
Proffesa
@Proffe_sa
Followers
16K
Following
9K
Media
893
Statuses
12K
Akili Mtu Wangu 🫡 Punter wa mapunter Odss zetu ni bure kabisa ila hatuwezi kukuhakikishia kwamba ni za uhakika😀 kumbuka kubeti kistaarabu🙃
Fiji
Joined January 2023
Msafara wa mabadiliko umeingia Karatu, Manyara. Zoezi la wadhamini linaendelea kwa nguvu, wananchi wakipaza sauti zao kwa #UwakilishiMakini. Oktoba tunaenda na CHAUMMA . #CHAUMMA2025”
0
1
1
RT @chokochoko2025: Msafara wa mabadiliko umeingia Karatu, Manyara. Zoezi la wadhamini linaendelea kwa nguvu, wananchi wakipaza sauti zao k….
0
5
0
RT @IpyanaJr007: Msafara wa mabadiliko umeingia Karatu, Manyara. Zoezi la wadhamini linaendelea kwa nguvu, wananchi wakipaza sauti zao kwa….
0
3
0
Mgombea Urais wa JMT kupitia @ChaummaT, Mh. Salum Mwalimu na Mgombea Mwenza Mh. Devotha Minja wakiendelea na ziara ya kusaka wadhamini Bahi, Dodoma. Katika ziara hiyo, Mh. Omar Baduel amejiunga rasmi na CHAUMMA na kutangaza nia ya kugombea Jimbo la Bahi. #UwakilishiMakini
1
2
5
Safari ya udhamini sasa ipo Kanda ya Kati. Msafara wa CHAUMMA leo umewasili Wilaya ya Bahi, Dodoma, kwa hamasa na mwitikio mkubwa wa wanachama na wananchi. Huu ni uthibitisho wa kwamba safari ya ukombozi haizuiliki. #CHAUMMA2025 #UwakilishiMakini
3
4
5
Huu ndio wakati wa ukombozi wa kisiasa na kifikra. CHAUMMA kimekuja na ahadi ya Uwakilishi Makini, na sasa zoezi la kutoa kadi za uanachama linaendelea kwa nguvu. Tukiwa jeshi kubwa la wananchi, tunaelekea Oktoba tukiwa imara na wenye nguvu. #CHAUMMA2025 #UwakilishiMakini
2
4
6
RT @yunusi_jr: Mkoani Morogoro wilaya ya kilosa, Mgombea Urais Salum Mwalimu na msafara wake wakiwa wanaomba Udhamini. @ChaummaT #uwakilish….
0
5
0
CHAUMMA itazindua mkakati wa kitaifa wa lishe bora unaoitwa “Ubwabwa kwa Wote”, ili kuhakikisha kila mtoto, kila mwanafunzi na wagonjwa hospitalini wanapata lishe bora kwa afya na maendeleo ya Taifa. #CHAUMMA2025 | #UwakilishiMakini
0
2
5
RT @IpyanaJr007: CHAUMMA itazindua mkakati wa kitaifa wa lishe bora unaoitwa “Ubwabwa kwa Wote”, ili kuhakikisha kila mtoto, kila mwanafunz….
0
5
0
RT @chokochoko2025: CHAUMMA itazindua mkakati wa kitaifa wa lishe bora unaoitwa “Ubwabwa kwa Wote”, ili kuhakikisha kila mtoto, kila mwanaf….
0
4
0
RT @Aduiwayanga: FANSPORT 🔥💵 . 3 odds .Booking code ➡️EN8XR. 3 odds .Boooking code ➡️XDYXR. 7 odds .Booking code ➡️ZF9XR. Jisajili hapa htt….
0
12
0
Mwitikio wa wanachama wa CHAUMMA unaonyesha mshikamano wa kweli na kuibuka kwa matumaini mapya. Kila siku udhamini unazidi kuongezeka, ari ya pamoja inakuwa kubwa zaidi, na safari ya mabadiliko inachukua kasi mpya yenye msisimko usiozuilika. #CHAUMMA2025 #UwakilishiMakini
0
2
4
Safari ya kuomba udhamini imeingia Morogoro kwa kishindo kikubwa. ✊ Ahsanteni wanachama wa CHAUMMA kwa mwitikio wenu wa kweli na udhamini wa dhati kwa Salum Mwalimu na Devotha Minja Safari ya mabadiliko inazidi kushika kasi. Oktoba tukapige kura za wingi. #UwakilishiMakini
1
1
3
RT @chokochoko2025: Safari ya kuomba udhamini imeingia Morogoro kwa kishindo kikubwa. ✊ Ahsanteni wanachama wa CHAUMMA kwa mwitikio wenu wa….
0
4
0
RT @DukeDizzo: Safari ya kuomba udhamini imeingia Morogoro kwa kishindo kikubwa. ✊ Ahsanteni wanachama wa CHAUMMA kwa mwitikio wenu wa kwel….
0
5
0
RT @DukeDizzo: Safari ya kuomba udhamini imeingia Morogoro kwa kishindo kikubwa. ✊ Ahsanteni wanachama wa CHAUMMA kwa mwitikio wenu wa kwel….
0
4
0
RT @DukeDizzo: Mchakamchaka unazidi kupamba moto. Mkoa kwa Mkoa, Jiji kwa Jiji, Jimbo kwa Jimbo — na sasa tupo Morogoro. Ahsanteni wanacham….
0
4
0
RT @DukeDizzo: Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kinaendelea na safari yake ya kusaka wadhamini nchi nzima. Mkoa kwa Mkoa, Jiji kwa Jiji….
0
5
0