UFM Radio Profile Banner
UFM Radio Profile
UFM Radio

@ufmradiotz

Followers
13,806
Following
201
Media
7,785
Statuses
9,314

Welcome to the leading Radio Station #AzamUFM | Part of Azam Media Ltd/Bakhresa Group | 107.3 DSM, 101.7 Dodoma, 96.5 Arusha, 98.7 Shinyanga | #SisiNiWewe

Dar es Salaam, Tanzania
Joined June 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@ufmradiotz
UFM Radio
6 months
Wizara ya Afya ikimtaka Mtaalamu wa tiba asili, Masoud Sumini ambaye ni Mkazi wa eneo la Zuzu jijini Dodoma kusajili dawa zake ili zitambulike baada ya kujizolea umaarufu kwa matibabu ya kuunga viungo vya binadamu na mifugo vilivyovunjika bila kugusa mwili wa mgonjwa.
Tweet media one
51
71
857
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
“Haikuwa vigumu sana kwa sababu siku zote nilikuwa najiandaa…” maneno ya mlinda mlango wa Simba SC, Ally Salim baada ya kupata ‘clean sheet’ mbele ya #Wananchi . FT: Simba 2-0 Yanga #UFMUpdates #KariakooDerby #WataniWaJadi #NiSualaLaMudaTu #VinaMudaBasi #SimbaVsYanga
11
66
706
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Uongozi na wafanyakazi wa UFM Radio, tunawapongeza wachezaji, benchi la ufundi uongozi na mashabiki wa Yanga kwa kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi kuu 2022/2023. #SisiNiWewe #YangaSC @yangasc1935
Tweet media one
4
27
518
@ufmradiotz
UFM Radio
2 years
BREAKING NEWS: Klabu ya @yangasc1935 imekamilisha usajili wa nyota wa Burkina Faso 🇨🇮 Stephen Aziz Ki akitokea Asec Mimosas. #UFMUpdates
18
25
438
@ufmradiotz
UFM Radio
11 months
Simba SC imetangaza kumsajili Kiungo mkabaji, Fabrice Ngoma raia wa Congo DR akitokea klabu ya Al Hilal ya Sudan kwa mkataba wa miaka miwili. #UFMUpdates
Tweet media one
8
21
444
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
TUZO ZA TFF: Wooow....!!! na MVP wa msimu wa 2022/23 ni Fiston Mayele kutoka Yanga SC …. Tuko #LIVE kwenye YouTube channel ya UFMRADIOTZ #UFMUpdates #TuzoZaTFF #TFFAwards #TFFAwards2023 #Awards
Tweet media one
11
18
416
@ufmradiotz
UFM Radio
11 months
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amesema bado klabu hiyo haijamaliza usajili na kwamba inamaliza mazungumzo na nyota wawili watakaocheza eneo la mbele na golini. #UFMUpdates #SimbaSC #Usajili #UsajiliSimba
Tweet media one
0
14
398
@ufmradiotz
UFM Radio
2 years
BREAKING: Yanga SC imemtambulisha Bernard Morrison kuwa mchezaji wake baada ya kuondoka klabuni hapo misimu miwili iliyopita na kutimkia Simba SC.
Tweet media one
21
14
395
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Tanga wametetema, wananchi wametetema, Tanzania imetetema … ni baada ya tuzo ya Mchezaji Bora (MVP) wa Ligi Kuu ya NBC kwenda kwa Fiston Mayele na kupokelewa na mkewe … Tuko #LIVE kwenye YouTube channel ya UFMRADIOTZ #UFMUpdates #TuzoZaTFF #TFFAwards #TFFAwards2023 #Awards
Tweet media one
5
14
383
@ufmradiotz
UFM Radio
4 years
GWIJI LA SOKA AFARIKI DUNIA Mchezaji nyota wa zamani wa Argentina, Diego Armando Maradona amefariki dunia leo Novemba 25, 2020 akiwa na umri wa miaka 60. Taarifa za kifo cha Gwiji huyo zimethibitishwa na Shirikisho la soka nchini Argentina kupitia kwa Rais wake Claudio Tapia.
