
BABA AIKA✍️
@Baba_aika1
Followers
11K
Following
274K
Media
2K
Statuses
260K
📌Psalms51:1 | The power of prayer 🙏🏻🤲🏾
Mwanza, Tanzania
Joined September 2022
Kuna watu unawalalamikia hawakusaidii lakini kumbe ni mpango wa Mungu kabisa wasikusaidie usiwalalamikie mshukuru Mungu kwa kukutenga na watu wasio sahihi kwenye maisha yako omba Neema ya Mungu ikukutanishe na watu sahihi usilazimishe ushirikiano usiotoka kwa Mungu.✍️
42
228
188
Mioyo ya Wamusoma imejaa furaha na upendo, wakimsubiri kwa hamu Dkt. Samia Suluhu Hassan — mwanamke jasiri, kiongozi mwenye maono makubwa kwa Taifa. Oktoba tunatiki Kwa Mama Samia Kwa kishindo https://t.co/1dgHsiFtnf
0
20
17
Dkt. Samia ni kinara wa maendeleo, hakika Mwanza ya sasa sio kama ya zamani. Tunasonga mbele. Oktoba 29 tunatiki.
0
12
6
CHAGUA DKT SAMIA SULUHU CHAGUA CCM OKTOBA TUNATIKI KWA KISHINDO ✅
0
2
2
KWA PAMOJA 29 OKTOBA TUNAENDA KUTIKI NA FAMILIA ZETU. 20 DAYS TO GO, CHAGUA SAMIA CHAGUA MAENDELEO.
0
14
9
Wana Bunda wameshuhudia mabadiliko makubwa chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kila sekta inagusa maisha ya wananchi, maendeleo yanaonekana. Oktoba tunathibitisha tena imani yetu — tunatiki kwa Dkt. Samia! #KaziNaUtu #TunasongaMbele
0
14
10
Wakazi wa Bunda wamejitokeza kwa wingi kumpokea Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Shangwe, nderemo na nyimbo za furaha zimetawala mitaa yote. Upendo huu ni ujumbe wazi — Oktoba wanatiki kwa Profesa wa maendeleo. #KaziNaUtu #TunasongaMbele
0
14
11
BUNDA MARA Mapokezi ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan yameonesha namna wananchi wa Bunda wanavyothamini kazi na utu. Ni hamasa ya kweli kuelekea ushindi wa maendeleo. #KaziNaUtu #TunasongaMbele
0
16
13
WanaBunda hatuna deni na Mama 💚 Katika kipindi kifupi cha uongozi wake, Prof. Samia Suluhu Hassan amegusa kila sekta kutoka elimu, afya, barabara hadi uchumi wetu wananchi umeimarika. Tunaiona kazi, tunayaona maendeleo✊ #OktobaTunatiki ✅ #KazinaUtuTunasongaMbele 🇹🇿🔥
1
13
12
Kila kona ya nchi, Kila mkutano ni mafuriko makubwa ya watu wenye upendo na imani na Dkt. Samia Suluhu Hassan. Oktoba 29 ni ushindi wa kishindo na wa kihistoria tangu nchi yetu ipate uhuru.
0
9
9
DKT. SAMIA USIBABAISHWE NA CHOKO CHOKO ZA WACHACHE MTANDAONI- WASIRA Akimtenganisha Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania bara Stephen Wasira amemtaja Dkt. Samia kama kiongozi hodari na mzoefu
0
11
11
Ilani imewafikia wananchi. Mama Samia ni zawadi kutoka kwa Mungu. Oktoba tunatiki
3
16
16
Mh Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amefanya mengi kwenye jimbo la Bunda Mjini. Ester Bulaya
0
19
14
CHAGUA SAMIA. Samia ni Suluhu ya Changamoto ya Maji Kwa Watanzania. Maji Safi Kwa kila Mtanzania. Tiki Kwa Samia Tiki Kwa Samia Tiki Kwa CCM
0
11
10
Hii ndio maana halisi ya Mgombea kipenzi cha Watanzania 🔥🔥 Chagua CCM ✅️ Chagua Dkt Samia Suluhu Hassan ✅️ Oktoba tunatiki ✅️ #kazinautu
#tunasongambele
https://t.co/D5oOEfeddy
0
14
13
Upatikanaji wa maji safi na salama unaongezeka kote nchini Samia ni suluhu ya maji kwa Watanzania Oktoba tunatiki kwa Mama Samia!
0
26
16
BUNDA MARA Mafuriko ya wapiga kura wa Bunda, Hongera sana Samia Suluhu kwa kukubalika na kuwa kiongozi wa kuenziwa, October TUNATIKI ✅ ✅
0
16
9
CHAGUA SAMIA – SAUTI YA MARA! Mkoa wa Mara umeamua kwa kauli moja,Oktoba 29 ni siku ya kumpa Dkt. Samia Suluhu Hassan kura za mafuriko. Wanasema wameona kazi, wameguswa na moyo wa utu, wamejionea maendeleo yanayogusa maisha yao moja kwa moja. Ni wakati wa kuendeleza mazuri haya,
0
24
15
Chagua CCM, Chagua Dkt. Samia Suluhu Hassan kiongozi ambaye ni suluhu ya kero za wananchi. #KaziNaUtu
#TunasongaMbele
0
16
11