Gisiggo Profile Banner
Gisiggo Profile
Gisiggo

@Gisiggo

Followers
918
Following
22K
Media
197
Statuses
10K

Medical writter

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟx๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช
Joined February 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Gisiggo
Gisiggo
11 months
Kwa mujibu wa WHO-2022 hivi ndivyo hali ya Saratani nchini Tanzania ilikua 1. Saratani ya Mlango wa Kizazi (Cervical Cancer) โ†’Ilichangia asilimia 24.2% ya visa vyote vipya vya saratani, ikiwa na visa 10,868
1
2
8
@cohen_baron2
Baron Cohen Ke๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช
3 days
In Kenya degree holders are searching for jobs while job holders are searching for degrees.
69
1K
6K
@iam_faixal
Faixal ๐Ÿ”ฑ
2 days
And that goes to all EAC
@cohen_baron2
Baron Cohen Ke๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช
3 days
In Kenya degree holders are searching for jobs while job holders are searching for degrees.
0
1
0
@Gisiggo
Gisiggo
3 days
"Mimi ni mlozi"
@Psiteshio1
P'site Shio
3 days
Masoko mengi Yana mungu anayetawala mahali hapo.... Ndiye anayeruhusu uuze ama usiuze.... Wengine wanaweza sema hii ni meme.... Kwa bahati mbaya watu wanofundisha biashara hawafundishi mambo haya.... Na usipojua, hata uwe na bidhaa nzuri kiasi gani Utakuwa unaona giza tuuu
1
0
0
@kalegamyeh
Dr. Kala. MD
3 days
@Gisiggo @BantezeShu55381 Daah kuna figisu sana ukifungua hii hasa Mikoani ๐Ÿ˜‚
1
1
1
@mafolebaraka
Digital Nomad (Your Fav Dijito Bro)
4 days
Incase unataka kutengeneza version za music kama hizi, fuata steps hizi Step za Mwanzo 1. Download Suno app 2. Ingia website kama Genius tafuta lyrics za nyimbo unataka kui recreate Step za Mwisho Iambie Suno ikutengenezee gospel song yenye mahadhi ya afrika mashariki.
@BvjCarter
4K 120 FPS
4 days
Hizi nyimbo zote ni AI kuanzia Audio hadi video
1
7
29
@BantezeShu55381
unknown
4 days
@Gisiggo @kalegamyeh ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบet tutaendelea kushona cervical tear we jamaaa umenikumbusha mbali acha ujinga 2017 naikumbuka brother mmoja humu aliniambia ivo au et nifungue tu zahanat kijijin kwetu ila nyie
1
1
1
@mrGeoffreyTz
WASEMAVYO RAIA MTANDAONI.
4 days
@Gisiggo @kalegamyeh yes .Hii ni nzuri mkuu
0
1
1
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
6 days
@Gisiggo Kama bado upo ni jambo jema sana, Serikali ingeuongezea nguvu na kuusambaza mikoa mingi zaidi ungesaidia mno
0
1
1
@ZakayoMmbaga
Dr Mmbaga
6 days
@Gisiggo Kwa mazingira yetu bado ni ngumu sana ndugu yangu, man power availability, time, settings, na vingine. Miaka michache nyuma voda walianzisha M-mama ambayo nadhani ilikuwa aproach nzuri zaidi, sijui ilifikia wapi.
1
1
3
@Gisiggo
Gisiggo
7 days
Tufanye yote ya muhimu kukiepuka kisukari, hasa kama tunazo ndoto za kuwa ma familia-watoto.
0
1
0
@Gisiggo
Gisiggo
7 days
Bila shaka mamlaka husika zinatakiwa kulisimamia swala hilo, isiwe mtu anaibuka tu na products zake anaanza kuuzia watu na kuleta shida. Pili, mtu alinunua na akapata shida anaweza fanya kama F.A vs tiGo as long as uthibitisho upo.