Tweet media one
6
43
359
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Kiongozi Mkuu wa Sokwe huko katika hifadhi ya Taifa ya Mahale iliyopo Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma amejiuzulu uongozi baada ya kupata kashifa ya kumbaka dada yake ... #UFMUpdates
Tweet media one
90
34
370
@ufmradiotz
UFM Radio
2 years
Alichokisema Afisa Mtendaji Mkuu wa @SimbaSCTanzania , @bvrbvra baada ya mshambuliaji mpya wa klabu hiyo, Dejan Georgijević kufunga bao lake la kwanza tangu ajiunge na #SimbaSC FT: Simba 2-0 Kagera Sugar. #NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuu #LigiKuuYaNBC
Tweet media one
4
17
345
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Saidi Ntibazonkiza aliyesajiliwa katika dirisha dogo la usajili amefanikiwa kupachika mabao matatu na kutoa pasi moja iliyozaa goli katika mchezo uliopigwa leo dhidi ya Tanzania Prisons. Unauonaje muunganiko wa Chama na Ntibazonkiza? #UFMUpdates
Tweet media one
6
18
346
@ufmradiotz
UFM Radio
2 years
Kwa mujibu wa mitandao ya kijamii ambayo picha hii imesambaa, imemuonesha Mfaransa aliyesafiri hadi Ivory Coast kumtafuta yaya aliyemtunza miaka 38 iliyopita wakati baba yake akifanya kazi nchini humo kabla ya kuacha kazi na kuhamia Ufaransa.. #UFMUpdates
Tweet media one
7
15
346
@ufmradiotz
UFM Radio
7 months
Eti mtani, nani amesema ?! 😂
Tweet media one
3
13
330
@ufmradiotz
UFM Radio
2 years
Neno moja kwa Mfungaji Bora wa msimu huu kwenye mashindano ya #ASFC2022 , Abdul Hamis Suleiman Sopu
Tweet media one
11
12
321
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Klabu ya Yanga imemtangaza Miguel Ángel Gamondi kuwa kocha wake mkuu kuanzia msimu wa 2023/2024 baada ya kuachana na aliyekuwa kocha wao Nasreddine Nabi. #UFMUpdates #KochaMkuuYanga #KochaYanga #MiguelGamondi
Tweet media one
4
7
322
@ufmradiotz
UFM Radio
10 months
Klabu ya Simba SC imethibitisha kumsajili golikipa, Ayoub Lakred (28) aliyekuwa akiichezea FAR Rabat ya Morocco inayonolewa na aliyekuwa Kocha Mkuu wa Young Africans, Nasreddine Nabi. #UFMUpdates
Tweet media one
8
10
319
@ufmradiotz
UFM Radio
6 months
Klabu ya Soka ya Simba imeibua upya matumaini ya kutinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika #CAFCL baada ya mchezo wao wa nne katika hatua ya makundi dhidi ya Wydad Casablanca kumalizika kwa ushidi wa mabao 2-0. #UFMUpdates #CAFChampionsLeague #CAFCL
Tweet media one
0
6
306
@ufmradiotz
UFM Radio
11 months
“Tuweke akiba ya maneno ni nani anakuja katika eneo la mbele, anaweza kuwa Luis Miquissone au mchezaji mwingine mkubwa, ndani ya wiki hii tutakuwa tulishajua …,” @ahmedally_ kwenye kipindi cha Sports Bando cha hapa 207.3 UFM Radio. #UFMUpdates #UsajiliSimba #LuisMiquissone
3
20
304
@ufmradiotz
UFM Radio
7 months
Klabu ya Simba SC imesema kuwa imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza, Roberto Oliveira (Robertinho) na kocha wa viungo, Corneille Hategekimana.
Tweet media one
10
15
305
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
“Feisal Salum ni mmoja wa wachezaji bora nchini, watu wanatuhusisha naye na sisi tunapenda pia tunafurahi kusikia tunahusuishwa na Feisal kwa sababu ni tabia ya kila timu kubwa…” Hashim Ibwe, akielezea tetesi za usajili wa ‘Feitoto’ anayehusishwa na klabu ya Azam. #UFMUpdates
4
14
296
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Nahodha wa Simba SC, John Bocco amefanikiwa kuwa mchezaji wa kwanza kupata ‘hattrick’ ya pili kwenye ligi kuu ya NBC baada ya kupachika nyavuni mabao matatu katika mchezo wao dhidi ya Tanzania Prisons. Una maoni gani kuelekea mbio za mfungaji bora msimu huu? #UFMUpdates
Tweet media one
7
15
276
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
