Narrowbeeflying Profile Banner
Narrowbeefly Profile
Narrowbeefly

@Narrowbeeflying

Followers
830
Following
2K
Media
40
Statuses
2K

jogger

Joined September 2025
Don't wanna be here? Send us removal request.
@SincerelyRahma_
Extreme introvert πŸ€¦πŸΌβ€β™€οΈπŸ’«
10 hours
Hivi kumbe kuna bodaboda ukiwaagiza mfano nyama kilo moja wanaenda kununua robo tatu?!😳 Au kama ni nyama choma wanafungua foil wanadokoa njiani ndo wanaleta inayobaki?!😳😳 Naskia hadi chips doh😳😳😳
31
16
162
@KEYDEVU
KIDEVU
19 hours
Mafanikio ni mzigo,ndiomana wachache wenye uvumilivu ndio wanaweza kuubeba!!πŸ—οΈ
4
20
40
@The_mesha24
THE MESHA
8 hours
To be a real MAN You’re inner voice, must be POWERFULLY kuliko any voice ya nje Na hapo ndipo ilipo stability ya MANHOOD
0
6
19
@Narrowbeeflying
Narrowbeefly
14 hours
Sukari kilo 4000 tunakoelekea sio kuzuri πŸ€”
0
0
1
@Narrowbeeflying
Narrowbeefly
14 hours
Ila humu eti "Fumbo mambo umekunywa chai" πŸ€£πŸ˜‚
0
0
0
@The_mesha24
THE MESHA
2 days
Adui wako namba moja wa pesa zako ni wewe mwenyewe..Kushindwa kujizuia (Self control) 1. Kushindwa kudhibiti spending 2. Kushindwa kufata bajeti Ukikosa self control utanunua vitu kwa sababu UMESIKIA, na sio kwa sababu UNAKIHITAJI Hapo ndipo pesa inavyopotea kimya kimya.
3
11
61
@Narrowbeeflying
Narrowbeefly
2 days
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
@eludayo_1
𝓔𝓡𝓾𝓭π“ͺ𝔂𝓸 𝓑𝓲𝓫𝓲𝓽π“ͺ𝔂𝓸 β™₯︎
2 days
Watch till the end πŸ˜‚πŸ˜‚if e no funny I will refund you 😹
0
0
2
@Narrowbeeflying
Narrowbeefly
2 days
Hivi kumbe sikuizi shule ya msimgi wanaishia darasa la sita? Kweli mambo yananipita 😁
1
0
5
@The_mesha24
THE MESHA
2 days
Kile kiwango cha pesa unachokiokoa kutoka kwenye mambo yasiyo ya thamani Iweke moja kwa moja kwenye uwekezaji kwa faida ya kununua uhuru wako uzeeni Hata babu alikua kijana, usisahau kesho yako
0
7
27
@BenixMatrix
Benix Matrix
3 days
Huwezi kupata mchongo wa milioni 1 wakati huna hata mishe ya kutafuta buku 3... So unapoona mambo magumu usiache kukusanya hizo buku buku, maana zitaleta laki na laki italeta milioni.
1
8
40
@Narrowbeeflying
Narrowbeefly
2 days
Video za Tems huwa naangalia kwa utulivu mkubwa sana ule mshepu sio wazee πŸ™„
0
0
2
@SB_Ladder
Small Business Elevator
2 days
Una followers chini ya 2000? Fanya hivi: β€’ Comment mara 50 kwa siku β€’ Chunguza mambo yanayopata engagement β€’ Panga upya profile yako β€’ Tweet mara 3 au zaidi kila siku β€’ Shiriki unachojifunza β€’ Jibu comment unazopata Hii njia itakupa mwendo wa haraka kufika 2k followers.
1
6
31
@Narrowbeeflying
Narrowbeefly
2 days
Katika kupigapiga naye story kaniambia "yeye huwa hapendi watu anapenda kukaa mwenyewe mda mwimgi" hii siyo red flag kweli?🀭
0
0
3
@SB_Ladder
Small Business Elevator
3 days
Kuna hatua kwenye maisha inakupelekea mpaka kunyamaza tu. Unasikiliza zaidi. Hakuna kuongea kupita kiasi. Hakuna mabishano. Hakuna maelezo marefu. Ni ukimya tu.
3
23
101
@SB_Ladder
Small Business Elevator
3 days
Kabla ya kujua kutengeneza pesa β€” maisha yalinifundisha kwamba kuna kupoteza pia kwenye mchakato wa kupata.
1
40
168
@ModdohClassic
THUG LIFEπŸš¬πŸ’¨
3 days
Mnakula nini mchana tuwaige?
5
7
45
@Narrowbeeflying
Narrowbeefly
3 days
Mtu unakatalia video kwani ni dada ako yule? Kuma wewe
1
0
1
@Narrowbeeflying
Narrowbeefly
3 days
Nani mwenye hiyo video?
0
0
1
@Maichagange
Man Like Suleβ„’
3 days
Yawezekana mambo yako mengi hayaendi kwasababu una roho mbaya.
0
9
28
@Narrowbeeflying
Narrowbeefly
3 days
Hivi PEMBE ZA NDOVU mbona huwa zinalindwa sana kwani zinatumika kutengeneza nini?πŸ€”
1
0
1