@_GreatnessTupu
Low IQ.
Mimi hata ukue Umeiva aje na wewe ni ngomongo hakuna mahali tunaeza pelekana😅💔😭....
Unaambia dem joke ya chemistry anaanza kushangaa unabongea nini 😭💔
What was the most rebellious thing you did as a kid?Mimi nakumbuka after madhe amenitandika na Bakora ile ya wazee na kuchoma mikono zangu juu niliiba 1K ,nilingoja jioni ifike wakati hawako,nilijifungia kejani na nikatupa kifunguu kwa dustbin,iyo day ilibidi walale kwa kibanda