THREAD ABOUT LOCAL MANUFACTURE (ASIANS)
Hapa nimeambatanisha post zangu zenye video za viwanda vidongo ambavyo hata watanzania wakiwezeshwa wanaweza kuanzisha, Tatizo ni makadirio ya kodi na bei za usafirishaji wa baadhi ya machine.
Picha hii ilipigwa Wakati wa Vita ya Pili ya Dunia (1945), Ni mvulana wa Kijapani amesimama mbele ya mahali pa mazishi na kungoja zamu yake ya kumchoma kaka yake mdogo aliyekufa.
👇👇👇
KUTOKANA NA KIFO CHA MALKIA ELIZABETH II sasa mwili wa Mumewe Prince Phillip utaondolewa pale ulipohifadhiwa tangu kifo chake mwaka wa 2021, na kupelekwa mahali ambako mwili wa Malkia utazikwa.
👇👇👇
HIZI NDIO NDEGE KUBWA ZAIDI ZA ABIRIA DUNIANI
Hizi ni ndege kumi za abiria kubwa zaidi ulimwenguni kwa mujibu wa Mtandao wa masuala ya anga unaoitwa 'aerotime'
(THREAD)
Habari za leo. Nina mwanangu anaitwa Dorcas Bryson (04) mwaka jana alipata tatizo la utumbo mpana kutoka nje wakati wa kujisaidia. Ulikua unatoka kidogo na baadae kurudi.
Lakini kadri alivyoendelea kukua hali imeendelea kubadilika. Mwezi April mwaka huu sehemu hiyo ilitoka kwa
Habari kaka? Naomba unisaidie kuokoa maisha ya mdogo wangu. Anaitwa Consolata Mgata, ana umri wa Miaka 17. Tunaishi Luganga, wilaya ya Kilolo mkoa wa Iringa. Amemaliza kidato cha nne mwaka jana shule ya sekondari Kilolo, Iringa.
Mdogo wangu Conso alianza kuona uvimbe wa mguu
Picha ya kwanza ni mahali alipokua akiishi Judith baada ya kutoka stendi ya mabasi Ubungo.
Alipanga chumba kimoja huko Boko akaishi na wanae wote watano.
Picha zinazofuata ni makazi yake mapya aliyojengewa na Watanzaia kupitia GH Foundation.
Mungu awabariki wote mliobadili
KILA RANGI YA KIFUNIKO CHA CHUPA YA MAJI HUWA NA MAANA YAKE.
Hii jana niliiona kaandika kwa ufupi
@deokya40
mahali, nikasema au jamaa anataka kutupiga butwaa, nikaenda kuchunguza Reddit ebwana kumbe ni Kweli, Kila rangi ya Kizibo cha chupa ya maji huwa na maana yake "Bottle Cap
Picha hii inamuonesha mwanaume mmoja nchini Kenya ajulikanae kwa jina la Dan Shisia Matakhaya, mwenye umri wa miaka 33 na ni Askari polisi nchini humo.
Hakuzaliwa na sura ya kutisha namna hii. Unachokiona ni matokeo ya mabishano kati yake na mke wake.
Siku moja, Matakhaya na
KITABU CHA HENOKO (THE BOOK OF ENOCH)
SEHEMU YA KWANZA
- Biblia ina Vitabu 73 lakini isiwe Mpaka wakusoma hivyo 73 tu, Canon ya Vitabu 73 iliapitishwa mwaka 382 na Baraza la Maaskofu wa Roma kuna Vitabu Vilipitishwa vikiwa Havina Sifa E.g (Waebrania) lakini kuna vitabu
Ile Entrance ya Magufuli terminal kuna kakipande Kama 5 mita rough kabla hujaianza hilo daraja (Overhead), Yaani tuseme wameshindwa hata kumwaga lami baridi (Emulsion Bitumen) au hata mabaki ya Zege, Unajua magari yanavyoingia pale yanadunda sana, yaani hii defect niliiona
SIKU NYINGINE YA KUMSIKILIZA MWAMBA TUNDU LISSU
Hii ni clip maalumu ambayo Tundu Lissu alilielezea Bunge la katiba ni Jinsi Gani Tanganyika Ilipotea, Ni Vipi Mali za Tanganyika kama Mahakama, Wafanyakazi wa Umma na Katiba viliibiwa.