#CAFCL Mnyama anaendelea kutakata katika kuwania kutinga robo fainali… 70’: Simba 6-0 Horoya Tupo #LIVE kwenye Youtube channel ya UFMRADIOTZ na 107.3 UFM Radio. #UFMUpdates #CAFCL #CAFChampionsLeague #CCL #SimbaSC #HoroyaAC #SimbaHoroya #LigiYaMabingwaAfrika
Tweet media one
5
11
275
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Klabu ya Simba imemuongezea mkataba wa miaka miwili mlinzi wa kati, Henock Inonga ambao utamuweka klabuni hapo hadi mwaka 2025 baada ya mkataba wake wa awali kumalizika mwishoni mwa msimu huu. #UFMUpdates #SimbaSC #UsajiliSimba #HenockInonga
Tweet media one
3
8
269
@ufmradiotz
UFM Radio
11 months
MAPUMZIKO | #SikuYaMwananchi Ni Kennedy Musonda anayewatanguliza Yanga SC kwenye dakika za jioni za kipindi cha kwanza ... Tupo #LIVE kwenye YouTube channel ya UFMRADIOTZ na 107.3 UFM Radio. #YangaVsKaizerChiefs #YangaSC #Yanga #KaizerChiefs #WikiYaMwananchi @yangasc
Tweet media one
1
8
270
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Aliyewahi kuwa Kiungo wa klabu ya Azam, Mudathir Yahya ametambulishwa rasmi kujiunga na Yanga SC katika usajili wa dirisha dogo. #UFMUpdates #UsajiliYanga #YangaSC #MudathirYahaya
Tweet media one
8
14
262
@ufmradiotz
UFM Radio
2 years
Benki ya Dunia imeikopesha Tanzania dola za Marekani milioni 535 sawa na shilingi trilioni 1.24 kwa ajili ya kutekeleza miradi miwili ukiwemo mradi wa nishati ya umeme vijijini na mradi wa kukabiliana na mafuriko katika bonde la Mto Msimbazi jijini Dar es Salaam. #UFMUpdates
Tweet media one
67
6
256
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Kiungo mshambuliaji wa Yanga SC, Feisal Salum kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa instagaram amethibitisha kuondoka kwenye klabu yake ya Yanga. #UFMUpdates #YangaSC #FeisalSalum #Usajili
Tweet media one
4
9
258
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
HOROYA vs SIMBA: Kwa ubora aliouonesha Beno Kakolanya kwenye mchezo wa Kimataifa wa kirafiki dhidi ya Al Hilal na uzoefu alionao Aishi Manula kwenye mechi za Kimataifa, unatamani kumuona nani akianza kwenye mechi yao ya leo dhidi ya Horoya AC ya nchini Guinea. #UFMUpdates
Tweet media one
22
6
262
@ufmradiotz
UFM Radio
6 months
Simba Queens wameibuka mabingwa wa kwanza wa mashindao ya Ngao ya Jamii kwa Wanawake 2023 kwa ushindi wa mikwaju ya penati 4-5 dhidi ya JKT Queens baada ya dakika zote za mchezo kumalizika kwa sare ya 1-1. #UFMUpdates
Tweet media one
2
15
256
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Mshambuliaji wa Yanga SC, Fiston Mayele na Winga wa Simba SC, Saido Ntibazonkiza wamelingana idadi ya mabao baada ya raundi zote 30 za Ligi Kuu msimu huu kumalizika kila mmoja akiwa na mabao 17. Unadhani nani anastahili kutwaa kiatu cha mfungaji bora? #UFMUpdates
Tweet media one
29
8
249
@ufmradiotz
UFM Radio
11 months
Klabu ya soka ya Simba imemtambulisha Mshambuliaji, Willy Essomba Onana (23) raia wa Cameroon kwa mkataba wa miaka miwili. Onana amejiunga na Simba SC akitokea klabu ya Rayon Sports ya Rwanda. #UFMUpdates
Tweet media one
4
7
245
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
#ASFC Chuma cha Mfalme wa Nyavu … Fiston Mayele kilichoipeleka Yanga SC fainali. FT’: Singida BS 0-1 Yanga SC Tupo #LIVE kwenye YouTube channel ya UFMRADIOTZ na 107.3 UFM Radio. #UFMUpdates #ASFC #SingidaBigStarsVsYangaSC #SingidaBS #YangaSC #SingidaYanga #LitiStadium
5
33
247
@ufmradiotz
UFM Radio
2 years
Bingwa wa michuano ya Olimpiki wa Ujerumani Malaika Mihambo, mwenye asili ya Tanzania ameendeleza ubabe katika mbio ndefu za wanawake kwa kunyakua medali ya pili ya dhahabu ya Ubingwa wa Dunia kwa kuruka umbali mrefu zaidi wa mita 7.12 huko Eugene, Oregon.
