Timber TZA
@Timbertzaa
Followers
13K
Following
61K
Media
1K
Statuses
104K
Content Creator || https://t.co/WtIHu8xXOB
Mara, Tanzania
Joined March 2021
Biblia Kutoka 15:23 "Walipofika mahali palipoitwa Mara hawakupata kuyanywa yale maji ya Mara, kwa kuwa yalikuwa machungu; kwa ajili ya hayo jina lake likaitwa Mara". Good Morning watu wa Mkoa wa MARA
27
58
161
Mwanamke akiandika ujumbe gani mtandaoni unahisi atakuwa na tabia za kiume?
0
0
4
kuangalia maeneo ya mbali yaani Darubini kama mtumbwi/jahazi ambapo pengine wanaitilia shaka walikuwa wanafanya mawasiliano ya ishara na Kijiji cha Namagondo ambao pia walitoa ishara Kijiji cha Halwego na kusambaza taarifa ya hatari Ukererwe. Follow @Timbertzaa
0
0
0
Kipande cha boma hilo bado kipo mpaka leo na kanisa wamesimika msalaba kwenye jiwe refu maarufu Hazamu. Maana ya Hazamu au Handebezyo wazee walipatumia...
2
0
0
Baada ya Biashara ya watumwa kupigwa marufuku Kituo hicho cha Hamuyebe/Mwiboma kilinunuliwa na Mzungu Stokes na kukitumia kwa biashara ya meno ya tembo, shanga na chumvi maarufu Nyalaja kiliuzwa tena kwa wamisionari wa kikatoliki na kutumiwa kueneza neno la Mungu.
1
0
0
BOMA LA WAJERUMANI HAMUYEBE UKEREWE Ukiwa Kijiji cha Hamuyebe wilayani Ukerewe katika Mkoa wa Mwanza unaweza kutembelea lilipokuwa Boma la wajerumani likitumika kama kituo cha biashara ya watumwa ambapo baadae walielekea Kaegee na kuanza safari ya kuelekea Bagamoyo.
3
8
11
Wawekezaji nimewaletea mkeka wa leo bashiri sasa na MELBET upate bonus kibao. 🔥Code, RHK2U 🔥Stake 1.4M 🔥Odds 25 🟢Kampuni Melbet jisajili 🟥Zima VPN unapojisajili First deposit 200% Bonus -Web- https://t.co/EtC8IMQxam -apk- https://t.co/QzSY0Jx2cU Promo code, Cuty
11
24
26
Wasiotoa mchango kwenye sherehe ndio wana uhakika wa chakula na vinywaji, ni tofauti na wale waliochanga shughuli ikiisha ni lawama kuwa pesa yao imeenda bure
0
0
0
Anza wiki kwa mafanikio makubwa ukiwa na Internet bomba ya Airtel ODU router Kwa 100,000\ tu unapata ODU router pamoja bando la mwezi FREE DELIVERY & FREE INSTALLATION bando zake; 70k Mbps 25 100k Mbps 40 Cc @heristraton29 CALL 0687892129 https://t.co/Ylo0KxfsHe
4
17
17
Sisi pale shuleni tulikuwa tunawaita PWA (People With Aids) na nyie
0
0
0
Usiyapime Mafanikio Kwa Kutazama Hatua Za Jirani,Kumbuka Mafanikia Ni Safari Kila Mmoja Ana Mbio Zake. Good Morning Stakeholders 👋
1
12
20
Disemba Hii Kumbuka;- Siyo Kila Ndoto Itatimia, Kila Mapito Na Kusudi Lake, Wakati Wote Ni Bora Kama Funzo, Tengeneza Nafasi Nyingine Kwa Kurekebisha Ulipokosea, Fanya Kazi Kwa Bidii Usisahau Ibada, Usihadaike na Ukuu Wa Dunia, Na Jifunze Kusamehe. 2026 Kwa Mafanikio 💪.
6
14
22
Mkoa wapi niwaletee challenge na zawadi zenu hapa mkoani Mara niambie "Ni Hatua gani za kufuata mpaka umuone Mpenzi wako kwenye glasi pindi unapokunywa maji"?
3
10
34
Wasiotoa mchango kwenye sherehe ndio wana uhakika wa chakula na vinywaji, ni tofauti na wale waliochanga shughuli ikiisha ni lawama kuwa pesa yao imeenda bure
0
0
1
Kuna ile moment umemaliza chuo halafu hauna connection, qmmke unawaza mpaka unaanza kuhisi "au nilienda kusomea bachelor ya umasikini?"...😅😅
2
6
8
Unaangalia nini kabla ya kuhamia kwenye nyumba. 1.Eneo lilipo 2.Ukubwa wa vyumba 3.Ukubwa wa jiko 4.Ukubwa wa eneo la nje 5.Urahisi kupata huduma za jamii
22
34
117
Kumpeleka mtoto kulelewa na kusomea kwa Bibi na Babu ni chanzo cha kuharibu mtoto Bibi na Babu hawana mamlaka na maamuzi mazito juu ya mjukuu watamlea kama mtani wao muda mwingine watamuomba pesa wakati ni mwanafunzi hivyo inapelekea mtoto kuanza kutafuta pesa badala ya kusoma.
1
6
6