my grandfather told me something I didn't really understand at the time. He sai….
0
2
0