Eng_chambo Profile Banner
Eng.S.Chambo Profile
Eng.S.Chambo

@Eng_chambo

Followers
2K
Following
20K
Media
563
Statuses
32K

Mechanical engineer|fabricator|sgt ltd owner| former oil & gas specialist|heavy equipment operator.

Mtwara
Joined February 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
1 hour
RT @MarekaMalili: Mwenye hekima huogopa na kujiepusha na uovu; bali mjinga huendelea na kujiamini.” .Mithali 14:16.
0
53
0
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
2 hours
RT @MarekaMalili: Kujisahihisha mapema kabla ya madhara, ni bora zaidi kuliko kujisahihisha baada ya madhara. Mbilinge ya kutoka kwenye msa….
0
34
0
@grok
Grok
5 days
Generate videos in just a few seconds. Try Grok Imagine, free for a limited time.
358
643
3K
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
2 days
RT @ReganTesla_: UTAKUWA HURU TENA BABA!!!. THE POWER OF GOD CONQUERS ALL AUTHORITIES!!! 📿✝️. Haki yako isipotoka kwenye vinywa vya wanadam….
0
203
0
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
2 days
RT @Ibrah_Sheby: Ukweli mchungu kuhusu maisha ni kwamba Marafiki wa sasa wanaweza kuwa wageni wa kesho. Na wewe huenda usiwe mtu yule yule….
0
29
0
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
3 days
Divide and rule…inafanya kazi vizuri sana.nawaza hapa kila Mtu awe na pesa ingekuwaje?.
0
1
4
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
3 days
Yaani Mtu anachangia B nakuendelea?Tuoneeni huruma jamani. kuna shule hazina vyoo,Mshindi anajukikana tayari kwanini tunafuja pesa?.
3
2
17
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
3 days
Umaskini unanufaisha matajiri,tuukatae umaskini,kila mtu kwa nguvu zake angaalie namna yakuukimbia umaksini,umaskini ni fimbo ambayo inatumika na wanasiasa Wengi Duniani. wapiga kura wengi ni maskini.
0
3
9
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
4 days
Kwenye Siasa kuna Pesa chafu nyingi sana. yaani unaona watu wanavyohangaika kuhama vyama yaani wanajitoa ufahamu kabisa wapo tayari kudhalilika ili mladi apate nafasi. Oya Nchi kubwa hii wengine tukalime tu. .
0
1
4
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
5 days
RT @ReganTesla_: Siasa ni biashara na Maskini ndio Mtaji. .
0
7
0
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
5 days
Grok anazingua sana . yaani yupo kama mganga wa kienyeji wale unaenda anaanza kukwambi yule jirani yako ndiye anayekuroga😂😂.
1
0
1
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
7 days
Ukiwa Chadema unapambana na CCM Ukitoka Chadema unapambana na Chedema,watu sio wajinga bwana …yaani mmeweza kutuonyesha wazi Chuki za kishetani.
1
0
5
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
9 days
Kumekucha tena salama 🙏🏽,Mungu ataendelea kutuonyesha Ukuu wake,Kinachoniuma sana kuna vijana wamepoteza Maisha wengine mpaka leo hawajulikani walipo. Madaraka yanatufanya Binadamu tusijali kabisa Uhai wa wenzetu. NJAA huwa Haina Demokrasia.
0
3
10
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
12 days
RT @ReganTesla_: Ukiwa Kijana unaejitafut na haujui utajipata lini kuna mambo muhimu unapaswa kuyaogopa sana na kujiombea kila siku Mungu a….
0
30
0
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
14 days
Nilichokiona watu wengi wanakimbilia kwenye Siasa ila uwezo wao ni Mdogo sana kwenye kusaidia serikali wengi wanafiki na wavivu wanaojali matumbo yao. yaani mimi sitapigia kula mtu ambae namuona kabisa hawezi kutatua kero za wananchi . kula ntakaa nayo mwenyewe.
1
1
7
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
14 days
RT @iamthatfemale: MEN MEN MEN ‼️‼️.NEW STOCK‼️. Size: 40-45.Price: 25,000/=tzs . Call/WhatsApp: 0712098381 .#hikasshoes .
0
31
0
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
14 days
Musa Neema na baby baraka muda ni wazeee kabisa 😂😂
Tweet media one
0
0
2
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
14 days
Hata Yesu na Mtume kuna wahuni walifanyia uhuni kama huu. Ila hawakukata tamaa naamini kuna siku moja tutafika tunapotaka kwenda. hawa wafitinishi tuendelee kuwqombea uhai ili tuje kuwaambia ukweli🙏🏿.
0
3
6
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
15 days
Usiogope kupoteza watu kwenye harakati. ni swala la kawaida kwa binadamu kutoheshimu au kuamini fikra za mwezanzake,Ishi kama mshindi,hao wote watakushangilia bila aibu pamoja na kukutia majina mengi ya utukufu🙏🏿.
0
1
5
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
15 days
Kuna wakati utafika miti itaongea upepo utakuwa unashangilia kwa shangwe sana. Maisha yakuoneana sio poa kabisa. .
0
1
4
@Eng_chambo
Eng.S.Chambo
15 days
RT @jamesannae: @Kirikuu20 Kuna kitabu kinaitwa "Bread and Circuses " kimeandikwa na Roman poet Juvenal, Kimeelezea jinsi haya mambo kwa ki….
0
7
0