BL ๐ทโโ๏ธ
@BaricKGL
Followers
2K
Following
17K
Media
41
Statuses
5K
Joined April 2012
Nashangaa watu wa Njombe wanasikiliza Singeli kichizi kama vile Uswahilini๐
. Mwanamziki yeyote wa Singeli akija kupiga Show Njombe ataokota sana.
1
1
2
30% ni nyingi sana jamani Mfano mshahara wa 3M ukatwe 30% ni 900K - Jumlisha NSSF, na other deductions Mbona hubakii na kitu
Unaweza kuwa na waajiri zaidi ya Mmoja na ukalipa PAYE kwenye TIN Moja isipokuwa lazima ianishwe First Employment na Secondary Employment. Rate ya Secondary Employment haitakuwa sawa na First Employment. Secondary Employment wanakata 30% ya unachopokea ๐ค
0
0
0
Airtel signal ya router inasoma "good" lakini video ya YouTube 720p inaplay na kustack hadi 1min โญ๏ธ, wala hata sio ya livestream ๐คฆโโ๏ธ๐คฆโโ๏ธ. Hiki kibuyu chao ni cha kutupa. N
1
0
0
Ni msimu wa Mvua, hakikisha unapanda miti kutunza mazingira ๐ณ๐ด
1
0
1
Bro tuna kampeni ya nyumba ni Choo, tuna mtue mama ndo kichwani, tuna sambaza umeme wa REA vijijini, kuondoa utapiamlo,kuna sehemu hakuna minara ya simu kabisa, tupo na ujenzi wa barabara vijijini na TARURA, kuna kusaidia hedhi salama mashuleni. Still unataka tuendee Drones ๐ถโโ๏ธ??
As a country we need our own aerospace company inaweza kuwa ni ngumu kutengeneza Jet Fighters , Radar Systems etc, tuanze kwenye drones hasa ziwe Millitary drones.
0
1
4
Hivi Case kama hizi Insurance inalipa ??
2
2
15
Naona hakuna anayegusa ugali wa mwenzake ambayo ni mafuta. Iran hagusi mafuta ya Saudi, wala Israel hapigi mafuta ya Iran This is good
0
0
0
Kwa hizi teknolojia tumejionea jana na leo za kivita kwa wenzetu.๐ Na ukifikiria bado tunajiendea zetu na moves za Nyumba ni choo,Kupeleka umeme wa REA vijijini ,kampeni za Tohara, kumtua mama ndoo kichwani,lishe bora etc. Ni bora tutulie na tusije kubishana na hawa wakubwa.๐ด
0
0
2
Nyie kazi ni kurusha tuu watu roho
Iran's supreme leader Khamenei to give speech within minutes after U.S., Israeli strikes on Iran, Al-Alam TV says https://t.co/EaAoCtg0b6
2
0
1
Mmmmmmh
JUST IN: @TreyYingst reports that Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu said there are โmany signsโ Iranian Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei may no longer be alive following an Israeli airstrike, though his fate has not been independently confirmed.
0
0
0