Mkushi Profile Banner
Mkushi Profile
Mkushi

@Mkushiiii

Followers
27,315
Following
1,467
Media
2,283
Statuses
216,412

Mungu + Heshima + Juhudi 💟📿

Dar es Salaam, Tanzania
Joined October 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Mkushiiii
Mkushi
10 months
Mwana FA once said...??
Tweet media one
301
179
2K
@Mkushiiii
Mkushi
10 months
Mzigo wa kupoa nao ijumaa ya leo Short Scene kwenye Comment .🔥🙌🏽
Tweet media one
61
70
2K
@Mkushiiii
Mkushi
10 months
Sitegemei kuona akipata Interview yoyote pale Wasafi, Kwevo kamaind sana asee..!😂
Tweet media one
54
59
1K
@Mkushiiii
Mkushi
10 months
Kumbe Alikulaga..! 🙂
Tweet media one
68
64
1K
@Mkushiiii
Mkushi
8 months
Skudu Makudubela💚💛
Tweet media one
23
45
1K
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Epuka kudate na videmu under 24 visumbufu na wengi hawajielewi!
163
217
1K
@Mkushiiii
Mkushi
9 months
Nasoma Comment.
Tweet media one
243
115
1K
@Mkushiiii
Mkushi
10 months
Mtajua Kwevo Round kapania kuwapoteza watoto wote ..! 😅
Tweet media one
46
51
1K
@Mkushiiii
Mkushi
9 months
Usijipe umuhimu kwenye Maisha ya watu!😂
Tweet media one
Tweet media two
189
109
1K
@Mkushiiii
Mkushi
3 months
Ukishaoa ndio anatokea Mwanamke anakupenda kuliko Mkeo Daah!!💔🥹
Tweet media one
84
104
1K
@Mkushiiii
Mkushi
1 month
Kama wewe ni Legend hii picha imepigwa kwenye Movie gani??🔥😅
Tweet media one
270
68
1K
@Mkushiiii
Mkushi
10 months
Kwevo kapata Mtetezi kutoka Nigeria Kweli Nabii hakubaliki kwao..😅
Tweet media one
33
54
1K
@Mkushiiii
Mkushi
1 year
Aisee 😂😂😂
Tweet media one
98
63
1K
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
May GOD Bless me with a long life! Happy Birthday To Me! 🎂🥂
Tweet media one
184
100
985
@Mkushiiii
Mkushi
4 months
Kama huijui hii movie, basi endelea kuangalia tamthilia za Huba, Jua kali na Dada Zako.
Tweet media one
165
66
1K
@Mkushiiii
Mkushi
2 months
Wapambanaji wote MUNGU atufanyie wepesi katika kutafuta ugali wetu wa kila siku!🙏🏽🤲🏽
Tweet media one
42
112
1K
@Mkushiiii
Mkushi
9 months
Mwanetu Skudu anapumzika Pazuri Aisee.😊
Tweet media one
35
44
984
@Mkushiiii
Mkushi
9 months
Behind every successful man, there’s a woman, that’s the WOMAN, she’s called MAMA.
Tweet media one
40
100
965
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Ex wako kamzidi Nini Bae wako wa sasa?? Kuwa Mkweli tu.🤭🥲
135
76
907
@Mkushiiii
Mkushi
10 months
Nini kimemkuta Mmakonde, mbona kanenepa na kazidi kuwa mfupi?? 😳😂
Tweet media one
62
47
919
@Mkushiiii
Mkushi
4 months
Wazagamuaji eti ni kweli??🤷🏾‍♂️🙂
Tweet media one
72
59
903
@Mkushiiii
Mkushi
5 months
Huu ni umalaya tu hakuna lolote apa.😎
Tweet media one
139
49
879
@Mkushiiii
Mkushi
9 months
Uyu Mchezaji anaitwa Nani??
Tweet media one
228
45
867
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Tanesco rudisheni Umeme nina Mgeni wa Muhimu Asee leo!🥲
91
82
832
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Ukipata Mafanikio Usibadili Mwanamke, Bali Badilisha Maisha yake, kwani huyo Aliekuvumilia Ndo anastahili hiyo tuzo.
55
147
826
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Nioneshe recently text uliyoambiwa "Nakupenda" nikutumie Buku 5 asa ivi.🙂
105
64
789
@Mkushiiii
Mkushi
10 months
Kule WhatsApp status Kuna viazi wanaeka screenshot ya kila mtu aliyemuwish birthday yake, kama na wewe mmoja wao Huna akili.
92
90
814
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Unapofika umri fulani, Unakuwa hauvutiwi kabisa na mambo mengi, unavutiwa na machache yenye faida kwa maisha ya kesho yako.
56
131
797
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Ukitaka kuteka Moyo wa Single Mother Mpende Mwanae kuliko Yeye.
64
65
775
@Mkushiiii
Mkushi
3 months
Pesa ya Pombe ni ya pombe tu , hata ununue Cement fundi ataiba ataenda kununua Pombe! 😂😂😂
46
113
812
@Mkushiiii
Mkushi
1 year
Ukiachana na Wangoni na Wazaramo asee Wanyamwezi nao sio Kabila la Kuoa.
105
62
786
@Mkushiiii
Mkushi
4 months
We ni Mkali wa Movie Hili Tambala Linaitwaje??🔥
Tweet media one
222
66
794
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Ukiacha tatoo, Mwanamke aliyetoboa sikio mara 3 naye sio wa Kuoa..
75
58
760
@Mkushiiii
Mkushi
11 months
Kuzaliwa Mwanaume sio mchezo. Kitendo cha kumpa Pesa mtu ambaye hakudai sio mchezo Wakuu 🥺
Tweet media one
83
100
780
