Ford
@AsajileF
Followers
9K
Following
662K
Media
7K
Statuses
134K
live ur life, SimbaSC fan, ChelseaFC fan,Estate Manager at Kukeke gang,Local Miyeyusho Sana (L.M.S).
Dar es Salaam, Tanzania
Joined August 2020
Wakuu mkipata muda fanya kama unapita katika wesite hii https://t.co/jhM7n98JuB kuna mambo mazuri hapo.
3
21
26
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@marthamshana_ Kijukuu cha Ahabu🙌 zao la Sodoma kizazi kilicho angamia kwa moto chimbuko la wagalatia
0
0
2
Baada ya mteja kufanya manunuzi bidhaa/bati zake, zitafikishwa popote pale alipo bila gharama yoyote ya usafiri. 👤Wateja wa mikoani nyote tunawafikia, jambo muhimu ni wewe kulipia bati zako tu. ☢️Mabati ya mgongo mpana na mdogo bei TSH 370,000 BANDO #BuildingsMaterials
24
57
138
Luka 10:19 “Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitakachowadhuru.”
0
1
2
Zaburi 70 1 Ee Mungu, uniokoe, Ee Bwana, unisaidie hima. 2 Waaibike, wafedheheke, Wanaoitafuta nafsi yangu. Warudishwe nyuma, watahayarishwe, Wapendezwao na shari yangu. 3 Warudi nyuma, na iwe aibu yao, Wanaosema, Ewe! Ewe!
2
4
6
Habari #RithaKitchen Tumefungua Kitimoto joint #GithaPork iliopo maeneo ya Kimara Suka, kwa King Papa Village,kuanzia siku ya Ijumaa ya kesho. Nawakaribisha sana na naomba Support yenu juu ya Hili, Kuna Offer nzuri sana kwa siku ya Kesho. Karibuni Sana #KindlyRepost #GithaPork🙏🏾
17
88
139
During the Women Creating Wealth Forum & Certification Ceremony, brilliant women are showcasing their innovative products and businesses, proving that when women rise, economies thrive. #WCWTanzania | #GraçaMachelTrust
4
18
22
Kuwa mjanja, kuwa salama epuka ngono zembe na linda maisha yako dhidi ya VVU. Pima mara kwa mara kujua hali yako, na tumia kondomu kwa usahihi kila mara. - Afya ni mtaji chukua hatua leo, kesho ni ya wale wanaojiandaa. #LetsTalkTz #AfriYANTz #KijanaPlus
4
17
13
URASIMISHAJI WA MAENEO. Urasimishaji wa maeneo ni unahusu mchakato wa kutambua, kupima, na kutoa hati miliki kwa wakazi wa maeneo ambayo awali yalikuwa hayajapangwa au yasiyo rasmi. kama vile makazi holela au maeneo ya vijijini yaliyokua bila mipango rasmi.
1
3
4