Baba_aika1 Profile Banner
BABA AIKA✍️ Profile
BABA AIKA✍️

@Baba_aika1

Followers
11K
Following
274K
Media
2K
Statuses
260K

📌Psalms51:1 | The power of prayer 🙏🏻🤲🏾

Mwanza, Tanzania
Joined September 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Baba_aika1
BABA AIKA✍️
1 year
Kuna watu unawalalamikia hawakusaidii lakini kumbe ni mpango wa Mungu kabisa wasikusaidie usiwalalamikie mshukuru Mungu kwa kukutenga na watu wasio sahihi kwenye maisha yako omba Neema ya Mungu ikukutanishe na watu sahihi usilazimishe ushirikiano usiotoka kwa Mungu.✍️
42
228
188
Mioyo ya Wamusoma imejaa furaha na upendo, wakimsubiri kwa hamu Dkt. Samia Suluhu Hassan — mwanamke jasiri, kiongozi mwenye maono makubwa kwa Taifa. Oktoba tunatiki Kwa Mama Samia Kwa kishindo https://t.co/1dgHsiFtnf
0
20
17
@Ulimwengu01
Ulimwengu🇦🇷
13 minutes
Dkt. Samia ni kinara wa maendeleo, hakika Mwanza ya sasa sio kama ya zamani. Tunasonga mbele. Oktoba 29 tunatiki.
0
12
6
@kichefuchefuu
kichefuchefuu
4 minutes
CHAGUA DKT SAMIA SULUHU CHAGUA CCM OKTOBA TUNATIKI KWA KISHINDO ✅
0
2
2
@Ulimwengu01
Ulimwengu🇦🇷
25 minutes
KWA PAMOJA 29 OKTOBA TUNAENDA KUTIKI NA FAMILIA ZETU. 20 DAYS TO GO, CHAGUA SAMIA CHAGUA MAENDELEO.
0
14
9
@Rahma_Simba
One Sister
17 minutes
Wana Bunda wameshuhudia mabadiliko makubwa chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kila sekta inagusa maisha ya wananchi, maendeleo yanaonekana. Oktoba tunathibitisha tena imani yetu — tunatiki kwa Dkt. Samia! #KaziNaUtu #TunasongaMbele
0
14
10
@Rahma_Simba
One Sister
16 minutes
Wakazi wa Bunda wamejitokeza kwa wingi kumpokea Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Shangwe, nderemo na nyimbo za furaha zimetawala mitaa yote. Upendo huu ni ujumbe wazi — Oktoba wanatiki kwa Profesa wa maendeleo. #KaziNaUtu #TunasongaMbele
0
14
11
@Rahma_Simba
One Sister
14 minutes
BUNDA MARA Mapokezi ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan yameonesha namna wananchi wa Bunda wanavyothamini kazi na utu. Ni hamasa ya kweli kuelekea ushindi wa maendeleo. #KaziNaUtu #TunasongaMbele
0
16
13
@Mo_Bjr
Sava G
18 minutes
WanaBunda hatuna deni na Mama 💚 Katika kipindi kifupi cha uongozi wake, Prof. Samia Suluhu Hassan amegusa kila sekta kutoka elimu, afya, barabara hadi uchumi wetu wananchi umeimarika. Tunaiona kazi, tunayaona maendeleo✊ #OktobaTunatiki#KazinaUtuTunasongaMbele 🇹🇿🔥
1
13
12
@1ngadu1
Ngadu
24 minutes
Kila kona ya nchi, Kila mkutano ni mafuriko makubwa ya watu wenye upendo na imani na Dkt. Samia Suluhu Hassan. Oktoba 29 ni ushindi wa kishindo na wa kihistoria tangu nchi yetu ipate uhuru.
0
9
9
@Aduiwayanga
Adui Wa Yanga
18 minutes
DKT. SAMIA USIBABAISHWE NA CHOKO CHOKO ZA WACHACHE MTANDAONI- WASIRA Akimtenganisha Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania bara Stephen Wasira amemtaja Dkt. Samia kama kiongozi hodari na mzoefu
0
11
11
@imaaJr_
𝐉𝐫 
25 minutes
Wananchi wa Mara wameahidi kumpa kura za kishindo cha Mama Samia.
3
16
16
@imaaJr_
𝐉𝐫 
23 minutes
Ilani imewafikia wananchi. Mama Samia ni zawadi kutoka kwa Mungu. Oktoba tunatiki
3
16
16
@Aduiwayanga
Adui Wa Yanga
18 minutes
Mh Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amefanya mengi kwenye jimbo la Bunda Mjini. Ester Bulaya
0
19
14
@mariam255_
✺ᗰᑌᗰ ᗩᗷᗪᑌᒪ❅
20 minutes
CHAGUA SAMIA. Samia ni Suluhu ya Changamoto ya Maji Kwa Watanzania. Maji Safi Kwa kila Mtanzania. Tiki Kwa Samia Tiki Kwa Samia Tiki Kwa CCM
0
11
10
@Bizydan
Wiseman
23 minutes
Hii ndio maana halisi ya Mgombea kipenzi cha Watanzania 🔥🔥 Chagua CCM ✅️ Chagua Dkt Samia Suluhu Hassan ✅️ Oktoba tunatiki ✅️ #kazinautu #tunasongambele https://t.co/D5oOEfeddy
0
14
13
@kichefuchefuu
kichefuchefuu
22 minutes
Upatikanaji wa maji safi na salama unaongezeka kote nchini Samia ni suluhu ya maji kwa Watanzania Oktoba tunatiki kwa Mama Samia!
0
26
16
@muhaluro1
Muhaluro Jr
23 minutes
BUNDA MARA Mafuriko ya wapiga kura wa Bunda, Hongera sana Samia Suluhu kwa kukubalika na kuwa kiongozi wa kuenziwa, October TUNATIKI ✅ ✅
0
16
9
@Baba_aika1
BABA AIKA✍️
22 minutes
CHAGUA SAMIA – SAUTI YA MARA! Mkoa wa Mara umeamua kwa kauli moja,Oktoba 29 ni siku ya kumpa Dkt. Samia Suluhu Hassan kura za mafuriko. Wanasema wameona kazi, wameguswa na moyo wa utu, wamejionea maendeleo yanayogusa maisha yao moja kwa moja. Ni wakati wa kuendeleza mazuri haya,
0
24
15
@1ngadu1
Ngadu
28 minutes
Chagua CCM, Chagua Dkt. Samia Suluhu Hassan kiongozi ambaye ni suluhu ya kero za wananchi. #KaziNaUtu #TunasongaMbele
0
16
11
@troll_trends20
Troll
26 minutes
MARA Tutampa kula za ndio profesa wa siasa Chagua SAMIA ✅
0
17
13