Siku nilishika mita yangu ya kwanza hivi nilikua 25 that's after Covid tu hivi.. sikua namiini I had to withdraw the guap and count it kwanza. I wrote 'BIG FAT CHEQUE' that same night. Every lyric on that song ni kama testimony.
Kenya mtu anaeza skia ukibanja Sheng adhani we ni fala, saa hizo uko na degree kwa keja😂 Kilami ni lugha tu, ata machizi hukua articulate. Kuna wise man alidai 'Si hubonga kilami tukitaka ganji itoke..'. If you don't gerrit forget about it! Huezi ng'am.
Hii Mambo ya kuchuniwa kupush agenda kila time ndio uwache G
@Its_Roddie
Boy wako alikua na masanse wamejipin na anakwambia ukuje kuchocha hapa online ku maintain Gangster points. I am yet to address this story publicly, narrative mko nayo ni yake na ndio anakulipa upush.
Nikionanga Breeder LW nakumbuka vile aliHumble wakati aliDiss Octo alafu akaPull up mtaa yake mans akaHumble ajab.. Hiyo clip hunimaliza ajab😂😂😂😂You don't pick a fight you can't handle😂
Walami huskia fiti. At 18 yrs already uko Juventus unamake doh future ni bright. All because of talent tu. Ma area najua kuna 18 yr old flani saa hii anaskia tu kudedi amedunda KCSE ameambiwa they won't amount to anything in life.
Yani Sauti Sol wamedo hii mambo for 20 years. All that time na bado wanaido on that top elite level ni legendary sana💐 Na bado wako kimoja ka ma brejin, vile ganji nimeona ikikosanisha watu in this business wao wame keep it together for 20 good years. Class💯🙌🏾
My first car nilishika Benzo C 180 flani, YOM 2002, nje ilikua imeoga mbaya, fisa kila kitu kutoka gwanda, body, paint ni mbichi ilikua sexy vifiti. Lakini nilikua nashinda garage buda kila siku, hio ndai ilikua inaitisha new parts daily. Dashboard inashinda imelia, ongeza oil
If you operate a business, usikue mkora. Ukiniuzia mali mbaya itafanya sitarudi utakula ganji once. Ukiniuzia mali mzuri legit ntakua returning customer, uko guranteed nakupea biz kila time. Kuwa mjanja na utumie akili!
In a country where 2 of the most popular foreign artists ni Platnumz na Vybz Kartel, maybe sexual content in the music isn't such a big deal anyway.
In a country where evangelists kama Ng'ang'a ashaibonga kuhusu genitalia yake kwa pulpit, maybe just maybe sexual content in the
One reason Gengetone fell is oversexualizing everything. Kenya is too liberal of all her EA neighbours but we are still conservative with matters of sex.
Unaona vile Jamaicans slang yao imeshika dunia mzima, ata uende wapi ukiambia mtu "Wagwan".. atakujibu na atakuelewa unasema nini. Saa hii wanaija wamefanya the whole word is on that 'Nyash' word wakibonga ju ya haga. 'Peng Ting' 'Yard' 'Brejin' 'Bruv' hizi zote zinatumika
Noma ya kuwa introvert hukua those quiet moments when you’re lost in thought or simply enjoying the silence and someone asks, “Mbona umenyamaza?”. Buda akili iko dimension ingine mbali sana..
Been The Baddest For A While Si Ati Ni Saa Hii Ndio Nimeanza🔥🔥🔥 Wale wajui ndio wanadhani ni saa hii..ma mrenga za
@KhalifKairo
ndio hizo hapo zilichocha set💯🫡
#TKNation
Ngoma zangu ni za ujinga, za ufala za umbwakni. Wackest kenyan artist ever. Sikatai. But that's beside the point ata imekupita ju watu kama wewe ndio naongelea. Ma bombo washenzi wenye kutumia akili huwa inawalemea. Sijaongelea mziki anywhere hapo, lakini Mr. Andie ju wewe unajua
Kama Brian Mwendwa anaweza fake kuwa lawyer hadi afanye ma kesi kotiko na ashinde zingine ni mse ata hatufai kukashif. Anafaa kuingizwa sasa mboka legit, ata ka ni kurudi system amade kwanza. Hio ni akili mingi sana isiende to waste.
Kazi ya addicts hukua ngumu kwanza upate mtu hayuko ready kuchange na kukua rehabilitated. Mnaeza do kila kitu lakini mnarudi step 1 tu. Mta waste doh na time, resources zote but still mnarudi tu mahali mlianzia.
Niliwasho tuko na watu kama Eliud Kipchoge in thousands. Wako hapo Iten tu wametulia. Kelvin Kiptum is just one example. Tukiamua tunaeza kuwa tunachukua hizo marathon top 10 slots zote kila race😂 Na kazi ni kuweka World Record tukizivunja sisi wenyewe💯🇰🇪 Congratulations to
Pep ni top coach. He needs to win a game wako nyuma, makes two subs na wanafunga bao mbili. Wins the game. Genius. Arteta bado angekua anazubaa na Havertz kwa grao😂😂 Kwa bench ni Nketiah smh.
Life is so unfair, unadedi ju ya ngori sio yako. Labda ata hujui ni nini inaendelea kati ya Kenya na Som. Hio vida ni sad sana I can't imagine losing a loved one in such a manner.