Lilianmadelemo
@LizyDaddy
Followers
226
Following
96
Media
27
Statuses
268
I hate endings, not because I'm left alone or not loved anymore. I hate endings, because they left me thinking.
Joined November 2012
The internet is not a privilege—it’s a lifeline. Let’s work together to ensure it remains open, accessible, and free for all. Actions: ✔️ Speak out against shutdowns in your community ✔️ Demand transparency and accountability from policymakers #DigitalRightstz @APC_News
0
9
14
Wakati Huu Wa Kampeni Za Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa , Vitongoji , Na Uchaguzi Kwa Ujumla Jamii Inahitaji Mtandao Ilikufahamu Mambo Mbali mbali Kuhusu Uchaguzi.#Digitalrightstz #BeOnline #KeepIton @ZainaFoundation
0
3
5
Mtumiaji Mwenzangu Wa Mtandao Unafahamu Kuhusu Ulinzi Wa Taarifa Zako Binafsi? Na Je Unazilinda Vipi Zisitoke Kutoka Sehemu Moja Kwenda Nyingine? Karibu Utuambie. #Digitalrightstz #KeekItOn #Beonline @ZainaFoundation
0
1
4
Day 1 of Digital Policy Engagement Series workshop Training to Digital Rights Coalition members at #Daressalaam Session on Overview of Tanzanian’s Data Protection Act, 2022 #DiPES #DigitalRightstz @amnesty # @ParadigmHQ @yose_hoza
2
11
26
Kukosekana Kwa Mtandao Kunaleta Hasara Kubwa Kwa Jamii Sababu Asilimia Kubwa Tunatumia Mtandao Kama Sehemu Ya Kufanya Biashara, Kupata Habari Na Shughuli Mbalimbali Za Kijamii Ikiwemo Huduma Za Hospital n.k #Digitalrightstz #BeOnline #KeepIton
0
1
4
Unaridhishwa Na Taarifa Unazozipata Mtandaoni Kuelekea Kipindi Cha Uchaguzi? #Digitalrightstz #KeepItOn #BeOnline @ZainaFoundation
0
3
6
Kupata Taarifa Mbalimbali Kupitia Mtandao Ni Jambo Muhimu Sana Dunia Ni Kijiji Tunahitaji Mtandao Kujifunza Na Kushare Maarifa Yetu Na Jamii Ya Watu Tofautitofauti. #Digitalrightstz #BeOnline #KeepIton @ZainaFoundation
0
2
6
Internet shutdown can lead to misinformation that may cause misunderstanding among people who depend on internet to get information. #DigitalRightstz #keepiton #Beonline
0
3
4
PREDICT, PREPARE, PREVENT AND PREVENT You can do this by using an application called OONI probe to know the availability of internet. #keepiton #DigitalRightstz #Beonline @ZainaFoundation
0
2
3
Internet shutdown can cause people to worry and not know what is going on in the world but also fail to work because the internet is not available. #keepiton #DigitalRightstz
0
3
4
Lets Advocate for the protection of digital rights and uninterrupted internet access as essential to democracy, education, and economic empowerment.
0
3
5
We are excited to join this conversation and share our insights from #Tanzania #DigitalRightstz
📍 Invitation: Conversation on Digital rights and inclusion in #Zambia and #Tanzania Predominantly a mining country, 60% of Zambia’s population lives in rural areas. With the female and male population split at 51% and 49% respectively, the country maintained a steady GDP
0
4
11
Kupitia Mtandao Jamii Inatakiwa Kupata Taarifa Kuhusu Uchaguzi, Ikiwemo Elimu Ya Mpiga Kura , Mchakato Wa Uchaguzi Na Matokeo Ya Uchaguzi. #KeepIton #BeOnline #Digitalrightstz @ZainaFoundation
0
3
5
Due to recent events and the need for public safety, X/Twitter was temporarily restricted for major mobile broadband users last month. This has raised concerns about our commitment to internet freedom. While the restriction aims to prevent misinformation and keep the peace,
2
21
24
Kila Mmoja Ana Haki Ya Kupata Huduma Ya Mtandao Haijalishi Yupo Mjini Ama Kijijini. #Digitalrightstz #BeOnline #KeepIton @ZainaFoundation
0
3
6
An internet shutdown is not just an inconvenience; it's a violation of human rights. It disrupts economies, hampers emergency services, and isolates communities. The impact is most felt by marginalized groups, whose voices are often silenced first.#KeepItOn #DigitalRightstz
0
4
7
Internet ndio msingi mkuu wa mawasiliano,si biashara ni lazima uwe na mtandao,si maofisini lazima uwe na mtandao hata familia tunahitaji internet hivyo maisha yetu yanatuhitaji sana kuwa na mtandao tupate elimu juu ya mtandao na ZAINA FOUNDATION.
0
3
6