@TitoMagoti
@SuluhuSamia
@PMadeleka
Safi sana na Rais kuona amekosea na kuanza upya si kosa kwa nn inaonekana kama ni mbaya wkt ni kawaida tu maana yy ni binadamu ati.
@TitoMagoti
@SuluhuSamia
@PMadeleka
Nimesoma barua aliyoandikiwa Mhe. Rais ila nimeambulia patupu. Kwamba siku hizi, yasemwayo na watu inakuwa ni TUHUMA?
Nadhani Mtuhumiwa ni aliyefunguliwa mashtaka juu ya jambo fulani na uchunguzi wa jambo hilo huanza.
Mfungulieni kesi Jaji Mganga ili awe MTUHUMIWA.