ENJOY
KITABU CHA HENOKO
SEHEMU YA PILI.
Basi katika Sura ya 8 tunaona Malaika AZAZEL anawaonea huruma Binadamu, Anaanza kuwafundisha Kutengeneza Silaha, Mapanga (Swords) , Visu, Ngao na Ngao za Vifuani (BREASTPLATED) hapa ndipo zana za chuma zilipogunduliwa (MWANZO 4: 22)
@EuropaLeague
@Atalanta_BC
Lookman is the first African player in history to score a hat-trick in a European final
• Lookman is the first player in history to score a hat-trick in the European League final
Nilipo upload video ya machine hii watu wengi waliuliza bei yake.
Ngoja nitengeneze short thread hapa,
Hii machine wachina wanaiita MINI TILLER TRACTOR MACHINE kampuni za kichina nyingi zina manufacture aina hii ya machine.
Anaandika
@MalisaGJ_
Picha ya kwanza ni chumba cha mjane Judith tulipomtembelea mwaka 2021 baada ya kutoka stendi Ubungo. Chumba kimoja cha giza chenye godoro tu bila kitanda. Alijilaza hapo na watoto wake wote watano. Hichohicho ndio chumba, sebule na stoo hapohapo. Ndio maana
NI SIKU NYINGINE YA KUMSIKILIZA TUNDU LISSU
Hapa ilikua Tarehe 14/04/2014 Bunge la katiba, Siku hii ilitoa taarifa Kamati ya 3 naya 4, Part 4/4.
Humo ndani Wamekaangwa sana CCM kwa mafuta yao, Kwa mbali utamuona Kigwangala hapo.
ENJOY
Nchini Botswana, wanafunzi wa vyuo vikuu hulipwa $154 (400,400 TZS) kila mwezi.
Wananchi wanapata huduma za afya bure.
Nchi iko salama kiasi kwamba Rais anaweza kutembea bila Walinzi.
Wananchi wanapewa ardhi bure endapo wataomba.
Botswana inatoa ruzuku kwa wazee na
Wahindi wapewe Maua yao, Huyu dogo kaenda na taa ya gari imevunjika, Jamaa wamemfanyia restoration dakika kadhaa tu, Hawa Local Manufacture wametisha. Then Gharama yake ni $2 tu.
@fatma_karume
Unasema haya sababi wewe pia ni Mzanzibari, Mnufaika wa Muungano, lakini Lisu angewabagua watanganyika lazima ungeufyata.
Ukweli ni Kwamba, Huu muungano umeua kabisa Identity ya Mtanganyika, Ukabakiza Identity ya Mzanzibari.
We will fight for our own Identity
Gari zinazoundwa Ulaya (Eurotrucks) huwa ni Gari makini sana.
Ona hii VW, kumbuka Volkswagen MAN na SCANIA ni Makamuni chini ya Kampuni moja Traton SE Group.
Traton ni moja ya Wazalishaji wakubwa wa Magari duniani, Makao yake Makuu ni Munich, Germany.
Hili ndio Kaburi la Bwana Napoleon Bonaparte lipo ndani ya kanisa linaloitwa "Dome des Invalides" huko Ufaransa.
Licha ya Ubabe wake na Akili zake, Jamaa mwisho wake ulikua mfupi sana, Unajua ilikuaje?
Jamaa katika utawala wake, Alizikataza kabisa nchi za ulaya ambazo zoko
Ukiangalia vizuri haya ni matakata ya Plastic, naona mpaka shopping/shipping bag ambazo huku tunaita "Visalfeti" jamaa wameviyeyusha mpaka wametengeneza viti.
