Kipindi changu na watoto kinaanza rasmi leo 7 March kuanzia saa 10 kamili jioni
Channel no 108 UTV
@azamtvtz
Mtoto atajifunza ,atafurahi na kusikia mawazo ya watoto wenzake kuhusu mambo tofauti kwa namna wanavyoelewa
Kindly Rt 🙏🏼
Wazazi waone wawakumbushe watoto