Tweet media one
103
13
240
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Kuelekea mchezo wa nne wa hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika #CAFCC , Afisa habari wa klabu ya Yanga SC, @alikamwe amesema kiungo mshambuliaji wa klabu hiyo Bernard Morrison ameanza mazoezi na kocha wa viungo ili kutengeneza utimamu wa mwili. #UFMUpdates #BernardMorrison
Tweet media one
0
7
243
@ufmradiotz
UFM Radio
8 months
Mchezo wa ufunguzi wa michuano ya Ligi ya Soka Afrika #AFL kati ya Simba SC dhidi ya Al Ahly ya Misri umemalizika kwa sare ya 2-2. Mchezo wa marudiano utakaopigwa Jumanne wiki ijayo huko Misri ndio utaamua nani aingie katika hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo. #UFMUpdates
Tweet media one
3
10
239
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Klabu ya Yanga SC imepangwa kucheza na ya Rivers United ya nchini Nigeria katika hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika #CAFCC kufuatia droo iliyochezeshwa muda mfupi uliopita. #UFMUpdates
Tweet media one
2
6
239
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
“Hatujaliona jua leo tangu kunakucha …,” Ramadhan Ngoda akielezea hali ya hewa mjini Algiers, Algeria ambako Yanga SC atakipiga na mwenyeji wake USM Alger kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika ... #UFMUpdates #CAFCCFINAL #CAFCC
Tweet media one
10
9
237
@ufmradiotz
UFM Radio
9 months
MSAFARA WA YANGA SC: Mashabiki wa Yanga SC wamefika Dodoma na hapa wanapata chakula kabla ya kuendelea na safari wakielekea Kigali, Rwanda. Mechi itachezwa Jumamosi hii saa 10:00 Jioni #LIVE 107.3UFM Updates na YouTube channel ya UFMRADIOTZ #CAFCL #YangaSCSafarini #CAFCL
Tweet media one
5
7
237
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Klabu ya Soka ya Yanga imefanikiwa kutetea taji lake la ubingwa wa Kombe la Shirikisho la Azam Sports #ASFC baada ya kuondoka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Azam FC kwenye mchezo wao wa fainali uliopigwa leo katika dimba la CCM Mkwakwani jijini Tanga. #UFMUpdates #ASFC #ASFCFinal
Tweet media one
5
13
237
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Kiungo Mshambuliaji wa Klabu ya Soka ya Simba, Saido Ntibazonkiza amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Mei wa Ligi Kuu ya NBC msimu huu wa 2022/23, huku Kocha Mkuu wa klabu hiyo, Roberto Oliveira akichagukliwa kuwa Kocha Bora wa mwezi huo. #UFMUpdates #TuzoZaMwezi
Tweet media one
4
5
234
@ufmradiotz
UFM Radio
2 years
Mchekeshaji Khaby Lame, anayeongoza kwa kufuatiliwa zaidi kwenye mtandao wa TikTok duniani, amepewa uraia wa Italia katika hafla iliyofanyika katika mji wa Kaskazini wa Chivasso karibu na mji wa Turin alikokulia.
Tweet media one
4
6
226
@ufmradiotz
UFM Radio
2 years
Shirikisho la Soka nchini @Tanfootball limetangaza kuwa teknolojia video ya mwamuzi msaidizi (VAR) itatumika kwenye michezo ya vijana chini ya umri wa miaka 20 (U20) hatua ya nusu fainali kesho Julai 15, 2022. #UFMUpdates #ULIVE #SportsBando
Tweet media one
12
14
225
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
#CAFCC Wananchi wamefurahi, Tanzania imefurahi na historia imeandikwa… Je, ni kwa mtazamo wako, ni nani ameipeleka Yanga fainali? #UFMUpdates #CAFConfederationCup #KombeLaShirikishoAfrika #YangaSC #MarumoGallants #YoungAfricans #MarumoYanga #YangaAfrikaKusini #KivumbiNaJasho
Tweet media one
15
10
232
@ufmradiotz
UFM Radio
2 years
PAPE OUSMANE SAKHO 🤯 🇸🇳 Amefanikiwa kushinda tuzo ya goli bora la mwaka alilofunga dhidi ya Asec Mimosas kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho. #CAFAwards2022
5
16
220
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Uzi upi uliokuvutia zaidi kati ya miamba hiyo miwili ya soka Afrika Mashariki? #UFMUpdates #SisiNiWewe #CAFCC #CAFCL #SimbaSC #YangaSC
Tweet media one
39
5
223
@ufmradiotz
UFM Radio
7 months
Klabu ya Simba SC imeondolewa rasmi kwenye michuano ya African Football League kwa faida ya goli la ugenini iliyoipata Al Ahly ya Misri. Mchezo uliomalizika muda mfupi uliopita kati ya miamba hiyo ya soka Afrika umemalizika kwa sare ya 1-1 na kufanya idadi ya jumla ya mabao 3-3.