@musabuze
The Swahili Tech Bro
7 days
Tatizo kubwa la bidhaa za Wasanii wengi hasa bidhaa za Ngozi Wasanii Wengi si wataalamu wa ngozi wala kemia. Bidhaa nyingi hutengenezwa na washirika tofauti bila udhibiti mkali. Baadhi zina steroids, mercury, hydroquinone na makemikali kibayo si kila mtu yatamfaa Hii
0
0
1
@BarakaMaviatu
Maviatu ๐Ÿ‘ž๐Ÿ‘Ÿ๐Ÿฅพ๐Ÿ›๏ธ๐Ÿ›’
9 days
@Gisiggo @makumbawaleo_5n Ndio hoja ya msingi, japo kila mtu anastahili vitu vizuri.
1
1
1
@VictorMasatu
Victor Masatu
9 days
Katafute mahubiri ya apostle Joshua selman titled mystery of deliverance ni mini series ina episode 4 na masaa almost 9, kuna kuomba, kubadili mindset, nk
@Gisiggo
Gisiggo
10 days
Sio rahisi mtu kuacha kuangalia porno, kiimani porno hutumika kama mlango wa kufungulia the spirits of lust (destructive force). Ili mtu aache lazima maombi yahusike, yale ya kukemea na kunena against hio spirits lasivyo mtu atateseka sana.
0
1
2
@MkulimaKante
Kante
10 days
@Gisiggo @Sirjeff_D Mungu sio muoga ila habari zake hazichunguziki Mungu hafanyiwi ujasusi anao upeo zaidi yetu master
2
3
5
@sajo_mwaihabi
LUSAJO
10 days
Tatizo tuna IMANI ya kuamka salama kesho, lakini hatuna IMANI na yeye anayetupa huo UZIMA. Amini kwamba MUNGU ana namna zake za kupigana vita. MUNGU alipigana mwenyewe na farao, ila MUSA alikuwa akipokea MAELEKEZO ya Nini afanye kama mjumbe. Hii vita ni ya MUNGU sio yetu ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
3
17
136
@sajo_mwaihabi
LUSAJO
10 days
@Gisiggo Ni kweli, anahitaji muda wa Kufunga, Kuomba na kusoma zaidi Neno la Mungu na vitabu vingine ili kujenga MAHUSIANO mazuri na Mungu. Automatically hizo hali zitaanza kuondoka kabisa
0
1
2
@Gisiggo
Gisiggo
10 days
Sio rahisi mtu kuacha kuangalia porno, kiimani porno hutumika kama mlango wa kufungulia the spirits of lust (destructive force). Ili mtu aache lazima maombi yahusike, yale ya kukemea na kunena against hio spirits lasivyo mtu atateseka sana.
@sajo_mwaihabi
LUSAJO
10 days
Mungu anatumia kila njia kukutaka UACHE kuangalia porn, umekuwa mkaidi. Sasa anaamua kukuchapa fimbo. Badala ya kutuma kwa mtu ghafla unaipandisha kwenye status. Hapo ndio utajifunza kwa machozi ya sonona. ACHA KUANGALIA HIZO WEWEEE, ZINAKUMALIZA AKILI YAKO!!
1
0
1
@BongeLaAfya
Bonge La Afya
11 days
Kwa muda mrefu, wagonjwa wa kisukari wanategemea dawa za Insulin. Lakini sasa, utafiti wa kisayansi kutoka Stanford Medicine umeleta tumaini jipya. Watafiti wameweza kutumia seli maalum za kongosho kuponya panya waliokuwa na kisukari aina ya pili. Seli hizi husaidia mwili
1
6
25
@babyplux_
ใ‚ชใ‚ซใƒจ
11 days
@Gisiggo @__spence_r @marto255_ What exactly are the choices a new born has when born with defects that cause them suffering?
2
1
1
@__spence_r
Morio Anzenza
11 days
@babyplux_ @Gisiggo @marto255_ Nice question. Let him explain why there are newborns suffering in hospitals because they have cancer.
0
1
1