After filling Musonda’s belly with wali samaki, I stepped outside a bit to take a photo and celebrate how good of a cook I am 😝
Mwananchiiii 📢 How is your evening though?
One step closer to the grand finale 🙂
Thank you Allah for today and guide us through as we start preparing for the second leg.
#daimambelenyumamwiko
#CAFCC
Wonderful night in Tanga as we march on to the Community Shield’s finals in style.
I am happy to have my name in the scoreboard once again and help the team win 💪
#daimambelenyumamwiko
Ukiwaza malipo basi SimBanking 📱ndio mbabe wao!
Lipia LUKU ⚡ kupitia SimBanking ujiongezee nafasi ya kushinda Ndinga 🚘, Mkwanja 💰 au Smartphone 📲
Follow 👉🏾
@CRDBBankPlc
kwa michongo zaidi.
#BenkiNiSimBanking
Leo nilipata nafasi ya kwenda Goba kukabidhi zawadi ya gari 🚘 kwa Ndugu Robert Masala ambalo ameshinda kupitia promosheni ya Benki ni SimBanking kutoka CRDB.
Pamoja na ubabe wake kwenye miamala lakini hawezi kupiga dana dana 🤣
#benkinisimbanking
#crdbbank
#tunakusikiliza
Great victory yesterday as we are getting closer to the quarterfinals. Two crucial games ahead of us in the next few weeks to ensure our place in the quarters.
#daimambelenyumamwiko
#cafcc
Bro, let’s choose to respect each other’s professions. Stop lying, and stay on your professionalism.
Even if it was true, why would you go expose your source on social media? Is that what they teach you?
So, please stop in the spirit or respest 🙏
Mwananchiii🔰Why not SimBanking?
Nunua tiketi 🎟️ yako ya fainali ya CAF kati ya Yanga vs USM Alger kupitia SimBanking📱ya
@crdbbankplc
ujiongezee nafasi ya kushinda mkwanja, smartphone na ndinga.
@humphrey_fred
And your job is to stay quite because last time i checked it was my name that was mentioned and not Yanga’s so, Mr. I spoke for my name.
Gari jingine linatoka mwezi wa kumi kwahiyo fanya miamala sasa kwa kama vile kulipia Luku, maji, tiketi, ving’amuzi, bili za serikali au kutuma pesa SimBanking ili na wewe uweze kuibuka mshindi kama Robert.
Follow
@crdbbankplc
kwa michongo zaidi.
#benkinisimbanking
#crdbbank