💪💪💪
Sasa kwa kuwa Malkia amekufa, Philip pia atahamishiwa kwenye jumba la kumbukumbu la King George VI ili kulala pamoja na mke wake wa miaka 73, ili waweze kuunganishwa katika kifo.
R.I.P Her Majesty
Mnamo 2021 mwili wa Philip uliteremshwa futi 15 ndani ya Jumba lenye umri wa miaka 200 chini ya St George's Chapel huko Windsor Castle ambako umehifadhiwa mpaka leo.
Kwa mpangilio wa utangulizi, mwili wa Philip haukuweza kupelekwa Vault kabla ya Malkia ambaye ndiye aliandaliwa Kwa hiyo mwili wake ulipaswa kuwekwa mahali fulani kwa muda.
Mwinyi Kuzaliwa Mkuranga hakumfanyi kuwa Mtanganyika, Sababu wazazi wake wote HASSAN na BI AISHA ni watu wa Zanzibar na ndiyo maana alizikwa Zanzibar.
Kama Mwinyi ni Mtanganyika sababu alizaliwa Mkuranga basi hata Abeid Karume Babu yake na Fatma Karume ni mtu wa Malawi
Tuombe Mungu hawa Wanasiasa wetu wasijue kuna vitu Vinaitwa LINCOLN NAVIGATOR waishie tu kwenye VIEITE hizo hizo.
Hizi gari za Kimarekani kwanza zinaitwa FULL SIZE LUX VEHICLE.
@eastafricatv
Hili bunge lina watu wasenge wasenge sana, vitu wanavyojadili ni ujinga ujinga tu, na hili bunge ndio kuna raisi alituachia ili lituletee maendeleo mamae
Hapa palikuwa tu mahali pa kupumzika au tuseme kuhifadhiwa kwa muda kusubiri kifo cha Malkia (Mkewe) siku kitapotokea. Kijadi Mme wa Malkia au Mke wa Mfalme anatakiwa kutanguliwa Hatua mbili mbele ya Mfalme/Malkia.
RUIKANG DOOR SMART LOCK
Wacheki NZOTA TRADERS kwa ajili ya kupata chako kwa 350,000 tu.
Kitasa kina:
- Fingerprint
- Password
- Face recognition
- Camera
- Funguo
- Card
- Mtu asiyetambulika akifungua kina access na kupiga simu.
- Mtu akijaribu Password ikakataa anapigwa
Algeria huwalipa vijana wasio na ajira $97 (247,000 TZS) kila mwezi.
Kima cha chini cha mshahara nchini Algeria ni $149 (380,000 TZS) kwa mwezi.
Upatikanaji wa Umeme kwa wakazi wa nchi ya Algeria ni 100%.
Wastani wa kuishi kwa watu wa Algeria ni (miaka 78) Wastani mkubwa
Vault katika kanisa la ukumbusho la Mfalme George VI lilikuwa limetengwa kama mahali pa mwisho pa kupumzika kwa Malkia. Ilijengwa mnamo mwaka 1810 na 1814, na inahifadhi mabaki ya Baba wa Malkia George VI, Mama wa Malkia na Dadaye Princess Margaret.
Hapo ndipo mlinzi alipomuomba maiti kwa kusema "nipe mzigo ulioubeba mgongoni mwako". Na kijana akajibu: "Huu si mzigo huyu ni Kaka yangu".
Alitoa mwili, akageuka na kuondoka .... Huko Japan, hata leo, picha hii inatumiwa kama ishara ya nguvu.
Hiki kiwanda Kidogo cha Indian Local Manufacturers wanatengeneza Yebo Yebo (Flip Flops)
Hatuwezi pata hizo raw Materials kwa Hapa bongo na sisi kupata, Au kazi za wawakikishi wetu ni nini?