AbdulAmeir Profile Banner
Abdul Profile
Abdul

@AbdulAmeir

Followers
7K
Following
97
Media
1K
Statuses
53K

Son | Pilgrim | Husband | Dad | Bibliomania | 26:217-220

Tanzania
Joined October 2010
Don't wanna be here? Send us removal request.
@AbdulAmeir
Abdul
1 year
Qunut: innahu laa yathillu man waalayta, [wa laa ya 'izzu man 'aadayta] 🤲🏾 none whom You have committed to Your care shall be humiliated [and none whom You have taken as an enemy shall taste glory] 🤲🏾 hakika hadhaliliki uliyemfanya mpenzi, [wala hatukuki uliyemfanya adui]
0
42
95
@AbdulAmeir
Abdul
29 days
All politics is local.
0
69
76
@readswithravi
Reads with Ravi
29 days
29
707
6K
@AbdulAmeir
Abdul
1 month
“Kiongozi ni mti wa kivuli.” - @SuluhuSamia
0
68
103
@AbdulAmeir
Abdul
1 month
Vitu vitatu hupotezwa na vitu vitatu 1. Ustahamilivu unapokutana na mpumbavu. 2. Nasaha njema inapokutana na mwenye kiburi. 3. Wema unapokutana na asiyeustahili.
0
80
157
@AbdulAmeir
Abdul
1 month
🤲🏾 Bismillah 🤲🏾
0
46
69
@AbdulAmeir
Abdul
2 months
“All warfare is based on deception.” - Sun Tzu
0
50
57
@AbdulAmeir
Abdul
2 months
“Vazi bora la kukufaa kwenye maisha linafumwa kwa nyuzi tatu; ibada, bidii na shukrani.” — @SuluhuSamia
0
98
111
@AbdulAmeir
Abdul
2 months
Surah Al 'Imran Ayat 150 Bali Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi wenu, naye ndiye bora wa wasaidizi.
0
94
96
@AbdulAmeir
Abdul
2 months
“You can have your own opinion, but not your own facts.” — Talib Kweli
0
49
62
@AbdulAmeir
Abdul
3 months
Unadhani kwa kuwa unaelewa MOJA basi lazima pia uelewe MBILI, sababu moja NA moja zinaleta mbili. Lakini lazima pia uielewe NA. - Rumi
0
71
94
@AbdulAmeir
Abdul
3 months
Kurani Tukufu Sura ya 36 (Yasin), Aya ya 82 Hakika amri yake anapotaka kitu ni kukiambia tu: Kuwa! Na kikawa!
0
54
79
@AbdulAmeir
Abdul
3 months
ESA - Earth from Space: Zanzibar, Tanzania
Tweet card summary image
esa.int
Earth from Space: Zanzibar, Tanzania
2
6
22
@AbdulAmeir
Abdul
3 months
“Anayekusamehe haimaanishi kasahau.” ✍🏾 @SuluhuSamia
0
90
207
@AbdulAmeir
Abdul
3 months
"Mkakati bila mbinu hauleti ushindi; na mbinu bila mkakati ni kelele kabla ya kushindwa." - ST
0
66
98
@bwaya
Christian Bwaya
3 months
Ukitaka kumjua mtu vizuri, tofautiana naye.
39
310
2K
@AbdulAmeir
Abdul
3 months
"Hakika amri yake anapotaka kitu ni kukiambia tu: Kuwa! Na kikawa." — 36:82
0
88
101
@AbdulAmeir
Abdul
4 months
“Umuombe Mwenyezi Mungu akujaalie mambo manne. Moja, nafsi yenye kutambua Ukuu wake. Mbili, ujasiri na bidii kubadili unayoweza kuyabadili. Tatu, ustahamilivu wa kupokea usiyoweza kuyabadili. Nne, busara ya kutambua yapi unaweza kuyabadili na yapi huwezi.” - @SuluhuSamia
0
80
110
@Shaykh_Issa
Shaykh Issa Othman Issa
5 months
Nyakati bora kabisa za maisha yako ni wakati unaotumia kumdhukuru Mwenyezi Mungu kwa tafakuri na mazingatio kiasi kwamba unasahau kila kitu kingine.
0
16
49
@AbdulAmeir
Abdul
4 months
John Boyne, The Echo Chamber
0
2
14
@AbdulAmeir
Abdul
4 months
“Hakuna kitu kigumu kwenye maisha kama kushindana na wakati. Waja wote ni watwana mbele ya wakati.” - @SuluhuSamia
0
93
218