Tweet media one
5
8
220
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Afisa habari wa Yanga SC, Ally Kamwe amesema mazungumzo yanaendelea kati ya uongozi wa klabu hiyo na kocha wake msaidizi, Cedric Kaze baada ya mkataba wake kumalizika mwishoni mwa msimu huo. Kamwe ameyasema hayo wakati akizungumza na 107.3 UFM redio asubuhi ya leo. #UFMUpdates
Tweet media one
1
4
220
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Klabu ya Mbeya City kutoka viunga vya Sokoine jijini Mbeya imeshushwa rasmi daraja na Mashujaa wa Ziwa Tanganyika kutoka Kigoma kwa ushindi wa jumla wa mabao 4-1. Mashujaa FC itashiriki Ligi Kuu ya NBC msimu ujao wa 2023/2024 huku Mbeya City ikishiriki Championship. #UFMUpdates
Tweet media one
6
9
221
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Klabu ya Simba imefanikiwa kupata sare ya mabao 2-2 dhidi ya CSKA Moscow ya nchini Urusi katika mchezo wao wa Kimataifa wa kirafiki uliopigwa leo huko Dubai. Magoli yote ya Simba SC yamepachikwa nyavuni na Habib Kyombo katika dakika ya 49 na 77 ya mchezo. #UFMUpdates #SimbaSC
Tweet media one
2
3
212
@ufmradiotz
UFM Radio
11 months
#SikuYaMwananchi Goli la Kennedy Musonda ndilo nimedumu kwa dakika zote 90 za mchezo … FT’: Yanga SC 1-0 Kaizer Chiefs Tupo #LIVE kwenye YouTube channel ya UFMRADIOTZ na 107.3 UFM Radio. #UFMUpdates #YangaVsKaizerChiefs #YangaSC #Yanga #KaizerChiefs #WikiYaMwananchi
Tweet media one
1
4
211
@ufmradiotz
UFM Radio
8 months
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ameikaribisha klabu ya AL Ahly ya Misri kuja kuwekeza katika Sekta ya michezo nchini Tanzania kwa kufungua Academy ya michezo ili kukuza na kuendeleza vipaji vya wanamichezo.
Tweet media one
6
5
212
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imewatangazia watu wanaohudumiwa na mtambo wa kuzalisha maji wa Ruvu Chini uliopo Bagamoyo, kuwa mtambo huo utazimwa kwa saa 36 kuanzia kesho. Soma zaidi ... #UFMUpdates #DAWASA
Tweet media one
4
6
202
@ufmradiotz
UFM Radio
7 months
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amemtangaza mgeni rasmi katika mchezo wa Derby ya Kariakoo utakao zikutanisha Simba dhidi ya Yanga Jumapili wiki hii kuwa ni Kibu Denis. #UFMUpdates #SimbaSC #KariakooDerby #SimbavsYanga
Tweet media one
2
8
213
@ufmradiotz
UFM Radio
10 months
Miamba ya soka nchini kutoka viunga vya Kariakoo Simba na Yanga watakutana kwa mara ya kwanza Novemba 5 mwaka huu katika mchezo wao wa Ligi Kuu ya NBC 2023/2024. Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Almas Kasongo amebainisha hayo leo wakati akitangaza ratiba ya ligi kuu. #UFMUpdates
Tweet media one
8
5
208
@ufmradiotz
UFM Radio
11 months
Simba SC imethibitisha kufikia makubaliano na klabu ya Quevilly Rouen Metropole (QRM) ya nchini Ufaransa kumnunua mchezaji wake, Pape Sakho. Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo imemtakia kila la kheri Sakho kwenye timu yake mpya. #UFMUpdates #SimbaSC #UsajiliSimba #PapeSakho
Tweet media one
2
3
204
@ufmradiotz
UFM Radio
8 months
Rais wa Shirikisho la Soka barani Afrika #CAF , Patrice Motsepe amelitambulisha rasmi Kombe litakalokabidhiwa kwa bingwa wa michuano ya Ligi ya Soka barani Afrika #AFL . Unadhani hili kombe litachukuliwa na nani?! #UFMUpdates #AFL #CAF #FIFA
Tweet media one
1
6
200
@ufmradiotz
UFM Radio
11 months
Beki wa kati wa Uganda Cranes, Gift Fred (24) amejiunga na Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC. Gift ambaye amekuwa nahodha katika klabu ya SC Villa inayoshiriki Ligi Kuu ya Uganda amesaini mkataba wa mwaka mmoja akiwa mchezaji huru. #UFMUpdates
Tweet media one
1
2
197
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Yanga SC ya Tanzania imefuzu kucheza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuiondosha kibabe Marumo Gallants ya Afrika Kusini kwenye michuano hiyo.
Tweet media one
4
11
195
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Tweet media one
6
3
199
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Klabu ya soka ya Azam imeingia makubaliano ya ushirikiano na klabu ya soka la wanawake ya Baobab Queens ya Dodoma ikiwa ni utekelezaji wa agizo la kikanuni la leseni za vilabu kutoka Shirikisho la Soka barani Afrika CAF. #UFMUpdates #AzamFC #BaobabQueens
Tweet media one
4
3
199
@ufmradiotz
UFM Radio
6 months
Klabu ya Simba imemtangaza Kocha Abdelhak Benchikha kuwa mrithi wa kiti kilichoachwa wazi na Kocha Roberto Oliveira ‘Robertinho’.
