SB_Ladder Profile Banner
Small Business Elevator Profile
Small Business Elevator

@SB_Ladder

Followers
13K
Following
4K
Media
777
Statuses
2K

Supporting small businesses with expert insights, practical resources, and growth strategies. Your partner in entrepreneurial success. #SmallBusinessMatters

Joined November 2024
Don't wanna be here? Send us removal request.
@SB_Ladder
Small Business Elevator
5 months
SB ni platform inayotoa fursa kwa wajasiliamali wadogo wanaojitafuta kuonyesha biashara zako kwa followers wetu bila malipo. Tunafanya hii kama shukrani kwa watu ambao wamekuwa wakitusapot na kama motivation kwa wengine kuanza kwa chochote walichonacho.
Tweet media one
9
26
196
@SB_Ladder
Small Business Elevator
4 hours
Kobe Bryant aliamka saa kumi asubuhi kwa miaka 20. Sio kwa sababu alipenda asubuhi, bali kwa sababu alipenda kushinda zaidi kuliko alivyopenda usingizi. Nidhamu ni kuchagua kile unachotaka zaidi kuliko kile unachotaka sasa.
0
3
33
@SB_Ladder
Small Business Elevator
1 day
We all need this kind of peace! β˜•πŸ˜
Tweet media one
2
14
159
@SB_Ladder
Small Business Elevator
1 day
Ni watu wachache sana wanaopata bahati ya kupokea simu kama hii β€” kama wewe ni mmoja wao, usichukulie poa. Ni neema kubwa ambayo wengi hawana, na wangetamani sana kusikia sauti ya mama zao. πŸ’™πŸ“ž
Tweet media one
1
9
66
@SB_Ladder
Small Business Elevator
1 day
Usikate tamaa bro, nakuomba. Maisha yanaweza kubadilika kutoka sifuri hadi mia moja ghafla.
Tweet media one
1
10
119
@SB_Ladder
Small Business Elevator
1 day
Hata kama hupati likes hata moja kwenye post yako. Endelea kutangaza biashara yako. Aminia, watu wanaangalia! πŸ‘€πŸ”₯
Tweet media one
1
18
161
@SB_Ladder
Small Business Elevator
1 day
Utakuwa peke yako katika nyakati ngumu zaidi za maisha yako. Hizi nyakati zitakufanya uwe mwenye hekima, kukomaa, na usiogope chochote. πŸ’ͺ🏾.
0
14
81
@SB_Ladder
Small Business Elevator
2 days
Mungu mmoja uleule aliye kukupa wazo la biashara, ndiye atakupa wateja pia. Fanya tu sehemu yako. πŸ™πŸΎ.
0
2
27
@SB_Ladder
Small Business Elevator
2 days
Watu huwapongeza na kutamani kuwa wajasiriamali, hadi wanapogundua kuwa kuwa mjasiriamali inamaanisha kufanya kazi bila kupumzika hata wikendi, kupoteza faraja, na hata kukosa utulivu wa akili kwa miaka mingi mfululizo, hasa pale ambapo mambo hayaendi vizuri.
0
1
32
@SB_Ladder
Small Business Elevator
2 days
Baada ya miaka 30, hatimaye nimeelewa kwa nini wanaume wengine huamua kujitenga, wakaishi maisha ya utulivu na faragha, mbali na kelele zote.
3
21
126
@SB_Ladder
Small Business Elevator
2 days
Kuna sarafu tatu:. 1️⃣ Maarifa.2️⃣ Muda.3️⃣ Pesa. Kaka, unapotaka moja, tumia zile mbili nyingine kuipata.
0
26
120
@SB_Ladder
Small Business Elevator
2 days
Yule mjomba aliyejitenga na familia yote, utaanza kumuelewa zaidi kadri unavyozidi kukua.
5
15
83
@SB_Ladder
Small Business Elevator
2 days
Unapokua, unaanza kuelewa: baba yako alikuwa kijana tu, kama ulivyo wewe sasa β€” akijitahidi kadri ya alichokijua na uwezo wake. Kama alikukosea, msamehe. Yeye pia alikuwa anaishi maisha ya uanaume kwa mara ya kwanza. πŸ’™.
3
14
91
@SB_Ladder
Small Business Elevator
2 days
RT @winstone_nnko: Cheers, to the love we can't have.
Tweet media one
0
2
0
@SB_Ladder
Small Business Elevator
2 days
RT @winstone_nnko: Dear self I will win, I promise. πŸ™ŒπŸΌβœ¨
Tweet media one
0
3
0
@SB_Ladder
Small Business Elevator
2 days
RT @winstone_nnko: Same street, same table just a little more love, laughter, and responsibility each time. πŸ‘¨β€πŸ‘©β€πŸ‘§β€πŸ‘¦
Tweet media one
0
3
0
@SB_Ladder
Small Business Elevator
2 days
Unaogopa nini sasa?. Kifo? Sote tutakufa. Kufilisika? Unaweza kurudi ukajenga upya. Aibu? Watu watasahau ndani ya wiki moja. Unaogopa nini kweli?. Hakuna cha kuogopa.
2
18
111
@SB_Ladder
Small Business Elevator
2 days
RT @winstone_nnko: β€œAfrika si maskini; Afrika inakosa usimamizi mzuri,” alisema Dangote wakati wa majadiliano ya jukwaa. β€œKwa nidhamu, maon….
0
2
0
@SB_Ladder
Small Business Elevator
2 days
Nataka uketi chini ujipongeze. - Hupo gerezani. - Hujafa. - Huna drama za ajabu. - Kila siku unajijenga na kuboresha maisha yako. Kaka, utavuka tu hivi karibuni. Kuwa na subira, mwamini Mungu. πŸ™πŸΎ.
1
7
37
@SB_Ladder
Small Business Elevator
2 days
Pesa haitokani na kufanya kazi kwa bidii. Pesa haitokani na subira pekee. Pesa inatoka kwa kutatua matatizo makubwa ya watu walio tayari kulipa.
3
20
150
@SB_Ladder
Small Business Elevator
2 days
Kama mwanaume, amka mapema. Fanya kila jitihada umiliki hata kipande cha ardhi kabla hujafika miaka 35. πŸ’ͺ🏾.
2
16
133