
SmartChannel_Tv
@SmartChannel_Tv
Followers
17K
Following
2K
Media
2K
Statuses
4K
Pata Habari Kwa Saa 24
Dar es Salaam, Tanzania
Joined November 2019
na elimu ya kutosha ili waweze kujua wanachokifanya lakini pia kuwe na umeme ili kuwe na usalama, tuweze kufanya kazi zetu kwa usalama, Maji safi na salama- Hii ndio ahadi yetu kwenu wana Kalinzi." Amesema Dkt. Samia aliposimama kuzungumza na wananchi wa Kalinzi Mkoani Kigoma
0
0
0
tunaleta reli ya kasi na tunaiunganisha na nchi jirani ili Kigoma ifanye biashara na nchi jirani. .... Lakini tunajua ili hayo yafanyike lazima Vijana na watoto wetu na wananchi kwa ujumla wawe na afya ya kutosha ili waweze kulima na kuzalisha kwa kiasi cha kutosha, lakini wawe
1
0
0
ameahidi kuifanya Kigoma kuwa Kitovu cha Biashara Ukanda wa Ziwa Tanganyika. "Ahadi yetu kwa Kalinzi na Kigoma kwa ujumla, mkitupa ridhaa kuongoza serikali lengo letu ni kuifanya Kigoma kuwa kitovu cha biashara kwenye Ukanda huu na ndio maana tunafanya ukarabati wa reli ya zamani
1
0
0
DKT. SAMIA ASIMAMISHWA KALINZI KIGOMA, AAHIDI UKUZAJI WA UCHUMI WA WANANCHI Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiendelea na Kampeni ya Uchaguzi Kalinzi Mkoani Kigoma tarehe 13 Septemba, 2025
1
0
1
She booked the boat – send her what you owe in an instant for free no matter where you are with ZoomMe. Buy a round for the group with your CoinZoom debit card and you’ll get up to 5% back in free crypto.
0
4
36
"Mbali na ruzuku ya pembejeo kutolewa, tutafungua skimu za kilimo cha umwagiliaji ili wananchi wa Buhigwe waweze kulima mara mbili kwa mwaka kupitia Mradi wa Jenga Kesho Iliyobora (BBT), BBT inakuja Buhigwe. Vijana tutawaweka huko wazalishe mazao, tuwawekee viwanda vidogo ili
1
0
0
upatikanaji wa maji itafikiwa hapa Buhigwe" Mhe. Dkt. @SuluhuSamia, Mgombea Urais kupitia @ccm_tanzania
0
0
0
Want your tactical tools seen on national TV—not just social? Our tactical shows air on cable, satellite & streaming across the U.S. Make customers see your brand like never before. See how it works.
0
1
2
"Ahadi yetu kwenu wana Buhigwe ni kwamba, kila Kitongoji cha Buhigwe na kila mwananchi wa Buhigwe anapata maji karibu na yeye, sasa hivi tupo asilimia 84 (hali ya upatikanaji wa maji) ndani ya wilaya ya Buhigwe, kwa miradi ya maji ambayo inaendelea ikikamilika asilimia 90 ya
1
1
1
Chama Cha Mapinduzi Dkt. Samia Suluhu Hassan anayeendelea na kampeni zake Mkoani humo kuelekea uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.
0
0
0
WANANCHI WA BUHIGWE KWENYE MKUTANO WA KAMPENI ZA DKT. SAMIA Umati wa wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi CCM Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wakiwa wamejitokeza kwa wingi leo Jumamosi Septemba 13, 2025 kumsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia
1
0
1
"Tutajenga na kumaliza ujenzi wa barabara za Mwanga-Muyama (KM 36), Uvinza - Kanyani (KM 60), Mugome-Mkanda (KM 36) kwa kiwango cha lami na barabara" Mhe. Dkt. @SuluhuSamia, Mgombea Urais kupitia @ccm_tanzania
0
0
0
Nafahamu kuna uhitaji wa maji Kasulu, mradi wa maji wa miji 28 utafanya kazi ya kutatua changamoto hii, lakini pia tumeleta magari ya kuchimba visima kila mkoa kwa maeneo ambayo yapo mbali na vyanzo vya maji ili maji yawafikie wananchi" Mhe. Dkt. @SuluhuSamia
0
0
0
jirani upo" Mhe. Dkt. @SuluhuSamia, Mgombea Urais kupitia @ccm_tanzania
0
0
0
"Kigoma tayari mmeanza kupata uwekezaji wa viwanda vikubwa, kuna viwanda vya saruji, sukari na kuifanya Kigoma kuwa mkoa wa kimkakati katika uzalishaji wa sukari na saruji nchini, tutaandaa mazingira ya kuwafanya wawekezaji zaidi waje Kigoma kwasababu usafirishaji kwenda nchi
1
1
1
mwaka kwaajili ya ununuzi wa vipuri na mafuta ya dizeli kwaajili ya majenereta ya umeme baada ya kuiunganisha Kigoma na Gridi ya umeme ya Taifa na hivyo kuondokana na matumizi ya umeme wa majenereta, fedha ambazo zimetumika kusambaza umeme kwenye Vijiji vyote vya Mkoa wa Kigoma.
0
0
0
🎙️New episode of Biotech Bulls and Breakthroughs is live! John Gagliano and Sheff discuss the latest trends in the biotech market, focusing on key companies, insights from earnings season, and upcoming catalysts.
0
2
15
kituo Cha kupooza umeme Kidakwe ili kuondokana na changamoto ya umeme Mkoani humo inayotokana na umbali kutoka unapozalishwa umeme kufika Mkoani humo. Awali Dkt. Samia pia amesema serikali ya awamu ya sita imefanikisha pia kuokoa zaidi Ya Bilioni 58 zilizokuwa zinatumika kila
1
0
0
muhimu tunaahidi kuwa tutaanza na kiwango cha changarawe ili ziweze kupitika kwa muda wote." Amesema Dkt. Samia. Akizungumzia sekta ya nishati Mkoani Kigoma Dkt. Samia pia amesema serikali yake itaendeleza ujenzi wa mradi wa kufua umeme kwenye mto Malagarasi pamoja na ujenzi wa
1
0
0
ikiwa atachaguliwa katika uchaguzi Mkuu ujao atajenga pia barabara ya Ilani- Mwanga- Muyama, Uvinza- Kanyani na Mugome- Kagera Nkanda Kilomita 36. "Tunaamini kwamba hizi ndizo barabara muhimu za kiuchumi kwahiyo tutazijenga kwa kiwango cha lami na kama kuna barabara nyingine
1
0
0
amezitaja barabara hizo kuwa ni za Manyovu- Kasulu Kilomita 68, Barabara ya Kanyani- Vugwe, Vugwe- Nduta pamoja na barabara ya Nduta- Kibondo, akisema kukamilika kwake kutaifanya Kigoma kuwa Miongoni mwa Mikoa yenye barabara nzuri za lami nchini. Dkt. Samia pia ameahidi kuwa
1
0
0
America needs you! Join U.S. Immigration and Customs Enforcement today.
3K
4K
27K
Oktoba 29, 2025, ameahidi kukamilisha ujenzi wa barabara zote za Kasulu Mjini ili kuendelea kuvutia zaidi biashara na uwekezaji na kurahisisha shughuli za kiuchumi kupitia usafiri na usafirishaji. Dkt. Samia wakati akizungumza na maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza,
1
0
0