Tweet media one
2
6
193
@ufmradiotz
UFM Radio
2 years
Ukurasa rasmi wa Ligi Kuu ya Hispania La Liga, umeweka taarifa ya kuipongeza @yangasc1935 kuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC kwa mara ya 28 kwenye historia ya klabu hiyo. La Liga na Yanga waliingia makubaliano ya ushirikiano mnamo Mei 31 mwaka 2020.
Tweet media one
8
17
190
@ufmradiotz
UFM Radio
4 years
Unamjua Nkwanga wewe? Basi usikose kusikiliza matangazo LIVE kati ya @yangasc1935 dhidi ya @SimbaSCTanzania kesho Jumamosi kuanzia saa 11:00 jioni ambapo Charles Hilary, Gwiji wa simulizi za kandanda atakuwa nawe akikutangazia mtanange huo #KariakooDerby #DarDerby #YangaVsSimba
Tweet media one
10
13
196
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
MAPUMZIKO | #CAFCC Wananchi wanatakata katika dimba la Benjamin Mkapa katika dakika 45 za kipindi cha kwanza kwa kumfunga #Kunguru aliyeshindikana Dar es salaam. Yanga 2-0 TP Mazembe. Tupo #LIVE YouTube Channel ya UFMRADIOTZ na 107.3 UFM Radio. #UFMUpdates #CAFCC #CCC #CAF
Tweet media one
3
12
192
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Afisa habari wa Yanga SC, Ali Kamwe amesema mzigo wa jezi mpya za klabu hiyo zitakazotumika msimu ujao wa mwaka 2023/2024 tayari zimewasili bandarini jijini Dar es salaam. Amesema hafla ya kufanya utambuilisho wa jezi hizo itafanyika mwanzoni mwa mwezi ujao. #UFMUpdates
Tweet media one
0
2
191
@ufmradiotz
UFM Radio
7 months
Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Lazaro Komba ametoa saa 6 kwa wakazi wa Kijiji cha Kasanga kurejesha zaidi ya gunia 600 za mahindi waliyoiba wakati wa ajali ya lori lililopinduka jana kwenye mlima wa kijiji hicho wakati likisafirisha mzigo huo kwenda bandari ya Kasanga. #UFMUpdates
Tweet media one
10
8
193
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Christian Atsu, mwanasoka kutoka nchini Ghana aliyekufa baada ya tetemeko la ardhi kutokea nchini Uturuki, anazikwa leo nchini kwao Ghana. Mazishi yake yanasimamiwa na serikali ya nchi yake na yatafanyika katika mji mkuu wa Ghana, Accra. #UFMUpdates
Tweet media one
2
5
194
@ufmradiotz
UFM Radio
2 years
Neno moja kwa wananchi @yangasc1935 ambao wametambulisha jezi zao mpya kuelekea msimu ujao wa mashindano. Umeikubali ipi zaidi? 👀 #UFMUpdates
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
8
6
192
@ufmradiotz
UFM Radio
11 months
“Chama hajaondoka na swala lake lipo kwa viongozi wa juu wakijaribu kulishughulikia lakini Chama hayupo kwenye safari hii ya kundi la pili la wachezaji wanaoelekea Uturuki …,” Ahmed Ally kwenye kipindi cha Sports Bando hapa 107.3 UFM Radio #UFMUpdates #SimbaSC #SimbaUturuki
7
10
188
@ufmradiotz
UFM Radio
2 years
Ali Kamwe ✍️
Tweet media one
2
12
186
@ufmradiotz
UFM Radio
2 years
TOP SCORER: George Mpole wa Geita Gold, ameibuka kuwa Mfungaji Bora wa Ligi Kuu ya NBC baada ya kufunga bao moja kwenye mchezo wa mwisho dhidi ya Coastal Union na kumuacha aliyekuwa mshindani wake wa karibu Fiston Mayele wa Yanga aliyemaliza kwa magoli 16.
