1/4
Mwanza vs Arusha
Battle kali kuwahi kutokea ilikua kali sana na nisiwe mnafiki moja kwa moja ushindi umeenda Mwanza.
Sababu.
Pamoja ya kwamba Arusha ni jiji la kitalii ila bado miundombinu yetu ni ya kizamani mwaka 67 kipindi cha azimio la Arusha!
1.Soko la mwanza::
2/4
2.Stand ya mabasi ( buss terminal)
Arusha ni aibu ata kusema tuna stand ya mabasii japokua Arusha ni kuna busi nyingi na zenye ushindani mkubwa kibiashara VVIP zipo nyingi root ya Arusha kuliko root nyingine yoyote apa TZ
Naomba support yako!
COFFEE table na stool zake.
Aina ya mbao niliotumia ni softwood
Inadumu mpaka unasahau.
Bei 570k
Location ARUSHA ESSO ROAD
☎️0657190057
Naomba retweet yako!
NB: Twitter influence ya mwanza inanguvu kuliko ya chugga 😁😁hii pia imechangia ushindi wao!
Ila niseme tu kwamba serikali imetusahau na haina mpango na sisi!!
Izi zote ni juhudi za sector binafsi..
RT yako ni muhimu boss.
Ipendezeshe sebule yako kwa
Tv stand kali yenye muonekano wa kisasa kabsa.
183×50×35 ✴️✴️
Color ni natural 💫
Finishing 💯 🙌
Bei 400k tuu usilipe zaidi
📍 Arusha conner ya esso
📞 0657190057
#MakeWithLove
#TrustTheProcess
#Rt
ziwe kama zote!
Maboss zanguu ile kazi imekamilika 😎
Leo jamaa anaenda kulala usingizi mzito sana 😅
Bei ni ya
#offer
700k tuu usilipe zaidi!!
Material iliotumika ni mbao za ya uhakikaa..
#Warranty
ni 5 year's haijapata kutokea.
#Odder
0657190057
📍 Arusha conner ya esso
3/4
3. Airport
Tuna Airport mbaya na isiokua na mvuto ata kwa wageni ni aibu kubwa sana kwa mkoa kama Arusha kua na airport ya aina hii
Jiulize tuu ARUSHA inapokea watalii wangapi kwa mwaka!! 🙃🙃🙃
Kwa mambo aya matatu Mwanza nawapa maua yao.
🦅KILICHO NYUMA YA CAMERA ZA Google pixel
🧵🧵🧵
Kwa sasa tukizungumzia simu zenye budget ndogo na zenye camera yenye ubora wa hali ya juu duniani,basi jina GOOGLE PIXEL huwezi acha kulitaja ,hawa jamaa sijui walitokea wapi maana kipindi sisi tunakua miaka ya 2000s simu zenye
Kipindi napambana kujua ufundi, walio nitangulia walikua wakinimbia nimechagua kazi ya kushinda police na kugombana na wateja kila siku.. nikikumbuka nacheka sanaa. 😅😅😅