Msikiti uliojengwa na Marehemu Capt Buruhani Rubaga wa Ndege ya Precision Air iliyopata ajali 6/11/2022 msikiti huu upo Kijijini kwao Kanyigo Bukoba kagera 🙏🙏
R.I.P
@MkulimaSmart
alifariki Jana baada ya kupata ajali kwa kugongwa na gari akiwa anaendesha pikipiki amezikwa usiku
Kijana alikuwa mchapakazi kweli akilima mbogamboga mlandizi na Mbezi kwa Msumi
Huyu jamaa Mkono mmoja alikatwa nilimfundishaga akiwa advance ana akili kinoma siku hizi ni Mwalimu hapo yupo na wanafunzi wake wameshinda kombe la Mbuzi
Je wajua
87% ya sauti ambazo wanatoa wanawake wakati wa kujamiana haina uhusiano wowote wa kufurahia tendo hilo bali humpa hamasa mwenza ili kumaliza haraka
#ElimikaWikiendi
Mwamba kuanzia kesho anaingia mzigoni kufanya Mapitio mechi za River United na kuleta madhaifu na ubora wao
Kazi ya kuwang'oa River United ipo chini ya huyu jamaa
Ukiunganisha upigaji katika repoti zote za CAG Toka 2015 tunakuwa tumemaliza Ujenzi wa shule zote nchini, zahanati na vifaa vyake
Hakuna aliye tuloga nchi hii wamejaa MAJIZI
South Africa
Leo Yanga itazindua tawi la wanachama ambalo lina wanachama zaidi 200 kuwa wanachama wa Yanga
Yanga inazidi jitanua Africa
#SwahibaLanguLako
Manji jana baada ya mechi akasema kwenye zile 49% za uwekezaji ataweka mzigo
Hii Yanga itakuja kuwa bonge la timu miaka na miaka na kupitia kadi ya uanachama lipia bills mwananchi ujishindie smartphone kutoka CRDB
Fidia ya wakazi wa Kalambi Kagera ambao wamehamishwa ili kupisha mradi wa bomba la mafuta
Baada ya tathimini walielekeza wajenge nyumba mpya eneo jingine kutokana na aina ya familia
#MamaYukoKazini
R.I.P Ruth ni moja ya waliopata ajali Manyoni alikuwa akielekea Karagwe kwenye harusi ya mdogo wake
Alikuwa afisa masoko wa Upendo Media na mwandishi wa Gazeti la Upendo 💔
Dogo baada ya kupokea kadi ya uanachama ya Yanga huko South Africa kahamasisha wenzake 76 nao wanataka kuwa wanachama wa Yanga
@CRDBBankPlc
fanyeni mpango mrudi mkasajili watoto wanaoipenda Yanga
#SwahibaLanguLako
Kuweni makini mnapokimbia pembezoni mwa barabara kuna jamaa kapoteza uhai kwa kugongwa na Gari
Viwanja vya mazoezi vipo nenda huko ni salama kwako na afya yako
Green City moja ya mikoa mizuri sana hewa nzuri, mandari za kuvutia, Jumapili tukienda ibada na baadae kidogo tukitoka ni muhimu kufuata Sheria za barabarani na ku
#EndeshaBilaGambe
#JoinThePact
Leo mchana tunaenda kufanya makubaliano na kampuni kubwa itakayo turahisishia mfumo wa kusajili mashabiki na wanachama nchi nzima kuliko huu tulio nao sasa
Yanga kila wakati tunaangalia namna ya kuboresha klabu yetu
Eng Hersi Rais
@yangasc1935