Pipsologist.
@StephanoPerfect
Followers
2K
Following
79K
Media
219
Statuses
10K
enterpreneur,,, forex and crypto market Analyst Teacher (chemistry and biology)
Kilimanjaro, Tanzania
Joined August 2018
kuanza upya sio mbaya nataka nisome huu ufundi najua utanifaidishaje . 1. plumbing and pipe fittings 2. umeme wa magari wapi naweza soma ivo vitu?
1
1
2
mimi ni fourth born kati ya watoto 5. ila acha niishie hapo ππππhaya mambo bhn ni inategemea tu na Mungu kaweka nn ndani yako
Ukizaliwa kwenye familia maskini halafu ukawa first born hakuna rangi utaacha kuona. Ukibahatika wazazi "wakauza vitumbua" ili usome ndio utabeba mzigo wote wa familia. Muhimu usikate TAMAA kwani Mungu humpa mzigo mtu anayeweza kuubeba. Muhimu tusikufuru bali tushukuru kwa yote.
0
1
0
ndo maana Mungu akimchukua Mja wake familia nyingi zinafilisika
@StoneSaphia Hakuna mganga utaacha nchi hii kama utaamua kwenda angle hio, nimekua nikiona mzee wangu akipambana kuzichanga rasilimali zake hadi kujipata, sijawahi muona akienda au kuonyesha dalili za kwamba duka x au kitu x hakiendi inabidi kwenda kuroga.
0
0
0
wengi siku hizi tunaoa tukiwa na umri 30 mpk 35 bikra zinatolewa wakiwa na 16 tu hapo sasa ndugu yangu Carl wewe una miaka 32 utafute mtoto wa miaka 16 uoe? ukikuta ana 20 plus wengi hamna bikra na ndo mnakutana,,yan in short kuoa unachotaka ni mtihani sana
0
0
0
ndo zilikuwa chanzo cha kutokuw na demu mara stress za forex,,mara kuibiwa, mara kutapeliwa. ila.chuon me ndo nimejifunza skills nyingi tofauti na kile nilichoenda kusoma,,na kusoma nilikuwa nasoma nisidisco tu wala.kusup wala carry overπ€£π€£ππ
0
0
0
mm nilitoka chuo bila kuwa na demu, bila kunywa pombe etc,,ila Bora hata waliokuwa wanakula mademu mm chuon nilikuwa na.msongo wa mawazo back to back . 1.pesa zangu nyingi zilipotea kwenye learning ya vitu mbali mbali 2.stress za kusoma chuo na kitu huvipendi
Nilienda chuo nikiwa sijawahi, Kunywa pombe, Kuvuta shisha, Kuvuta bangi/sigara, kutomba Malaya na mambo mengine mengi ya hovyo sikuwai Fanya before But now, Siwezi kulala bila bangi, au sigara, au iishe wiki bila kulewa pombe Itoshe kusema UNIVERSITY Ruined my life ππ
2
0
1
In life I have tested both LOVE and FOOD. I highly recommend FOOD
2
0
0
kwahiyo kama yalivyo makampuni kama Nike Adidas na puma pia diadora ni kampuni ya kutengeneza kits,,kwahiyo yupo pale kama mtengenezaji,,,,jayrutt sio mtengenezaji hana kampuni ya kutengeneza nguo ndo maana ilibidi awe partnered na diadora atengeneze yeye a supply
0
0
0
Mama alisafiri ,,mimi na dada zangu tulikuwa wanafunzi wote tulikuwa tunakuta baba katupikia tukitoka shule kama week ivi
0
0
1