Tweet media one
3
9
180
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Klabu ya Soka ya Yanga imeshindwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika mbele ya USM Alger ya Algeria kufuatia faida ya goli la ugenini. Katika mchezo wa kwanza ulimalizika kwa Yanga kufungwa 2-1 wakati mchezo wa pili wakishinda 1-0 na kufanya jumla ya magoli 2-2. #CAFCC
Tweet media one
8
4
190
@ufmradiotz
UFM Radio
10 months
Simba SC imeibuka bingwa wa Ngao ya Jamii 2023 kwa ushindi wa mikwaju ya penati 3-1 dhidi ya Yanga SC baada ya dakika 90 kumalizika bila kufungana. Katika mikwaju ya penati iliyopigwa Golikipa wa Simba, Ally Salim amefanikiwa kuzuia penati tatu. #UFMUpdates #NgaoYaJamii2023
Tweet media one
3
15
183
@ufmradiotz
UFM Radio
8 months
Baada ya miaka 25 Klabu ya Yanga SC imefanikiwa kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika #CAFCL kwa ushindi wa magoli ya jumla 3-0 dhidi ya Al Merrikh ya Sudan baada mchezo wa mkondo wa pili kumalizika leo kwa ushindi wa 1-0 katika dimba la Azam Complex. #UFMUpdates
Tweet media one
1
3
184
@ufmradiotz
UFM Radio
7 months
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika #CAF limemtaja Golikipa wa Yanga SC na Timu ya Taifa ya Mali, Djigui Diarra kuwa miongoni mwa magolikipa 10 wanaowania Tuzo ya Golikipa Bora Mwaka 2023 barani Afrika.
Tweet media one
5
6
179
@ufmradiotz
UFM Radio
6 months
Watu wanne wamefariki dunia na wengine 21 wamejeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha basi dogo la abiria aina ya Hiace kupinduka katika eneo la Kyetema, lililopo katikati ya Kata za Bujugo na Kemondo wilayani Bukoba.
Tweet media one
9
6
180
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Klabu ya soka ya Yanga itashuka dimbani leo dhidi ya USM Alger ya Algeria katika mchezo wake wa mkondo wa kwanza wa kuwania kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika #CAFCC . Tutakuwa #LIVE kwenye YouTube channel ya UFMRADIOTZ na 107.3 UFM kuanzia saa 9:00 alasiri. #UFMUpdates
Tweet media one
0
8
182
@ufmradiotz
UFM Radio
4 years
#BreakingNews : Mgombea Ubunge wa CCM jimbo la Mpendae Zanzibar, Salim Turky (Mr. White) amefariki dunia muda mfupi uliopita usiku huu wa kuamkia Septemba 15, 2020. Taarifa za chanzo cha kifo chake bado hazijafahamika, endelea kufuatilia kurasa zetu kwa habari zaidi. #TANZIA
Tweet media one
16
14
176
@ufmradiotz
UFM Radio
4 years
KILELE CHA SIMBA DAY 2020 Kinachoendelea muda huu kupitia #AzaSports2 ni hafla ya chakula cha usiku inayojumuisha viongozi wa Simba, wachezaji wa timu ya wanaume na wanawake Simba Queens huku shughuli hiyo ikihudhuriwa na wageni Vital’O kutoka Burundi #SimbaSC #SimbaDay2020
Tweet media one
Tweet media two
4
7
179
@ufmradiotz
UFM Radio
2 years
#Breaking Klabu ya Simba imetangaza kuachana na Kocha wake, Zoran Maki baada ya makubaliano ya pande zote mbili.
Tweet media one
9
10
173
@ufmradiotz
UFM Radio
2 years
Klabu ya Soka @azamfc imemtambulisha kiungo mshambuliaji James Akaminko, aliyesaini kandarasi ya miaka miwili akitokea Great Olympic ya Ghana. Mghana huyo mwenye umri wa miaka 26, amewahi kucheza katika timu za US Tataouine (Tunisia), Ashanti Gold, Medeama na Tema Youth (Ghana)
Tweet media one
6
3
172
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Kamati ya sheria na hadhi za wachezaji ya shirikisho la mpira wa miguu nchini (TFF) imeamua kuwa Feisal Salum bado ni mchezaji wa klabu ya Yanga kwa mujibu wa mkataba. Soma zaidi ... #UFMUpdates #KesiYaFeisal #FeisalSalum #Feitoto #YangaSC #Yanga
Tweet media one
7
9
177
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Yanga SC imethibitisha kuachana na mchezaji wake Abdallah Shaibu (Ninja). Katika taarifa iliyotolewa na klabu hiyo, imemshukuru Ninja kwa mchango wake katika kipindi chote alichokuwa akiitumikia Yanga SC. #UFMUpdates #UsajiliYanga #YangaSC #AbdallahShaibu @yangasc
Tweet media one
2
7
177
@ufmradiotz
UFM Radio
2 years
Baada ya miaka 6 akiwa kwenye 'Record Label' ya @Wcbwasafi_ , msanii @Rayvanny ametangaza kujiondoa kwenye lebo hiyo na kumshukuru @diamondplatnumz kwa kumtambulisha kwenye ulimwengu wa mafanikio ya muziki. #UFMUpdates #UFMBurudani
