#TOTTechs
@TOTTechs
Followers
51K
Following
63K
Media
4K
Statuses
45K
Jukwaa la washauri na wataalamu wa Teknolojia || ๐ป Computers ||๐ฑ Phones | Softwares | ICT Hardwares | ICT Security ||
Tanzania
Joined February 2020
Hakuna kampuni kubwa ya Teknolojia itakuja kuwekeza hapa Tanzania, tumekuwa tukisema hili kila siku na mmeona wenyewe. Tutakuwa tunaziona kwa majirani hizi Global Tech companies kama Google, Microsoft, Amazon, Meta, Oracle, IBM, Opera, Airbnb, Huawei etc.
23
38
240
Media nyingi tu za nje zinaendelea kufanya coverage ya kulichotokea, bado mnayo nafasi. Hamna excuse yoyote ya kutuambia, "Eti hiyo live unaitumia vipi field?" Do it now!
Mfano unatakiwa kuripoti live kutoka mtaani ,utaripoti vipi na hakuna internet? ...hiyo Live U utaitumia vipi field? Tumepitia Mengi sana kikubwa uzima.
6
5
51
Tunsu tusaidie kuwaangalia @gabyconscious , @anon_codex na @Mkuruzenzi kuna kitu tunataka kuona ๐
8
2
38
The Internet speed is becoming more worse than ever, WhatsApp calls, Online meetings hazitoki, hata ku-download kitu unless uwe na stable VPN. Nchi imekuwa ya ajabu sana, Kuzuia mtandao haisaidii kitu, Dunia imeshajua nini kimetokea, surveillance and satellites zipo kila mahali.
15
53
300
Ukizima internet, unathibitisha kuna kitu unaficha. Ukizima internet, unasimamisha uchumi. Ukizima internet, unafukuza watalii. Ukizima internet, unafukuza wawekezaji sekta ya teknolojia (startups). Ukizima internet, unachochea kusambaa kwa misinformation. Ukizima internet,
28
198
1K
Tunahitaji kufikiri jinsi gani tutapata stable Internet connection bila haya mauzauza, hawa watu ni kama wanatufanyia favour wakati ni wajibu wao. Labda tujaribu Satellite Internet service provider wa Tanzania kama Konnect (Eutelsat), DataFlow Telecom, lakini hawa bado ni shida.
19
53
397
Pole sana mkuu ๐
I had a chance to work at amazing company based in Silicon Valley we were in the middle of raising millions and I was crucial part of the team to push designs and share the demo with investors and the clients. This happened I really hate this from the bottom part of my heart
0
0
22
*๐ก ROUTER vs WiFi vs MiFi * Watu wengi wanachanganya haya maneno โ leo hebu tuweke sawa๐ `๐น 1๏ธโฃ ROUTER` Ni kifaa kinachogawa intaneti kwa vifaa vingine (simu, laptop nk). โก๏ธ Mfano: 4G/5G router kama ZTE, Yas, Chapakazi... ๐ Inatumia sim card au cable kutoa WiFi
5
22
134
Wamepunguza speed ya Internet (lower bandwidth) making it harder to send photos/video or streaming, wame-block Private DNS, wame-restrict most of VPNs and Proxies. Kwa dunia ya leo, internet ni basic need, ni maisha ya watu. Hii haivumiliki.
40
242
2K
Sababu zote ziko ndani ya uwezo wenu, hakuna sababu iliyo nje ya uwezo wenu. Useless piece of information.
6
14
164
Ukiachana na Local Media ambazo always huwa ni useless, janga kubwa kwa sasa ni Mobile Network Operators (watoa huduma za simu) & Internet Service Providers kwa kushirikiana na TCRA, these are most dangerous and useless Institutions kwenye nchi hii.
32
167
754
Nina zawadi/rambirambi (still cooking) kwa gen Z na wadau wote kwa ushujaa tuliyofanya. I will open source most of my projects, wote tuweze fanya tuyayoweza fanya kama wananchi.
0
1
10
Kwamba Pale TCRA kunaa Wataalam kabisa wenyee Elimu zao na Uzurii ni Taasisi ilioajiriii Watu Wa Ikuluu Wengii Mno kupitilizaa i mean Usalama lakinii wote hao Wakakaa Na kukubalianaa Wawe Wanazimaa Baadhi ya Social Media kwa Hizo Sababu zao ambazo ni za kisiasaa Zaidi
7
18
84
Kama taifa na kwa dunia ya leo inabidi tuwe na National Cyber Security and Forensic Centre, kiwe ni kitengo kinajitegemea, kwa kushirikiana na TZโCERT chini ya TCRA mbali na majukumu yao,waje na program/training centre kuwajengea uwezo na kuhamasisha vijana kupenda Comp Security.
14
19
183