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Kwani kikubwa wanachotafuta wanawake kwenye simu zetu ni nini?
103
77
750
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Bro! Kuna Umri ukifika unatakiwa udate na Mwanamke sio msichana.
58
70
748
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Apa Tz kuna kabila ambalo lina wanawake wazuri kuwazidi Singida!? Aise Warefu,Rangi shepu ,ntaoa kule🤭🙌🏾
122
51
750
@Mkushiiii
Mkushi
1 year
Mpaka sasa Messi kamzidi kila kitu Ronaldo.
73
30
770
@Mkushiiii
Mkushi
9 months
Hapa jux alipoteza mwanamke wa maisha yake na Mama wa Watoto Wake.
Tweet media one
72
54
762
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Maisha ya sasa Mapenzi yakiwa ndio kipaumbele chako Hutoboi!
51
90
729
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Kwanini hizo nguvu unazotumia kutafuta Mapenzi ya kweli Usihamishie kwenye Kutafuta Kazi?🥲
69
91
732
@Mkushiiii
Mkushi
1 month
Mzigo gani anamaanisha uyu Shekhe! 😂
Tweet media one
48
46
758
@Mkushiiii
Mkushi
3 months
Huna Kazi Huna leseni Huna Passport Huna kiwanja Huna milion 5 kwa Account Huna nguvu za kiume Huna Biashara Huna Mke Huna Nida Huna Nyumba Huna kitanda Huna kadi ya Mpiga kura Huna ndevu ...halafu kibaya zaidi huna wasiwasi na Maisha Haya Mkuu Kila La Kheri.😅
109
147
751
@Mkushiiii
Mkushi
1 year
Vijana mnashinda Mitandaoni hamtak kufanya kazi Taifa litajengwa na nani?🥲
185
108
723
@Mkushiiii
Mkushi
1 year
Kwa iyo Ambangile alikuwa anapita na Dada Zetu wa TL kumbe ana Chaka lake.😅
53
50
731
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Usifanye Mwanamke akalia kwa ajili yako Machozi yao ni Laana.
96
80
716
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Usishangae kumuona mwanamke mzuri Yuko Single' Wanakuwaga na Kasoro zao kubwa sana.
59
81
713
@Mkushiiii
Mkushi
3 months
Pisi za chuo we weka Pombe na free Wi-fi kwako utakula group lao lote.😎
44
81
741
@Mkushiiii
Mkushi
11 months
Nioneshe picha ya machezaji wako akiwa na Makombe matatu msimu huu, nami nikuoneshe Jogoo anayetaga 😂😂😂
Tweet media one
@Lizzie36021
chuga girl❣️
11 months
Nionyeshe picha ya mchezaji wa timu yako akiwa na tuzo kama saidoo ivi apa bongo👇 na mimi nikuonyeshe mbu mwenye hipsi😂😂😂
Tweet media one
33
24
230
24
23
716
@Mkushiiii
Mkushi
6 months
NGE-- sumu yake ni ya masaa 24 na inadumu kwa mda mfupi, tena ukibatika kumwona ukimuwa hapo mwisho wa sumu yake,TIBA YAKE chukua vijiti vidogo vidogo vikavu jivunjie sehemu aliyo kuuma. TANDU-- sumu yake kali inakimbilia kifuani na kooni mpaka kichwani sumu yake unafukuta kama👇🏽
Tweet media one
71
123
721
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Mtu huna kazi huna Hela unatembea na wallet ya kazi gani sasa?
90
71
688
@Mkushiiii
Mkushi
4 months
Mwamba Kashaletewa Bidhaa yake na Kikuu.😂🌧️
Tweet media one
70
64
718
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Ivi haiwezekani kuwa na Mwanamke wako Peke Yako!? 🥲
105
40
661
@Mkushiiii
Mkushi
10 months
Kinachomrudisha Nyuma Best Naso bado anatumia Facebook 😅😅
Tweet media one
96
44
700
@Mkushiiii
Mkushi
10 months
Navyomjua mmakonde wiki haipiti lazima atafanya jambo kupoza huu moto..! 😂
Tweet media one
49
53
698
@Mkushiiii
Mkushi
1 year
Konde anatufundisha ukiachana na mtu lazima ukapime Ukimwi sio? Uyu Jamaa!😅
38
45
683
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Ukiwa na hela mwanamke wako anakua anacheat kwa Adabu na Umakini Mkubwa.🥲
55
70
672
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Mahusiano ya Siku hizi aliye acha ndio unaumia zaidi kuliko aliye achwa!🥲
50
74
664
@Mkushiiii
Mkushi
1 year
Kunipoteza Mimi kama rafiki haimaanishi utanikuta upande wa maadui zako.
44
130
677
@Mkushiiii
Mkushi
1 year
Mwanaume unaweka Disappearing Messages unataka kukatwa au??
65
77
675
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Ex wako akikwambia " I miss you" huwa unamjibu vp? Don't cheat🥲
105
45
649
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Mkoa wako Umetoa mtu Gani Maarufu?🤔😅
159
58
649
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Ivi FIESTA ya Clouds Media imeishia wapi??🤔
78
30
636
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Ali Kiba hatokuja kutoa ngoma kali kama Mac Muga.🔥🙌🏾
72
60
652
@Mkushiiii
Mkushi
2 years
Manzi ukimuona Twitter Mweupe ila ukimeet nae Mweusi km Mpambazi, mtatuuwa!!🥲
81
90
640