StrikerMachupa Profile Banner
Mani Machuppa Profile
Mani Machuppa

@StrikerMachupa

Followers
11K
Following
14K
Media
528
Statuses
7K

Former Simba Sc .Al.Hemria.Aalborg Dk..Atraco Rw..Vasalund iF Sweden....just Love The Game...Liverpool Familly

Stockholm, Sweden
Joined August 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
@StrikerMachupa
Mani Machuppa
4 months
Sack kipara now now now
0
0
0
@StrikerMachupa
Mani Machuppa
4 months
Kama kuna jambo unaona huwezi kulifanya wape moyo wenye uwezo wa kulifanya au kaa kimya kuliko kukayisha watu tamaa....
0
0
2
@StrikerMachupa
Mani Machuppa
4 months
Manyumbu hoiiiiii
0
0
2
@StrikerMachupa
Mani Machuppa
4 months
Hamna kocha humu fukuza fasta
2
0
1
@StrikerMachupa
Mani Machuppa
4 months
Si mchezo Aisee😭😭😭
0
0
0
@StrikerMachupa
Mani Machuppa
4 months
Mi nadhani katiba inatakiwa ile ya Warioba Kama Si Ile tuandike mpya kabisa kila ntu aridhike tusifanye Maboresho katika katiba tuliyonayo
7
12
60
@healthnutritipz
Health & Nutrition Tips
4 months
Foods that clean your organs naturally 🍏
10
938
3K
@Al_Quran_011
القرآن الکریم
4 months
reposts, it will help you❤🎧🕊️
21
2K
11K
@AnnaTibaijuka
Anna Tibaijuka
4 months
UCHAGUZI 29 OKTOBA. Ee Mungu Tunawaombea marehemu wetu raha ya milele. Tuwazike kwa heshima, kuwafariji wafiwa, kuuguza majeruhi, kusaidia waathirika. Tuombe toba kuondosha sifa za taifa letu kwa kutotambua HAKI ndiyo msingi wa yote na haina mbadala. Twakuomba utusikie
125
507
2K
@StrikerMachupa
Mani Machuppa
4 months
Wekeni maslahi ya nchi mbele...busara itawale...mnawasikiliza wananchi wengi kweli???
@tanpol
Police Force TZ
4 months
Jeshi la Polisi nchini limetoa taarifa kwa Umma wa Watanzania kuwa, kufuatia matukio ya vurugu, uporaji wa mali na uvunjifu wa amani yaliyotokea tarehe 29/10/2025 katika Majiji ya Dar es salaam, Arusha, Mwanza na Mbeya, pia katika Mikoa ya Shinyanga, Geita, Songwe, Ruvuma, Mara,
1
0
6
@StrikerMachupa
Mani Machuppa
4 months
Kikwetukwetu tumeumia sana yaaani dah
0
0
6
@StrikerMachupa
Mani Machuppa
4 months
It will take time kwakweli but pole kwa wote waliofiwa na walifikwa na matatizo kipindi hiki....mtu unaweza kuchanganyikiwa aisee poleni mlioko Tanzania
0
1
15
@StrikerMachupa
Mani Machuppa
4 months
Mimi nimeudhika mno na vyombo vyetu vya habari vimekuwaje yaaani😭😭😭 tunalia sana kwa kweli
1
3
19
@StrikerMachupa
Mani Machuppa
4 months
Haya rudisheni internet tuwasiliane na jamaa zetu...😭😭😭😭
0
0
5
@StrikerMachupa
Mani Machuppa
4 months
Tuwashieni internet jamaa zstu tunashindwa wasiliana nao aisee
0
1
2
@LarryMadowo
Larry Madowo
4 months
The internet remains shut and the media censored in Tanzania. The government is actively suppressing coverage despite 3 days of protests against a disputed election and the leadership of President Samia Suluhu Hassan. The opposition CHADEMA claims 700 people have been killed
174
3K
9K
@Izzo_bizness
izzo Bizness MINDSET
4 months
Matokeo Ya KIBURI Na DHARAU Kwa Wananchi Ni… 1: Kuvunjika Kwa Umoja Na Mshikamano Kwa Jamii 2: Kupoteza Heshima Na Uaminifu 3: Kuchochea Migogoro 4: Kukwamisha Maendeleo Ya Nchi, etc HESHIMA Ni Urithi Na KIBURI Ni Mzigo Chagueni Kuacha URITHI Sio Mzigo.
3
16
77
@StrikerMachupa
Mani Machuppa
4 months
Wenye mahoteli na maduka wasambazieni maji na chakula waandamanaji tupeane msaada tunaoweza
1
11
29
@StrikerMachupa
Mani Machuppa
4 months
Mnawazimia wananchi umeme na mtandao aisee si muache lakini mnaowaongoza hawataki
0
1
6
@StrikerMachupa
Mani Machuppa
4 months
Hawa polisi wanaooua raia aisee...dah
0
0
1