Sukayotz Profile Banner
EL SUKAYO🇹🇿 Profile
EL SUKAYO🇹🇿

@Sukayotz

Followers
11K
Following
76K
Media
5K
Statuses
78K

Mchambuzi || Sports Quotes ||Transfer exclusives || Saka prime fan || All days chasing funds || DM 📩 me for promo

East Africa
Joined November 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Sukayotz
EL SUKAYO🇹🇿
2 months
🚨 BREAKING Uongozi wa Simba Sc umesitisha mkataba wa head coach wao Fadlu Davids Official statement itatolewa soon 🔜
67
24
417
@Mastawakushona
Fundi viatu na mabegi
5 days
HAPPY BIRTHDAY CHAMPION 💔
5
31
113
@waziri3wa_wapwa
ManjestaX
5 days
Nachoka mimi, nachoka mimi 😄💔....
2
10
104
@legendary_gend
legendary
5 days
💥Tangu hili taifa lianzishwe halijawahi pata rais kama JOHN POMBE MAGUFURI,,
1
6
23
@kasesco_tz
kasesco☆
5 days
Maisha ni ufala saana unaweza kukwepa kuvaa nguo za mtumba halafu unakuja kuoa mke used ..🚮
7
19
107
@waziri3wa_wapwa
ManjestaX
5 days
Hamna jambo leo,nipite tu kwa missile nana😄🚮....
9
13
65
@Sukayotz
EL SUKAYO🇹🇿
5 days
Sijawahi kuona taifa lenye watu waoga kama bongo yaani mkwala kidogo tu wote wamechimba😆😆😆 Yaani unaogopa kuandamana kisa kichapo halafu ni kichapo tu hawakuui na mabomu ya machozi kidogo tu maana jeshi la police haliwezi kuua raia wake
9
5
36
@Tweener003
PàChâ#1738 💫
5 days
Aliyesema oktoba tunatoka amekutwa chini ya uvungu kajificha 🤣🤣🤣
7
14
58
@fintanjr_
The champ👑
5 days
Leo unaweza ukatoka Bamaga hadi posta unaendesha ukiwa umefumba macho na ukafika tu salama,. Njia ni nyeupeeeee😂💔🚮.
6
6
28
@legendary_gend
legendary
5 days
💥hapa katoro mjini mbona kama nimetk peke yangu au nyie mnatk online,,😁
1
1
5
@kasesco_tz
kasesco☆
5 days
Kuna hawa ambao huwa wanaoga kila asubuhi wakiamka, kwani vitanda vyao vinakuwaga na matope..?🤔
1
7
59
@_CFCMax
𝐌𝐚𝐱𝐦𝐢𝐥𝐢𝐚𝐧
5 days
Kabla Hauja fikiria kuandamana kwa fujo fikiria utamu wa hii mambo hapa.😂
31
32
140
@AmRosalinee
ROSALINE🦋
5 days
Bado tunaitaji kutekwa zaidi😭😭
6
32
421
@Sukayotz
EL SUKAYO🇹🇿
5 days
Barabarani kweupe hamna watu watanzania mi niliwaambia hamuwezi kufanya maandamano akili zenu bado ni ndogo mkawa mnabisha mnanitukana haya mmeona sasa? Mmejiona namna mlivyo na akili ndogo?
30
16
108
@_Minihaji
Mini🧤
5 days
Tumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa Kutuaamsha Salama Siku Ya Leo.
2
13
23
@KEYDEVU
KIDEVU
6 days
Usiombe ukamkuta Diamond akijiNasibu😁
7
20
266
@kasesco_tz
kasesco☆
6 days
Unaleta pisi usiku kila mtu akiwa amelala alafu asubuhi bi mkubwa anatuma ka junior kakuulize kama mgeni atakunywa chai ya maziwa ...😂
15
16
123
@waziri3wa_wapwa
ManjestaX
5 days
Kumekucha familia........
8
13
22
@Tweener003
PàChâ#1738 💫
6 days
Wachezaji wa mpira hawanaga muda kabisa na wanawake wenye mashepu au wanamalizaga nguvu 🤣🤣🤣🤣🤣
12
15
49
@Sukayotz
EL SUKAYO🇹🇿
5 days
Nilisema sikusema? Bongo nyoso mtu ananakujaza mkaandamane halafu yeye analala nyumbani kwake
7
4
45
@Alex_komba00
Alex debrizy👑
6 days
Thread 🧵! Je wajua unaweza fanya unsafe sex na mtu alienamaambukizi ya virusi vya UKIMWI na usipate maambukizi? Ila huyo mtu anatakiwa awe katika hali ya U=U maana yake unpredictable(havionekani)=untransmittable( haviambukizi) na hiyo hali hutokea baada ya kua anazingatia,
18
26
41