BaricKGL Profile Banner
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ Profile
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ

@BaricKGL

Followers
2K
Following
17K
Media
41
Statuses
5K

Joined April 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
12 hours
Insurance Companies in Kenya right now.
0
0
0
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
14 hours
Nashangaa watu wa Njombe wanasikiliza Singeli kichizi kama vile Uswahilini๐Ÿ˜…. Mwanamziki yeyote wa Singeli akija kupiga Show Njombe ataokota sana.
1
1
2
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
16 hours
30% ni nyingi sana jamani Mfano mshahara wa 3M ukatwe 30% ni 900K - Jumlisha NSSF, na other deductions Mbona hubakii na kitu
@MwansasuSnr
Malafyale
1 day
Unaweza kuwa na waajiri zaidi ya Mmoja na ukalipa PAYE kwenye TIN Moja isipokuwa lazima ianishwe First Employment na Secondary Employment. Rate ya Secondary Employment haitakuwa sawa na First Employment. Secondary Employment wanakata 30% ya unachopokea ๐Ÿค
0
0
0
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
2 days
Airtel signal ya router inasoma "good" lakini video ya YouTube 720p inaplay na kustack hadi 1min โญ•๏ธ, wala hata sio ya livestream ๐Ÿคฆโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคฆโ€โ™‚๏ธ. Hiki kibuyu chao ni cha kutupa. N
1
0
0
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
3 days
Kinachoshangaza michoro ya majengo / barabara yote inapewa kibali cha kujengwa bila hata ya kuwa na green space. Eneo kubwa linajengwa na parking inajazwa pavings lakini hakuna hata miti wala green space ya recreation.
@KhethiweAS
Hugger-In-Chief| Chidinma| Zora the Explorer|
4 days
We need more parks, more greenery in Dar es Salaam.
0
0
0
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
4 days
Ni msimu wa Mvua, hakikisha unapanda miti kutunza mazingira ๐ŸŒณ๐ŸŒด
1
0
1
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
4 days
Bro tuna kampeni ya nyumba ni Choo, tuna mtue mama ndo kichwani, tuna sambaza umeme wa REA vijijini, kuondoa utapiamlo,kuna sehemu hakuna minara ya simu kabisa, tupo na ujenzi wa barabara vijijini na TARURA, kuna kusaidia hedhi salama mashuleni. Still unataka tuendee Drones ๐Ÿšถโ€โ™‚๏ธ??
@TOTTechs
#TOTTechs
5 days
As a country we need our own aerospace company inaweza kuwa ni ngumu kutengeneza Jet Fighters , Radar Systems etc, tuanze kwenye drones hasa ziwe Millitary drones.
0
1
4
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
4 days
Mtandaoni watu wanachambua vita kwa uongo ili wapate views.
0
0
0
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
5 days
Miezi mitatu ya ile tume haijaisha kweli ??
1
0
4
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
5 days
Hivi Case kama hizi Insurance inalipa ??
@BusesNation
TANZANIA BUSES NATION
6 days
Ila wezi wa Dar Labda uweke Kinga ya kiasili
2
2
15
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
6 days
Naona hakuna anayegusa ugali wa mwenzake ambayo ni mafuta. Iran hagusi mafuta ya Saudi, wala Israel hapigi mafuta ya Iran This is good
0
0
0
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
6 days
Mmmmmhhh
@BRICSinfo
BRICS News
6 days
JUST IN: ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท Massive explosion seen in Tehran, Iran after US-Israeli strikes.
0
0
0
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
6 days
Mmhhh
@IDF
Israel Defense Forces
6 days
โ€ผ๏ธWATCH: For the first time since the start of Operation โ€˜Roaring Lionโ€™, the IAF is striking targets belonging to the Iranian terror regime in the heart of Tehran. Over the past day, the IAF conducted large-scale strikes to establish aerial superiority and pave the path to
0
0
0
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
6 days
Kwa hizi teknolojia tumejionea jana na leo za kivita kwa wenzetu.๐Ÿš€ Na ukifikiria bado tunajiendea zetu na moves za Nyumba ni choo,Kupeleka umeme wa REA vijijini ,kampeni za Tohara, kumtua mama ndoo kichwani,lishe bora etc. Ni bora tutulie na tusije kubishana na hawa wakubwa.๐ŸŒด
0
0
2
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
6 days
Yani hata kugundua official page hauwezi ?? Umekuwaje msemaji wa Timu??
@privaldinho
Privaldinho
6 days
Mhh nani anaendesha page za huyu mzee??
0
0
0
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
6 days
Tupumzike sasa.
0
0
0
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
6 days
Nyie kazi ni kurusha tuu watu roho
@Reuters
Reuters
7 days
Iran's supreme leader Khamenei to give speech within minutes after U.S., Israeli strikes on Iran, Al-Alam TV says https://t.co/EaAoCtg0b6
2
0
1
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
7 days
Mbona kama inaezekana ni kweli
@yoavgallant
ื™ื•ืื‘ ื’ืœื ื˜ - Yoav Gallant
7 days
Eight months ago I wrote to Khamenei: 'Choose wiselyโ€™. He didnโ€™t.
0
0
0
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
7 days
Mmmmmmh
@FoxNews
Fox News
7 days
JUST IN: @TreyYingst reports that Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu said there are โ€œmany signsโ€ Iranian Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei may no longer be alive following an Israeli airstrike, though his fate has not been independently confirmed.
0
0
0
@BaricKGL
BL ๐Ÿ‘ทโ€โ™‚๏ธ
7 days
๐Ÿคฏ
@spectatorindex
The Spectator Index
7 days
BREAKING: IRAN'S SUPREME LEADER HAS BEEN KILLED AND HIS BODY RETRIEVED, ACCORDING TO ISRAELI MEDIA.
0
0
0