Tweet media one
2
8
172
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Simba SC imetangaza kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa kati, Jean Baleke kutoka Jamhuri ya Kidemokasia ya Congo kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Nejmeh ya Lebanon alikokwenda kwa mkopo mwanzoni mwa msimu huu akitokea TP Mazembe ya DRC. #UFMUpdates #UsajiliSimba #SimbaSC
Tweet media one
2
10
174
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
YANGA VS IHEFU: “Ihefu tuna deni nao, hakuna mahali ambapo sisi tutafanya nao mzaha …” maneno ya afisa habari wa Yanga SC, @alikamwe kuelekea mchezo wao dhidi ya Ihefu SC utakaopigwa Jumatatu wiki ijayo. Tazama video ... #UFMUpdates #YangaIhefu
Tweet media one
3
8
176
@ufmradiotz
UFM Radio
7 months
Simba SC imekubali kichapo cha goli 5-1 kutoka kwa Yanga SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliomalizika muda mfupi uliopita. #UFMUpdates #KariakooDerby #WataniWaJadi #SimbaYanga #SimbaSC #YangaSC #MpakaMseme #YaaniMpakaMseme
Tweet media one
3
14
177
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Uongozi wa Singida Big Stars FC umefanya makubaliano ya kibiashara ya kuuza hisa zake kwa uongozi wa Fountain Gate Academy. Makubaliano hayo yameambatana kubadilisha jina kutoka Singida Big Stars FC kuwa Singida Fountain Gate FC (The Big Stars). #UFMUpdates
Tweet media one
0
7
174
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, Mzee Nyamka amesema mfumo wa kuajiri watumishi wa jeshi hilo kwa kigezo cha kupitia mafunzo ya jeshi la Kujenga Taifa (JKT) ni mzuri kwa kuwa unawasaidia kupata vijana walio na uzalendo na utayari wa kutumikia Taifa. #UFMUpdates
Tweet media one
2
10
174
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Klabu ya soka ya Yanga, imethibitisha kuachana na mchezaji wake Tuisila Kisinda. Katika taarifa iliyotolewa na klabu hiyo, imemshukuru Kisinda kwa mchango wake katika kipindi chote alichokuwa na Yanga SC. #UFMUpdates #YangaSC #UsajiliYanga #TuisilaKisinda #Usajili #Kisinda
Tweet media one
1
7
178
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Klabu ya soka ya Simba imetangaza ratiba ya michezo yake miwili ya kirafiki ikiwa Dubai ambapo Jumapili wiki hii imepanga kucheza na CSKA Moscow inayoshiriki Ligi Kuu nchini Urusi na Ijumaa watakipiga dhidi ya Al Dhafra ya Dubai. Mechi zote ni saa 10:00 jioni. #UFMUpdates
Tweet media one
2
10
171
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Jeshi la Yanga SC litakaloanza kwenye kwenye mchezo wa fainali Kombe la Shirikisho Afrika #CAFCC . Diara Djigui Djuma Shabani Joyce Lomalisa Bakari Mwamnyeto Ibrahim Bacca Dickson Job Tuisila Kisinda Salum Abubakar (Sure Boy) Fiston Mayele Mudathir Yahya Kennedy Musonda
Tweet media one
5
5
175
@ufmradiotz
UFM Radio
1 year
Katika mbio za kukisaka kiatu cha dhahabu cha mfungaji bora wa Ligi Kuu ya NBC msimu huu Mshambuliaji wa Yanga SC, Fiston Mayele amefunga goli lake la 17 katika mchezo wao wa mwisho dhidi ya Tanzania Prisons unaoendelea muda huu. #UFMUpdates
Tweet media one
1
7
174
@ufmradiotz
UFM Radio
2 years
#BreakingNews : William Ruto wa Chama cha UDA ametangazwa kuwa rais mteule wa Kenya baada ya kushinda uchaguzi mkuu kwa asilimia 50.49 akimuacha mpinzani wake wa karibu Raila Odinga wa Muungano wa Azimio aliyepata asilimia 48.85 ya kura zote. #KenyaDecides #KenyaDecides2022
Tweet media one
9
11
169
@ufmradiotz
UFM Radio
11 months
“Ukiangalia tulianza na mabeki, tukaja viungo na tumetambulisha winga kwa hiyo maana yake haturudi nyuma tena …,” @alikamwe kwenye kipindi cha #ULIVE hapa 107.3 UFM Radio. Unadhani atakayetumia jezi yenye namba sita msimu ujao atacheza nafasi gani? #UFMUpdates #UsajiliYanga
4
6
164
@ufmradiotz
UFM Radio
7 months
Tweet media one
4
4
171
@ufmradiotz
UFM Radio
5 months
Klabu ya Simba SC imetangaza kumsajili Mshambuliaji raia wa Gambia, Pa Omar Jobe kwa mkataba wa miaka miwili. #UFMUpdates #SimbaSC #UsajiliSimba
Tweet media one
5
3
171