
F I R S T B O R N ๐ผ๐น๐ฟ
@Tzmikese03
Followers
2K
Following
14K
Media
376
Statuses
12K
| FOCUS | Tweet za kukuamsha na kukusogeza mbele | Misemo ya hekima ๐ | @FCbarcelona Fans | @SimbaSCtanzania fans |
๐
Joined March 2025
AMKENI AMKENI AMKENI Mnalala mnaraha gani.!!๐
0
0
0
TUONGEZE FOLLOWERS WETU SASA โ๏ธ Reply handle yako hapa โ๏ธ Like handle zilizowekwa na watu โ๏ธ Mtu aki like handle yako mfollow โ๏ธ Mtu akikufollow follow back โ๏ธ Nifollow mimi @tzmikese03 Kwa pamoja tutafika 10K, ๐๐ฅ
0
1
1
TUONGEZE FOLLOWERS WETU SASA โ๏ธ Reply handle yako hapa โ๏ธ Like handle zilizowekwa na watu โ๏ธ Mtu aki like handle yako mfollow โ๏ธ Mtu akikufollow follow back โ๏ธ Nifollow mimi @tzmikese03 Kwa pamoja tutafika 10K, ๐๐ฅ
0
1
1
Recently Wengi wakienda India Kutibiwa Hawarudi!!๐ค Juu Kwa Juu ๐ Unarudi Mwili Tu!!
44
95
2K
Hapo mtu ana RISASI moja bado kwenye nyonga yake anatembea nayo kila siku. Hapo amepona KIFO CHA RISASI 16. Sasa wanamtafutia kosa la UHAINI wamnyonge mpaka KUFA. Huku akiwa magereza zaidi ya siku 190. Mh. LISSU kashafanya kwa nafasi yake, ni wakati wa watanzania kumaliza
34
190
968
#DearNyerere MINYONYAJI imekuwa mingi sana kwenye hili Taifa. Wako radhi watuue kuliko kukubali Wananchi kudai Mabadiliko
6
188
652
Nitajie mchezaji mwenye first touch nzuri zaidi ya Riyad Mahrez nikupunguzie bei ya perfume
68
30
675
#DearNyerere hizi hotuba zako sikuzi ITV waliacha kuziweka baada ya Taarifa ya habari. Kuna mtu anaitwa GIRISHONI MSIGWA huyu aliwaambia ITV waache kuziweka hotuba zako maana zilikuwa zinaonekana za kichochezi. Kupost hotuba zako saizi inaonekana umechoka kuishi na unakaribisha
12
256
783
Bado siku 13 Bado masaa 312 Bado dakika 18,720 Bado sekunde 1,123,200 ๐ ๐น๐ฟ
65
263
2K
Tuamke tukapambane tukiamini tunaweza . Hustle zetu zikajipe watu wa Mungu. Goodmorning X family
0
0
0
Mi Nalala Leo Mama Yenu Mdogo Amekuja Acha Nipashe Misuli Moto.
6
9
29
#TajiriLaKihaya Nakumbuka Kuna kipindi nlikua na Followers 16k - ma Bro kadhaa wa humu wakanifata DM kuomba waniuzie Account zao 200k+ followers! Nligomaโฆ nkawaambia hakuna haja ya kuwa na followers ambao Hawanifaham- hawajanifollow mimiโฆ Alafu pia mtanipa kazi ya kufollow
112
112
877
AMKENI AMKENI AMKENI mnalala kwa raha gani.!!๐
0
3
6
"Kichaa anafurahisha akiwa hatoki katika Familia yako" MUNGU uliye juu tutazame kwa Jicho la HURUMA ๐๐พ
3
60
232